Ridhiwan, Lowassa waelezea utajiri wao

Ridhiwan, Lowassa waelezea utajiri wao

Hakika huyu ndiye Rais ajaye

Radhia, mi ninachokupendea ni sura yako na hilo pozi lako hapo Baracuda Beach basi, ila pointi zako ndio duu, nguvu hua zinaniishia kabisa, nahisi unatoka familia ya kifisadi hivi, nikileta posa baadae naweza kutolewa kafara bure, maanake wote huko magamba nasikia kama ni member wa ile dini Freemason!
 
Mkuu kwa kuongezea tu Ridhwani ana Resorts za kufa mtu kule Morogoro maeneo ya Mzumbe na Bigwa kule milimani,ni investment za billions of money,ameweka na coaster 14 mpya kwenye resort yake ya Chilakale kule Bigwa na Chilakale ya Mzumbe ameweka coaster 8 bado zote hazijaanza kutumika,wanatuona sisi wajinga eti wamempa jamaha wa usalama wa taifa anaitwa Mbena Malumbi ndio ajifanye Chilakale resorts ni mali zake wakati si kweli,mbaya zaidi ujenzi wao una athiri mpaka vyanzo vya maji kwenye milima ya uluguru

Nimeambiwa pia Tanga Beach Resort iliyoko mkoani Tanga ni yake rizimoko.
 
Kwa kweli juzi ndo ilikuwa Mara yangu ya kwanza Kumuona Huyu Mamvi kwa karibu kabisa tangu mwaka 1999 akiwa mkuu wa Bodi ya Shule Ya secondari ya Molinge Sokoine, Jamaa kwanza kazeeka sana tena sana, na anatetemeka vibaya,

Kilicho niacha hoi ni hotuba yake, Membe kumbe alikuwa akimsema huyu jamaa, kuongea jukwaani si kipaji chake kabisa, yeye ni pesa tu ndo inamfanya awe maalufu, Mwanzo mwisho ilikuwa Hapo vipi, hapo vipi, hapo vipi, hapo vipi,

Alikuwa atatumbuiza nini?
 
Lowasa hao marafiki wana kupa pesa kama nani? kwanini wakupe wewe tu? kama ni kweli malipo yake unayajua? kama Mungu unakujalia unakuwa rais wa nchi hii kwa misaada ya rafiki zako unajua shukrani utakao wapa? wakiomba mikataba ya kitapeli kama Richmond utawanyima? hii nchi imeisha kwisha ina subiri kuzikwa. Lowasa sikujua kama una mapenzi na watanzania kiasi hiki ya kwamba rafiki zako wakikupa pesa kukusaidia wewe unatoa misaada. na kwani nini wema huu umejitokeza kipindi hiki karibia na 2015. Mungu akujalie, kuna siku utarudi kutueleza yaliyo kweli
Mkuu umenena ujue tunapenda sana kushabikia vitu bila kutafakari hali ya baadae. Mkuu hakika hakuna cha bure ulimwengu huu. Mwenye kuelewa atazidi kuelewa na mpumbavu atazid kua mpumbavu vilevile.
 
Hayo yote yanaletwa na utaratibu wa sheria za nchi kuwa na double standard vinginevyo huyu angekuwa anapelekewa vipande vya mikate kule Ukonga Gerezani kwa uchafu wake wa kunajisi raslimali za Taifa hili.
 
huyu mzee ngojwa lake lina msubua nilishikana nae mkono juzi mkono wake unatetemeka kama kapigwa shoti ya umeme ajifie tu maana kashaua wengi..
hapana mkuu. tumia lugha laini kidogo inayothamini utu wa mtu. japo hata mimi siungi mkono ufisadi lakini roho ya mtu ina thamani kubwa kupita fedha.
ni mawazo yangu tu mkuu
 
I am a very neutral person in Tanzanian politics BUT Kama CCM inataka kushinda uchaguzi mwaka 2015- the only person who can make it is Edward Lowasa. Awe ngonjwa au fisadi- ni afadhali kuwa na mgonjwa mchapa kazi na fisadi anaetengeneza na kuiba vichache kuliko wanafiki na wavivu wa kufikiri.

Only LOWASA CAN FACE DR SLAA BUT not wanafiki M&S
 
Unaidhalikisha Yanga, sema Rais wa Saccoss huko Monduli chini. Au Rais wa Vikoba japo itabidi asiwe na mamlaka ya kuidhnisha matumizi (manunuzi) vinginevyo itakuwa Richmond nyingine a.k.a Richmonduli.

Mkuu "Hilo nalo neno"

Yaani nimecheka sana......... Thanks kwa kuniongezea life span
 
Vichwa vya habari kwenye baadhi ya magazeti viniudhi sana. Vimeandika bila aibu kuwa Edward Lowassa yule waziri mkuu aliyelazimishwa kuachia ngazi kwa kashfa ya Richmond na mtoto wa rais Ridhiwan Kikwete wameeleza utajiri wao. Baada ya kuona vichwa hivyo nilihamanika kusoma nikitegemea kukuta ukweli. Baada ya kusoma nilisikia kichefuchefu. Kwani wahusika wamepiga blagh blagh na siasa za kichovu na kisanii kuhusiana na utajiri wao. Je hawa jamaa wanamdanganya nani? Kwa habari zaidi BONYEZA hapa.
 
Katika tuhuma namin hch kikombe hakiwez kuwaepuka walio wengi je rais safi ni yupi raisi msafi mana nchi wote tu wachafu je ni nani anaýe weza kukaa msitali wa mbele

0
 
Katika dhambi mbaya anayofanya Dogo wa JK ni pamoja na kukubali kushiriki kuiua reli ya kati ili magari yao yaendelee kufanya biashara ya kusafirisha mafuta na bidhaa nyingine na pia kukubali kuwa mdau wa usafirishaji na uuzaji wa unga.
 
mbona urais umepotea sana yaani EL na JK hawakutakiwa hata kuwa kwenye uongozi wowote maana afya zao ni mgogoro, pili wanauchu wa madaraka sana na visasi kwa kwenda mbele
 
Back
Top Bottom