Ridhiwani Again

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
BREAKING NEWS ufisadi mwingine wa Ridhiwani Kikwete anunua vile viwanja vya Temeke ambavyo vilikuwa
vinatangazwa sana na Manispaa amenunua viwanja 40 kwa Tshs
4,000,000/= HAKI YA MTANZANIA WA KAWAIDA IPO
WAPI?
 
BREAKING NEWS ufisadi mwingine wa Ridhiwani Kikwete anunua vile viwanja vya Temeke ambavyo vilikuwa
vinatangazwa sana na Manispaa amenunua viwanja 40 kwa Tshs
4,000,000/= HAKI YA MTANZANIA WA KAWAIDA IPO
WAPI?

Ina maana kila kiwanja amenunua kwa sh 100,000 tu?
The unseen is illustrated by the seen.
 
ipo siku wananchi watauliza zi wapi mali zetu ?
tumeyaona nchi za wenzetu,siku si nyingi watanzania waoga uoga utawatoka.
 
mkuu mbona havijagawiwa bado???

huo ni unafiki na chuki zako tu,ila utawapata wajinga wenzako wa kukuunga mkono
 
wasioshughulisha akili zao watakuunga mkono mana wavivu wa kufikiri na kutafakari wapo wengi
 
[h=6]USHAURI WANGU KWA JOHN MNYIKA:
Nikiwa kama mkaazi wa Mbezi kimara ndani ya jimbo la John Mnyika, naona kuna matatizo mengi sana ambayo mengine yanaweza kutatuliwa na nguvu za mbunge wetu kwa nafasi yake. Maji ni taabu sana, katika eneo letu maji dumu la lita 2o hununuliwa na wanachi wa jimbo la Ubungo kwa Ths. 1000-1500, bei hizi pia unazikuta maeneo ya riverside ambako pia ni jimbo la ubungo, barabara mbovu, vibaka wa kutosha, vijana hawana ajira. Pia natambua na bado tunaikumbuka kampeni yake iliyokuwa imeongozwa na msemo wake wa "AMUA" yaani-Afya, Maji, Umeme, Ajira, hizi zilikuwa ahadi za Mnyika 2010. Hapa ktk jimbo la ubungo hakuna lililofanyiwa kazi na haya mnyika aliyahidi.
Nilitarajia kumskia mnyika ndani ya bunge anazungumzia mambo haya, badala yake anaenda kuzungumza mambo ambayo kwa uhakika hayagusi matatizo na ahadi zile alizokuwa anawahaidi wanaUbungo.[/h]
 
USHAURI WANGU KWA JOHN MNYIKA:
Nikiwa kama mkaazi wa Mbezi kimara ndani ya jimbo la John Mnyika, naona kuna matatizo mengi sana ambayo mengine yanaweza kutatuliwa na nguvu za mbunge wetu kwa nafasi yake. Maji ni taabu sana, katika eneo letu maji dumu la lita 2o hununuliwa na wanachi wa jimbo la Ubungo kwa Ths. 1000-1500, bei hizi pia unazikuta maeneo ya riverside ambako pia ni jimbo la ubungo, barabara mbovu, vibaka wa kutosha, vijana hawana ajira. Pia natambua na bado tunaikumbuka kampeni yake iliyokuwa imeongozwa na msemo wake wa "AMUA" yaani-Afya, Maji, Umeme, Ajira, hizi zilikuwa ahadi za Mnyika 2010. Hapa ktk jimbo la ubungo hakuna lililofanyiwa kazi na haya mnyika aliyahidi.
Nilitarajia kumskia mnyika ndani ya bunge anazungumzia mambo haya, badala yake anaenda kuzungumza mambo ambayo kwa uhakika hayagusi matatizo na ahadi zile alizokuwa anawahaidi wanaUbungo.

