Ridhiwan, Lowassa waelezea utajiri wao

Ridhiwan, Lowassa waelezea utajiri wao

huyo Membe mumeo unayempigia debe ndio kimeo,ukiwezeshwa tu na hao mabwana zako unabaki kutokwa na povu hovyo,tunahitaj kiongozi mchapa kazi tumechoka na sanaa za bongo,hatutaki wanafiki na wapiga ramli,jk hakuna la mana zaidi ya sanaa,7 yrs Membe aliyokaa foreign affairs kafanya nini cha watz kumkumbuka?


YEKETEE MAMBO BYEEE YEBO,,YEBOH...!!

WAAMBIE WAACHE KUCHONGA GENGA NA WATULIZE KIPAGOOO,,

CHADEMA IPO GADOO...!!

😛eace:
 
huyu mzee ngojwa lake lina msubua nilishikana nae mkono juzi mkono wake unatetemeka kama kapigwa shoti ya umeme ajifie tu maana kashaua wengi..

Mkuu siyo tuu anatetemeka mkono alikuja kwenye msiba sekei anashikiliwa naona amepata tena nguvu inaonekana kila kukicha anamshukuru sana Mungu ndiyo maana anaenda kila siku kwenye harambe za makanisa anajua Mungu anamtendea mambo makumbwa kuwa hai mbaka leo anaumwa sana
 
Kama anapendwa jinsi anavyodai basi "wanaompenda" watamchukua wakanywe nae chai kama kunywa nae chai yatosha kumpa Urais basi hao "wanaompenda" watampa huo Urais..............kila la kheri Lowassa
 
mimi sielewi ni kwa nini sasa tunatumia muda wetu mwingi kuiibia nchi na kuifilisi eti tunakusanya mali ambazo inafikia wakati hata kabla hatujaondoka dunia hii tunazikana kuwa sio zetu!!!
Hao wanaozitoa kupitia kwa mtu mwingine wenyewe hawayaoni hayo makanisa na misikiti vinapojengwa mpaka wamtume mtu 'kimyakimya' akawatolee badala ya kutoa wenyewe???
Kuna bandiko hapa jf juu ya research zilizofanyika huko Scandinavia juu ya hali ya baadae ya dunia na wanasema tz itakuwa na vita, nadhani ni kutokana na ujinga wetu uliokithiri na hawa 'kondoo' waliovaa ngozi zisizo zao. watch out!!
 
Haya pia ni maneno aliyo ongea Lowasa chanzo gazeti la mwananchi“Wengi wanasema kuwa mimi ni tajiri siyo
kweli, lakini sijafilisika kutokana na
kuchangia makanisa kwani nina marafiki
wengi ambao wananisaidia katika
kuchangia makanisa nao pia
hawajafilisika,”alisema Lowassa.
Lowasa alitoa kauli hiyo alipokuwa
akiendesha harambee ya kuchangia ujenzi
wa hosteli ya wanachuo wanawake ambao
ni wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Theofilo
Kisanji cha mkoani Mbeya, kinachomilikiwa
na Kanisa la Moraviani Tanzania, Jimbo la
Kusini Magharibi.
Kiongozi huyo ambaye alichangia kaisi cha
Sh25 milioni, alisema kila mtu ana wajibu
wa kuchangia elimu na kwamba
mwanamke anapaswa kutazamwa kwa
karibu zaidi kwani ndiye anayebeba jukumu
kubwa la kutunza familia.
 
riz karithi majibu mepesi kutoka kwa mshua wake
mhhhh..ongea na mshua riz huku kitaa washkaji wanakumaind sana
 
riz hajazitamka hizo biashara chache!usanii mtupu!EL naomba umuelimishe hiyo aya ya elimu MUFTI maana hajitambui
 
Hata achangie misikiti urais atausikia kwenye bomba the same to Dhaifu Membe.
 
Akipitishwa na ccm kugombea atasimama,
Atashinda
Halafu kama vile kwenye uchaguzi watu hawakuepo maana wataanza kulaumiana.
Sina imani na watanzania kabisa katika suala la uchaguzi wa viongozi
 
Wote waongo hao!! Lowassa ni tajiri wa kutupwa ebu anza tu na Alpha Investiment....1.Alpha House(Ghorofa nne)--Victoria
2.Alpha School-Mikocheni Majengo kama mvua pale
3.Alpha Arpartments ndio usiseme
4.Share DarVilla(Apartment zaidi ya 100)
5.Supermarkets Arusha!!
6.Nyumba masaki za kupanga.

