WOWOWO
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 599
- 457
BREAKING NEWS ufisadi mwingine wa Ridhiwani Kikwete anunua vile viwanja vya Temeke ambavyo vilikuwa
vinatangazwa sana na Manispaa amenunua viwanja 40 kwa Tshs
4,000,000/= HAKI YA MTANZANIA WA KAWAIDA IPO
WAPI?
Guys let us be serious katika issue kama hizi. I hope una chanzo chako cha hii taarifa why can't you disclose? Tulitegemea kwa mfano; ungetuwekea orodha ya waliopata viwanja ili jina la Riz One tulione