Ridhiwan, Lowassa waelezea utajiri wao

Huyu ni fisadi tu, hata akijitetea vipi, bado nasisitiza, watu wanapiga kelele na ufisadi, lakini wanashadadia baadhi ya mafisadi kama EL, huu ni unafiki sana!
 
mie namwona EL ana nafuu kuliko membe.membe sauti utafikiri shoga anaimba mipasho.
 
all in all huyundiye rais anaefuata baada ya JK...msizunguke barabara kwenda Ikulu kwa EL iwaz, kufikia 2013 tutaona picha ya Lowasa kwenye kuta za maofisi kama ilivo kuwa kwa JK..Asanteni
 
hapa ndipo tatizo lilipo .tunapenda kujadili hisia zetu na kutoa majibu, mh EL kasema hana utajiri wa fedha , anautajiri wa watu . nakumbuka hata mzee IDD SIMBA, aliwahi kuitwa tajiri mkubwa yeye ktk mahojiano alisema hakuna tajiri Tanzania, kwa kuwa umezungukwa na masikini, wewe unakipato kidogo unaonekana tajiri, amesema anautajiri wa watu si fedha, mpinge kwa hoja na data.

Usiongozwe na hisia, eti hawezi kuzungumza ,mh nchi hii inawatu kweli na ndo maana khanga zinavaliwa kwa wingi, nadhani kwa wale wanaopenda rais muongeaji ni nafasi ya wazi kuongozwa na MRISHO MPOTO,
 
kweli anatakiwa mchapakazi na siyo bla bla
huyo Membe mumeo unayempigia debe ndio kimeo,ukiwezeshwa tu na hao mabwana zako unabaki kutokwa na povu hovyo,tunahitaj kiongozi mchapa kazi tumechoka na sanaa za bongo,hatutaki wanafiki na wapiga ramli,jk hakuna la mana zaidi ya sanaa,7 yrs Membe aliyokaa foreign affairs kafanya nini cha watz kumkumbuka?
 
Mi namuunga mkono kwa silimia 1000000000% ni kweli ana utajiri wa watu. na kutokana na utajiri huu akigombea nafasi yoyote ya uongozi nchini atashinda kwa kishindo. na hii ndiyo hofu yenu.
 
ange weka hadharani anamiliki nini,
Waziri Mkuu aliyejiuzuru
Mh.Edward Lowasa ameendelea kutapatapa katika medani za siasa. Safari
hii amejitetea kuwa hana utajiri wa kutisha kama maadui wake
wanavyomchafua, badala yake ana utajiri wa ''kutisha'' wa watu wenye
mapenzi nae

Source: Tanzania Daima

My Take: Mzee ni kama umegongwa muhuri wa moto wa ''ufisadi'' ikiwemo
kuwaficha watanzania juu ya ufisadi wa Richmond, hakika muhuri huo wa
moto hautafutika
 
unachokisema kina ukweli flulani, tumekuwa na umaskini wa akili hasa ktk kulopoka flulani ni bilionea, mtu ana vigari viwili vijinyumba 3,
hapa ndipo tatizo
lilipo .tunapenda kujadili hisia zetu na kutoa majibu, mh EL kasema hana
utajiri wa fedha , anautajiri wa watu . nakumbuka hata mzee IDD SIMBA,
aliwahi kuitwa tajiri mkubwa yeye ktk mahojiano alisema hakuna tajiri
Tanzania, kwa kuwa umezungukwa na masikini, wewe unakipato kidogo
unaonekana tajiri, amesema anautajiri wa watu si fedha , mpinge kwa hoja
na data. usiongozwe na hisia, eti hawezi kuzungumza ,mh nchi hii
inawatu kweli na ndo maana khanga zinavaliwa kwa wingi ,nadhani kwa wale
wanaopenda rais muongeaji ni nafasi ya wazi kuongozwa na MRISHO
MPOTO,
 
huyo Membe mumeo unayempigia debe ndio kimeo,ukiwezeshwa tu na hao mabwana zako unabaki kutokwa na povu hovyo,tunahitaj kiongozi mchapa kazi tumechoka na sanaa za bongo,hatutaki wanafiki na wapiga ramli,jk hakuna la mana zaidi ya sanaa,7 yrs Membe aliyokaa foreign affairs kafanya nini cha watz kumkumbuka?