.Riz.one we na wewe usiongee kabisa wewe ni tajiri unamzidi lowassa,kuna ghorofa 6 unajenga karibia na oysterbay police!! Rudisha bil64 za EPA ulizokwapua!! Kuna mjengo wako upo mikocheni tulikuja kufanya usafi siku moja hapo na kampuni ya kukodi yani magari niliyaona humo ndani ni balaaa ila nashukuru ulitupa maziwa ya kunywa!! Tandale una ghorofa ndani umeweka magari ya kifahari tu,umemuweka mpambe wako anasimamia dcm za gongo la moto zipo kama 30 hiv TG&TA,tanzania nzima una majengo mnatumia urais wa baba yenu vibaya yani hadi miraji mvuta bangi ana bonge la hekaru kinyerezi,huyu mvuta bangi alishawahi kumuibia baba yake mark 2!! Iringa riz1 una mashimo ya kuchimbia mawe una ma-crusher ya kukinga,kampuni yako ndio inayopata tenda ya kujenga mji wote wa iringa kwa kusupply mchanga,kokoto,cement nk! Tukirudi kwenye viwanja vya kupima una viwanja zaidi ya 100! Wewe ni tajiri tz nzima,umeweka semi 100 kwa davis mosha,haya tena semi zako 70 zimekamatwa! Una kampuni za kusafirisha mafuta lake oil yako,umefungua oil station(sheli) karibu tz nzima! Forbes inabidi wakuingize kwenye under 40 cash kings umemzidi utajiri hadi mark zurb(mmiliki wa facebook)!!
 
Mkuu hii mada imeshapandishwa tangu asubuhi na wanaume/wanawake wameshamwagika sana,sasa sijui hujaingia humu Jamvini tangu asubuhi????!!!
 
Ben Saanane kweli nimeamini we mwigizaji au bado m/kiti wa bavicha unakuuma sana

Sijaamini kama na wewe namuunga mkono Fisadi nilikuamini mno ila sasa nimekutambua tabia yako
 
Lowasa anatakiwa wataje haraka hao marafiki zake wanaompa pesa za
kuchangia makanisa wao wanafanya kazi gani? Then atwambie wamekubaliana
nini na marafiki zake? Na ni wawapi? Jamani waTz tuko mnadani kupitia
haya makanisa uchwara!
 
Wote waongo hao!! Lowassa ni tajiri wa kutupwa ebu anza tu na Alpha Investiment....1.Alpha House(Ghorofa nne)--Victoria
2.Alpha School-Mikocheni Majengo kama mvua pale
3.Alpha Arpartments ndio usiseme
4.Share DarVilla(Apartment zaidi ya 100)
5.Supermarkets Arusha!!
6.Nyumba masaki za kupanga.

.Riz.one we na wewe usiongee kabisa wewe ni tajiri unamzidi lowassa,kuna ghorofa 6 unajenga karibia na oysterbay police!! Rudisha bil64 za EPA ulizokwapua!! Kuna mjengo wako upo mikocheni tulikuja kufanya usafi siku moja hapo na kampuni ya kukodi yani magari niliyaona humo ndani ni balaaa ila nashukuru ulitupa maziwa ya kunywa!! Tandale una ghorofa ndani umeweka magari ya kifahari tu,umemuweka mpambe wako anasimamia dcm za gongo la moto zipo kama 30 hiv TG&TA,tanzania nzima una majengo mnatumia urais wa baba yenu vibaya yani hadi miraji mvuta bangi ana bonge la hekaru kinyerezi,huyu mvuta bangi alishawahi kumuibia baba yake mark 2!! Iringa riz1 una mashimo ya kuchimbia mawe una ma-crusher ya kukinga,kampuni yako ndio inayopata tenda ya kujenga mji wote wa iringa kwa kusupply mchanga,kokoto,cement nk! Tukirudi kwenye viwanja vya kupima una viwanja zaidi ya 100! Wewe ni tajiri tz nzima,umeweka semi 100 kwa davis mosha,haya tena semi zako 70 zimekamatwa! Una kampuni za kusafirisha mafuta lake oil yako,umefungua oil station(sheli) karibu tz nzima! Forbes inabidi wakuingize kwenye under 40 cash kings umemzidi utajiri hadi mark zurb(mmiliki wa facebook)!!

humu jf kuna watu wanajua mambo...
 
ridhiwan,the DON,.mwenye mapesa anajulikana tu,..utakataa mpaka tutapokukuta siku moja godolo lako limeshonwa kwa fedha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom