Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,092
Huyu ni fisadi tu, kwanza atuambie richmond ni ya nani? na Sh 152milion kama malipo ya kila siku alikuwa anapewa nani?:majani7:
Hapo umesema ni kweli bado anazipokea kutoka Symbionhadi leo na bado ana Alphatel ya Vodacom na ana Share na Intergrated ya wasomali mgawo wake ni 450,000,000/ kwa mwaka ni kipato zaidi ya ule mchango wa M4C walioukusanya ale Dar
Kanifurahisha kijana wa CDM Crashwise alivyomsogelea na kumshika mkono unaotetemeka basi angeutafuta na ule wa shoto angeona km angeutoa maana ..........
Hilo ni GARASA wanalolipenda CHADEMA ili CCM walitoe na wao watoe KING
Bora CHADEMA wamempa Urais wa Tawi huko Monduli maana NEC akiingia January mwaka ujao haingii CC ya kina Mangula
Last edited by a moderator: