Ridhiwani yupo huku sasa!

Ridhiwani yupo huku sasa!

Tumecheka sana hapa ofisini kwa comment ya Mtego wa Noti
Mi nlidhan kaongea lugha ya kilatini au kiispania hvyo sikushughulika nae kabisa maana sizijui lugha hizo nashangaa mnasema kumbe ni kiinglishi
 
Last edited by a moderator:
And me want ask a question of the same and you but you early me do before. Court of which a case win he Riziwani? no where i heared of winning just stand to defend a thieves of chicken.....a advocate? of where?

Embu ongea kiswahili huko ----- wewe
 
Kuwa wakili siyo lazima utetee watu mahakamani , it depends na area ya specialization, duniani kote trend ni hiyo hiyo, kuna wale wa mahakamani na wale wana focus na other outside court licrative deals.
 
Mimi naona kama great thinkers we are loosing focus kwa kujadili vitu ambavyo havina tija, whether ni wakili mzuri or not siyo swala ambalo linahitaji discussion humu, limekaa kiumbea na chuki zaidi to the eyes of any reasonable person.
 
Unachekelea upuuzi? Its not funny, huyu ni mgonjwa, badala ya kujenga hoja analeta matusi ya kienyejienyeji.

Mkuu Uso wa nyoka,

Siyo nachekelea upuuzi, ni namna jamaa anavyoshushia hisia zake, na mwisho akamalizia picha mbaya!
 
Mkuu Uso wa nyoka,

Siyo nachekelea upuuzi, ni namna jamaa anavyoshushia hisia zake, na mwisho akamalizia picha mbaya!

Unajua Mkuu unapohemkwa na hisia kiasi cha kushindwa kutoa hoja kuhusiana na mada, huwa ni dalili ya kutokuwa na hoja,ndicho kinachomsumbua huyu jamaa.
 
And me want ask a question of the same and you but you early me do before. Court of which a case win he Riziwani? no where i heared of winning just stand to defend a thieves of chicken.....a advocate? of where?

The wording sounds Ridhwanish! Ha ha haaaaa!
 
Kajiunga na hao jamaa au amepiga nao picha kwenye hafla ya mawakili?! Halafu hao jamaa mjomba wao ni Ruge Escrow na shangazi yao ni Prof. Tibaijuka!!
 
Back
Top Bottom