Easyway
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 2,606
- 3,704
kwahiyo na wewe ni nyumba ndogo ya mbowe na lowasa.We nyumbu ni nyumba ndogo ya huyo jamaa?Mbona unajipendekeza kwa kujifanya msemaje wake?
kwahiyo na wewe ni nyumba ndogo ya mbowe na lowasa.We nyumbu ni nyumba ndogo ya huyo jamaa?Mbona unajipendekeza kwa kujifanya msemaje wake?
fafanua mkuu sijakusoma vizur,Kwani hata nyumbu wa serengeti wanapovuka mtu huo wanatazama kama kuna mamba?
Hayo yote hata sisi tunayajua ila bado hujajibu swali.
Riziwani HONGERA SANA. Thats what we want. CCM hoyeeSasa sisi inatuhusu nini?
Haaaaahaaaaaa X pen sindano inakuingia polepoleKatika mijitu mijinga hakika wewe ni mjinga,yaani kila wakati unawaza uitikadi wa chama.Hakika wewe ni mburula.
NB:Hongera R.Kikwete kwa jitihada zako niimani yangu ajira zitakazotolewa ni kwa ajili ya watanzania na bidhaa zitakazo zalishwa ni kwa mstakabari wa watanzania.Mungu akutangulie ufanikishe lengo lako.
Hiyo ndio hulka yenu vijana wa ccm,kwenye ukweli mnasema uongo kwa kujipendekeza ili mpate mikate.Haaaaahaaaaaa X pen sindano inakuingia polepole
Mumekalia kutangaza njaaa halafu wakwepa kodi wakubwaaa
Eti leo unamsifia kaka yangu RITHWAN ngoja tuwaoneshe maendeleo kwanza hadi mshike adabuu
Keeep it up my brother riz.one.. may GOD BLESSS YOU
Na hiyo dhamana atakayoitumia kwa huo mkopo ameinunua kwa fedha gani? Maana umeshatuambia kuwa fedha kakopa benki. Tunajua benki haikopeshi bila kuwa na dhamana ya mali isiyohamishika. Na mali hiyo ni lazima iwe na thamani ya pesa unazotaka kukopa.Benk.
Kakope na wewe ujenge hata kiwanda cha kusindika maziwa,uache kulia lia na siasa za Lowasa.
Wewe humo bhana! Wana ccm ni wale ambao mlo wao unatokana na ccm, wewe kama hujatwanga huli, unajitiatia tu.Safi mwana CCM mwenzangu kijana, congrats..!! Call you later Riz..!!