Mkuu foreign ministry haipimwi kwa vigezo vya mtaani kwetu Kama Wizara nyingine, hii inapimwa na utulivu Kati ya nchi na nchi nyingine pamoja na jumuiya za kimataifa. Yaani uwezo wa Tanzania kidiplomasia duniani. Hii ni intellectual and diplomatic ministry, Fikiria Kama Lowassa anauwezo wa kuwa Waziri we Mambo ya Nje na akaperfom angle kuwa anawakilishwa kill siku kwenye diplomatic international forums huko hakuna cha hapo vipi.....hapo Poa, unakutana na mijitu imebobea katika ujasusi na diplomasia, hakuna kutema pumba jiulize lini Membe amepata kashfa huko.
 
#Inawezekana ni fisadi lakini ufisadi amefanya wapi ndo tatizo!
Lakini viongozi wengi wa ccm wanapigaga madili sana.
#Kwa umri wangu wa miaka 90 naamini ndani ya ccm hakuna aliyemsafi.
 
nami ni mmoja wa hao watu wanao msupport EL, Nina uhuru wa kuchagua wanaosema ni fisadi ni haki yao kikatiba kama mimi ilivyo haki yangu kusema ni mchapakazi tunayemhitaji
 
hapa ndipo tatizo lilipo .tunapenda kujadili hisia zetu na kutoa majibu, mh EL kasema hana utajiri wa fedha , anautajiri wa watu . nakumbuka hata mzee IDD SIMBA, aliwahi kuitwa tajiri mkubwa yeye ktk mahojiano alisema hakuna tajiri Tanzania, kwa kuwa umezungukwa na masikini, wewe unakipato kidogo unaonekana tajiri, amesema anautajiri wa watu si fedha , mpinge kwa hoja na data. usiongozwe na hisia, eti hawezi kuzungumza ,mh nchi hii inawatu kweli na ndo maana khanga zinavaliwa kwa wingi ,nadhani kwa wale wanaopenda rais muongeaji ni nafasi ya wazi kuongozwa na MRISHO MPOTO,

Lowasa, Rostam na Chenge hawa ni watu wasioweza kutenganishwa. Niambie sasa Lowasa akiwa rais hii nchi hata hizo barabara tulizojenga na madaraja yake yatauzwa. Umeme ndo tusahauu kabisaa maana biashara yao ya majenerator itapamba moto. Wake up guys and say a big NO tu Lowasa jizi lilokubuhu.

Kama unataka kujua baadhi ya utajiri wake ni kwamba anamiliki kampuni ya kufua nguo ya Alpha nchi nzima, anamiliki kampuni ya Alphatel mojawapo wa mawakala wakuu wa VodaCom wasiolipa kodi, anamiliki Hotel huko South Africa, anamiliki kampuni ya Barare na na anashirikiana na Wasomali katika biashara zisizojulikana, anamiliki kampuni ya Tours na ana Lodge maalum kwa watalii huko Arusha na ana miliki majumba kadhaa jijini DAR na Arusha, n.k n.k. J

e huu si utajiri wa kutisha?
 
teh teh teh munaongea sana ivi kweli munaaamini cdm ndio kuna wachapa kazi?subirini muda ufike
 
Hii kitu ya urais bado kabisa muda wake, tusubiri kuanzia October 2014 watakao bahatika kuwepo kwa mapenzi ya Mungu wajadili na kila mtu ataamua mwenyewe ampe nani kuwa kiongozi wake. Hakuna Rais hata mmoja atakaye kusaidia kuboresha maisha yako bali ni juhudi zako na msaada wa Mungu wako kama unamuamini na kutimiza mapenzi yake. Kila mtu ana haki ya kumchagua mwenyewe kiongozi anayemtaka.
 
Lowasa anaweza kuwa ana utajiri wa watu wengi wanaompenda na kumshabikia lakini kwa namna CCM inavyojirekebisha katika kupanga safu za uongozi kama kuwaweka akina Mangula nina mashaka sana na kupenya kwa Lowasa kwenye mtanange wa mchujo kwenye vikao vya CCM.

Kwa ufupi ni kwamba kambi ya Lowasa na mafisadi wanaendelea kupata pigo siku hadi siku. Ninatabiri kwamba mgombea rais 015 kwa ticket ya CCM atakuwa ni mtu neutral asiekuwa na makundi tena mwenye uwezo mkubwa!! Hawa viongozi wapya (Mangula na Kinana) ni strategist wakuamniniwa acha!!

Mark my words!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom