Ridhiwani yupo huku sasa!

Ridhiwani yupo huku sasa!

Hujui ulisemalo..ndio hoja za majung izo yamekushnda ya RK unatafuta lingne.wenye busar tunakuangalia tu 1 day utatufata
 
Mkuu Petro E. Mselewa, kuwa wakili, sio lazima usimamie kesi mahakamani!. Labda kwa taarifa tuu, kuna mawakili wanao simamia kesi mbalimbali, hawa wanaitwa wanafanya kazi za "litigations", na mawakili wengine wanatoa "legal opinions". Hao mawakili wa litigations ndio hao mnawasikia kila siku wakikimbizana na vi kesi kesi mahakamani, na ndio least paid!. Mawakili wa "legal opinions" huwezi kuwasikia, ila utawatambua tuu kwa mashine zao mabarabarani, posh ofices zao na mahekalu yao!.

The richest law firm in Tanzania, used to be Mkono & Co, na wakili tajiri kuliko wote Tanzania ni Nimrod Mkono!, niambieni ni kesi gani mlimsikia ameshinda?!. Real money lies kwenye "legal opinion" na sio kwenye "litigations!"

Just imagine wakili aliyesimamia mkataba wa bomba la gesi la deal ya dola bilioni 1.2, lets say legal fee yake ni just 01.%, atavuna dola milioni 1.2 in just one single transaction!, atakuwa wapi?!.

Natoa wito kwa wana jf, tupunguze wifu wa kike!, sasa inaonekana kama obsession fulani kuwaonea wivu wale wenye nacho hivyo kukesha kuwasema vibaya hadi kwa wengine kuonekana kama chuki binafsi!.

Just do all you can to "get rich!, or die trying!".

Pasco.
Pasco nakushuru kwa sababu umefafanuwa vizuri kwa sababu na wewe ni mtu wa fani ya sheria pia, nimeupenda ufafanuzi wako wa kitaalam ila umemalizia vibaya.

Ni kipofu pekee ndiyo hatoweza kuona kwamba ni JK ndio anamuwezesha huyu Dogo kupata kazi za upendeleo na hata hao aliojiunga nao ni opportunist tu wanamuhitaji kwa sababu wanapata uhakika wa kuwa na access na Ikulu ni kichaa gani Dunia ya leo asiyehitaji channel ya Ikulu?

Ndio maana nikatoa mfano wa Hussein Mwinyi Baba yake ni Rais mstaafu lakini mbona hakuna anayemnyooshea kidole? ziko stage za succes siyo kurupu tu kutoka chuo kikuu mpaka Billionaire wewe uliona wapi hili?

Kwa leo wacha niishie hapa tu ila akumbuke kulikuwa Na Seif Al Islam na kulikuwa na Uday na Khusay Saddam Hussein, siku zaja watakuja kulia watu na kusaga meno, watu wameifadhi nyongo zao kwa muda mrefu.
 
'Sio kila anaepinga Ufisadi ni kwa Mapenzi ya Mungu na Nchi yake, wengine wanapinga kwa kuwa hawajapata Fursa ya kufisadi'- Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo!- mwacheni Akandamize wengine Baba zenu walipopata U head master tuliisoma namba sembuse Urais, mie ningepata Fursa kama ya Ridh moko kudadadeki mngeisoma Tarakimu!
 
Ngosha Pasco wa JF, nafikiri unakosa ishu ya muhimu ambayo wadau wanaisema.

Ni vyema umesema kuhusu hizo 'aina' mbili za mawakili. Lakini sitaki kuamini hata Mzee Mkono naye alianza tu kwenye hiyo 'legal opinions'. Naamini naye alikula vumbi la kusimama mahakamani na kutetea watuhumiwa na watuhumu - 'litigations'. Ndipo kwa juhudi zake akaweza kutengeneza pesa na kuweza kuajili vichwa kama vya akina marehemu Prof. Jwani Mwaikusa.

