Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,945
Kwan lowasa alitoa wapi hela ya kuinunua chademaHiyo hela ya kujenga kiwanda inatoka wapi?Tujue hilo kwanza.
Kwan lowasa alitoa wapi hela ya kuinunua chademaHiyo hela ya kujenga kiwanda inatoka wapi?Tujue hilo kwanza.
Mkuu mshahara wa bungeni huo, nakushauri usihoji sanaHiyo hela ya kujenga kiwanda inatoka wapi?Tujue hilo kwanza.
Kama haikuhusu funga domo lako we nyumbuSasa sisi inatuhusu nini?
Hicho kiwanda ni cha wachina, acheni kupeana sifa zisizowahusu.Safi mwana CCM mwenzangu kijana, congrats..!! Call you later Riz..!!
Sidhani kama anatumiaSafi mwana CCM mwenzangu kijana, congrats..!! Call you later Riz..!!
Kweli kabisa mkuu.Mkuu mshahara wa bungeni huo, nakushauri usihoji sana
Sidhani kama anatumia
Ushawahi hata kwenda kuulizia taratibu za mikopo?Unafikiri benki wanagawa hela kama njugu tu!
Ukisha jua ikusaidie nini?Wawekezaji wote unajua vyanzo vyao?Ajira zije...watu waajiriwe.Maisha yaendelee.Huwezi salary slip kama huna ajira.Hiyo hela ya kujenga kiwanda inatoka wapi?Tujue hilo kwanza.
Hilo haliitaji kuuliza, au wewe ni mgeni bongo? wewe unadhani Kikwete na familia yake ni maskini!Hiyo hela ya kujenga kiwanda inatoka wapi?Tujue hilo kwanza.
suala la hela katoa wapi halituhusu sisi tunachotaka ni viwanda wajenge,Hiyo hela ya kujenga kiwanda inatoka wapi?Tujue hilo kwanza.
We nyumbu ni nyumba ndogo ya huyo jamaa?Mbona unajipendekeza kwa kujifanya msemaje wake?Ushawahi hata kwenda kuulizia taratibu za mikopo?
Nenda kesho kaulizie acha kulalamika tu ,achana na siasa za kina Mbowe na Lowasa wenzako wana mashamba mahoteli nyinyi nyumbu mnakaa vijiweni kumlalamikia JPM.
Kwani hata nyumbu wa serengeti wanapovuka mto huwa wanatazama kama kuna mamba?suala la hela katoa wapi halituhusu sisi tunachotaka ni viwanda wajenge,