Nafikiri umesema kitu cha maana, lakini hujagusa kabisa mzizi. Karibu serikali zote za mitaa katika jimbo la ubungo ni za CCM na hazifanyi kazi kabisa, ni uizi na kuuza maji. Sasa wananchi wa Ubungo labada tukubaliane kuzipiga chini hizi serikali za mitaa. huku kwetu golani Msewe wamekula milioni 60 kwenye mradi wa tanki la maji la GODI. Sijui huko kwenu mnajiandaaje. huku msewe kitanuka muda sio mrefu. Kuna mradi wa vijana wa workshop nao umekwamiswa na hawa, kuna police post imejenwa kwa miaka karibu 20 haijaisha. matanki ya maji ya dawasco yanatumika na watu binafsi kuuza maji, kwa bei hiyo unayosema. Hapo vipi. Tuwangoe hawa ili tupate watakaofanya kazi na Mnyika.
 
USHAURI WANGU KWA JOHN MNYIKA:
Nikiwa kama mkaazi wa Mbezi kimara ndani ya jimbo la John Mnyika, naona kuna matatizo mengi sana ambayo mengine yanaweza kutatuliwa na nguvu za mbunge wetu kwa nafasi yake. Maji ni taabu sana, katika eneo letu maji dumu la lita 2o hununuliwa na wanachi wa jimbo la Ubungo kwa Ths. 1000-1500, bei hizi pia unazikuta maeneo ya riverside ambako pia ni jimbo la ubungo, barabara mbovu, vibaka wa kutosha, vijana hawana ajira. Pia natambua na bado tunaikumbuka kampeni yake iliyokuwa imeongozwa na msemo wake wa "AMUA" yaani-Afya, Maji, Umeme, Ajira, hizi zilikuwa ahadi za Mnyika 2010. Hapa ktk jimbo la ubungo hakuna lililofanyiwa kazi na haya mnyika aliyahidi.
Nilitarajia kumskia mnyika ndani ya bunge anazungumzia mambo haya, badala yake anaenda kuzungumza mambo ambayo kwa uhakika hayagusi matatizo na ahadi zile alizokuwa anawahaidi wanaUbungo.
Mkuu nia na madhumuni ya John Mnyika kutoka nje ya bunge ni kutokana na Jinsi budget yenyewe ilivyo hela za maendeleo ni ndogo lakini serikali haitaki kutokana na wingi wa wabunge wa CCM na kama ikipita usitegemee hayo maji kabisa tumuunge mkono siyo kulalamika hapa jamvini tuu
 
Walau Obama ni jina kubwa,hata George Bush na Republicans wanajua.Ni vyema ukitumia jina hilo walau uonekane kufanania nalo.
Hapa kuna uzi wa VIWANJA TEMEKE,kumbe wewe wamwogopa Mnyika kama panya anavyowaogopa paka<hivyo fikira kubwa ya panya ni jinsi ya kujua harufu ya paka ili asikamatwe>kwa hiyo uinatuhamisha reli.
Labda usikilize kwanza jinsi alivyochangia Mnyika mpaka anatolewa nje,uone kama hakuwa anayazungumzia unayoyataja.Hapo naamini una masikio ya kusikia na akili ya kusikiliza!Namna hii mtaifanya JF ionekane ni kijiwe kisicho na tija
 
hawa watu wamekosa ya kufanya hivyo kwao , kusema hovyo ndiyo jambo lililobaki
 
Nafikiri umesema kitu cha maana, lakini hujagusa kabisa mziziz. Karibu serikali zote za mitaa katika jimbo la ubungo ni za CCM na hazifanyi kazi kabisa, ni uizi na kuuza maji. Sasa wananchi wa Ubungo labada tukubaliane kuzipiga chini hizi serikali za mitaa. hoku kwetu golani Msewe wamekula milioni 60 kwenye mradi wa tanki la maji la GOD. Sijui huko kwenu mnajiandaaje. huku msewe kitanuka muda sio mrefu. Kuna mradi wa vija na wa workshop nao umekwamiswa na hawa, kuna poloce post imejenwa kwa miaka karibi 20 haijaisha. mataku ya maji ya dawasco yanatumika na watu binafsi kuuza maji. Hapo vipi. Tuwangoe hawa ili tupate watakaofanya kazi na Mnyika.

tunataka kazi ya mbunge ionekane,ilete tija na mabadiliko.huko unakotaka ni kukwepa ukweli
 
Back
Top Bottom