Na sitaki kuamini kuna wakili yoyote anayejihusisha na 'legal opinions', ambaye hajawahi kujishirika na 'litigations.
Pia mbona kuna mawakili wanapiga shughuli zote hizo na wana pesa ndefu? Kama Dr. Tenga, Prof. Luoga (sijui kama anaendelea hadi sasa).

Hivyo hoja ya huyo bwana mkubwa Ridhiwani ni namna alivyopanda na kufikia hapo bila hata ya kula vumbi la 'litigations'.
Ni kwel kabisa mkuu umenena, tatizo wivu unatutawala na kwa mtindo huu tutakua tukitenda dhambi kwakumhisi mtu vibaya tu. Keep it up Riz and God bless u, go ahead usijali wasemayo fanya yako Mkuu!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Watz bwana angeuza nyanya mgemsema,angeendisha bajaji mgesema vile vile sasa leo yuko hivi mnasema,mbona hamsemi Mikocheni iwe kama Mbagara au wafanya biashara wanao warithisha watotot wao,wawarithishe masikini wote pia vidole havilingani ni si kwa ajali ni kwa mipango ya Mungu hii ni Time ya Riz One
 
Tz wanapenda kuona familia za viongozi wao wakiwa masikini ndio wanafurahi na kwabahati nzuri hawawi masikini wanapiga tu hela. Sijui mtu akiwa masikini ndio anápiga kazi?
 
Mkuu Petro E. Mselewa, kuwa wakili, sio lazima usimamie kesi mahakamani!. Labda kwa taarifa tuu, kuna mawakili wanao simamia kesi mbalimbali, hawa wanaitwa wanafanya kazi za "litigations", na mawakili wengine wanatoa "legal opinions". Hao mawakili wa litigations ndio hao mnawasikia kila siku wakikimbizana na vi kesi kesi mahakamani, na ndio least paid!. Mawakili wa "legal opinions" huwezi kuwasikia, ila utawatambua tuu kwa mashine zao mabarabarani, posh ofices zao na mahekalu yao!.

The richest law firm in Tanzania, used to be Mkono & Co, na wakili tajiri kuliko wote Tanzania ni Nimrod Mkono!, niambieni ni kesi gani mlimsikia ameshinda?!. Real money lies kwenye "legal opinion" na sio kwenye "litigations!"

Just imagine wakili aliyesimamia mkataba wa bomba la gesi la deal ya dola bilioni 1.2, lets say legal fee yake ni just 01.%, atavuna dola milioni 1.2 in just one single transaction!, atakuwa wapi?!.

Natoa wito kwa wana jf, tupunguze wifu wa kike!, sasa inaonekana kama obsession fulani kuwaonea wivu wale wenye nacho hivyo kukesha kuwasema vibaya hadi kwa wengine kuonekana kama chuki binafsi!.

Just do all you can to "get rich!, or die trying!".

Pasco.
Ndugu yangu Pasco naona umekuja kutetea hata visivyo weza kutetewa.

Watu wengi sana humu JF tunafahamu vizuri sana Legal System inavyo-operate hususani katika Common wealth countries.

Watu wanahoji ni Experience na competence ipi aliyonayo Ridhwan mpaka awe recognised kama Successful young Legal Experty?

Hata watu waliosoma naye pale UDSM bachelor of Law wanamjua vema Ridhwan kama Kilaza mchovu kabisa aliyepita kwa kubebwa sana mpaka kuhitimu, wakati wenzie wanakula nondo kavu kavu za sheria yeye alikuwa kutwa anashinda akiwinda na kutafuna vibinti tu lakini akiwa na uhakika mwisho wa siku atafaulu bila kupingwa kwa mgongo wa influence ya baba yake!!

Inawezekanaje fresh from Law school graduate anatoka moja kwa moja na kuwa Senior International Legal opinion Personnel?

Kama mambo ndio hivi nina uhakika ikifika 2015 Ridhwan ataapishwa kuwa jaji na kutangazwa kuwa ndio jaji mdogo kabisa kuwahi kutokea katika nchi za jumuiya ya madola!!!
 
Last edited by a moderator:
Mnamzungumzia makamu wa rais ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh Ridhiwani J M Kikwete. Viongozi wengi wanao kuuongoza wewe wamempigia magoti pale salender bridge club mda wa lunch time na leo wametoka.
Hii fursa sijui kwa nini sikuifanya. Leo labda ningekuwa mku wa wilaya ya Nzega maana mbunge wa kubebwa na mbereko Kigwangala yeye alifanya hivyo
 
Safi mkuu kwa kutujurisha maana sasa inaonekana wadau wanataka waone ridhiwan akiwa masikini wa kutupwa ndo watafurahi. Hata ingekua nani haiwezekani baba yako awe raisi afu asikupe shavu na sembuse jamaa ni mtafutaji ww Kweli watu wanaishia kuponda tu. Shout out ti RJK
 
'Sio kila anaepinga Ufisadi ni kwa Mapenzi ya Mungu na Nchi yake, wengine wanapinga kwa kuwa hawajapata Fursa ya kufisadi'- Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo!- mwacheni Akandamize wengine Baba zenu walipopata U head master tuliisoma namba sembuse Urais, mie ningepata Fursa kama ya Ridh moko kudadadeki mngeisoma Tarakimu!

Ukweli sana huu. Wish niilike mara100
 
Ndugu yangu Pasco naona umekuja kutetea hata visivyo weza kutetewa.

Watu wengi sana humu JF tunafahamu vizuri sana Legal System inavyo-operate hususani katika Common wealth countries.

Watu wanahoji ni Experience na competence ipi aliyonayo Ridhwan mpaka awe recognised kama Successful young Legal Experty?

Hata watu waliosoma naye pale UDSM bachelor of Law wanamjua vema Ridhwan kama Kilaza mchovu kabisa aliyepita kwa kubebwa sana mpaka kuhitimu, wakati wenzie wanakula nondo kavu kavu za sheria yeye alikuwa kutwa anashinda akiwinda na kutafuna vibinti tu lakini akiwa na uhakika mwisho wa siku atafaulu bila kupingwa kwa mgongo wa influence ya baba yake!!

Inawezekanaje fresh from Law school graduate anatoka moja kwa moja na kuwa Senior International Legal opinion Personnel?

Kama mambo ndio hivi nina uhakika ikifika 2015 Ridhwan ataapishwa kuwa jaji na kutangazwa kuwa ndio jaji mdogo kabisa kuwahi kutokea katika nchi za jumuiya ya madola!!!

....Na bado watatokea watu watatetea hilo. Hizi njaa zetu nazo wakati mwingine zinatugharimu mno kuliko tunavyojua. Na ndio maana tupo hapa tulipo....

 
Last edited by a moderator:
And me want ask a question of the same and you but you early me do before. Court of which a case win he Riziwani? no where i heared of winning just stand to defend a thieves of chicken.....a advocate? of where?

Google transilator
 
Watanzania bana,
Hawa hawa leo hapa wanaopiga kelele kuhusu Ridhiwani ni hawa hawa wanapiga kelele kuwalaumu watoto wa Marehemu Mwalimu Nyerere kuwa hawakutumia nafasi ya Baba yao vizuri. Cha kushangaa wengine wanadiriki kumlinganisha Ridhiwani na watoto wa Rais Mkapa na kuuliza mbona hawajawahi kuwasikia watoto wa Rais Mkapa wakijikweza kama Ridhiwani wakati huo huo pia wanamshambulia Mkapa na kusema ni Fisadi sasa sijui hiyo pesa ya ufisadi anaifaidi nani.

Halafu bila soni mtu anakuja hapa na kusema eti Hussein Mwinyi amepata Uwaziri bila upendeleo. My foot.

Mtoto wa Rais akiwa low profile ni maneno, akiwa high profile napo ni maneno. Wapi na wapi.

Sijaandika hiki ili kumtetea Ridhiwani, la hasha. Ni vizuri tukawa wakweli, majungu hayajengi.
 

rkikwete.jpg


Jamaa ni mlugha lugha kwa kwenda mbele, eti kapanga mezani ma Ipad na ma blackberry ndio pozi lake la professional picture..!!?
 
Back
Top Bottom