Wote waongo hao!! Lowassa ni tajiri wa kutupwa ebu anza tu na Alpha Investiment....1.Alpha House(Ghorofa nne)--Victoria
2.Alpha School-Mikocheni Majengo kama mvua pale
3.Alpha Arpartments ndio usiseme
4.Share DarVilla(Apartment zaidi ya 100)
5.Supermarkets Arusha!!
6.Nyumba masaki za kupanga.
.Riz.one we na wewe usiongee kabisa wewe ni tajiri unamzidi lowassa,kuna ghorofa 6 unajenga karibia na oysterbay police!! Rudisha bil64 za EPA ulizokwapua!! Kuna mjengo wako upo mikocheni tulikuja kufanya usafi siku moja hapo na kampuni ya kukodi yani magari niliyaona humo ndani ni balaaa ila nashukuru ulitupa maziwa ya kunywa!! Tandale una ghorofa ndani umeweka magari ya kifahari tu,umemuweka mpambe wako anasimamia dcm za gongo la moto zipo kama 30 hiv TG&TA,tanzania nzima una majengo mnatumia urais wa baba yenu vibaya yani hadi miraji mvuta bangi ana bonge la hekaru kinyerezi,huyu mvuta bangi alishawahi kumuibia baba yake mark 2!! Iringa riz1 una mashimo ya kuchimbia mawe una ma-crusher ya kukinga,kampuni yako ndio inayopata tenda ya kujenga mji wote wa iringa kwa kusupply mchanga,kokoto,cement nk! Tukirudi kwenye viwanja vya kupima una viwanja zaidi ya 100! Wewe ni tajiri tz nzima,umeweka semi 100 kwa davis mosha,haya tena semi zako 70 zimekamatwa! Una kampuni za kusafirisha mafuta lake oil yako,umefungua oil station(sheli) karibu tz nzima! Forbes inabidi wakuingize kwenye under 40 cash kings umemzidi utajiri hadi mark zurb(mmiliki wa facebook)!!