labda Rais wa mchezo wa bao!Hakika huyu ndiye Rais ajaye
labda Rais wa mchezo wa bao!Hakika huyu ndiye Rais ajaye
,huyo Membe mumeo unayempigia debe ndio kimeo,ukiwezeshwa tu na hao mabwana zako unabaki kutokwa na povu hovyo,tunahitaj kiongozi mchapa kazi tumechoka na sanaa za bongo,hatutaki wanafiki na wapiga ramli,jk hakuna la mana zaidi ya sanaa,7 yrs Membe aliyokaa foreign affairs kafanya nini cha watz kumkumbuka?
Unawasha sehemu za siriuko sahihi
Mh haya sasa!Unawasha sehemu za siri
Ni kweli anaanzisha NGO umasaini atajipa uraisiuko sahihi
Amefanikisha ziara nyingi za JK nje. Nje kutamu na yeye anataka sasa. as...les😛lane:😛lane:😛lane:😛lane:😛lane:😛lane:huyo Membe mumeo unayempigia debe ndio kimeo,ukiwezeshwa tu na hao mabwana zako unabaki kutokwa na povu hovyo,tunahitaj kiongozi mchapa kazi tumechoka na sanaa za bongo,hatutaki wanafiki na wapiga ramli,jk hakuna la mana zaidi ya sanaa,7 yrs Membe aliyokaa foreign affairs kafanya nini cha watz kumkumbuka?
Babu ni yule aliyekuzalia baba akoWe bab vp, mbona ivo sasa, jiheshimu basi
EL ni fisadi papa! maswahiba wake ni Andrew chenge na Rostam aziz! hafai kuwa rais,kwanza atueleze kuhusu kampuni hewa ya Richmonduli!mwalimu nyerere alisema tumuogope kama ukoma! 1995 alikuwa na utajiri wa kutisha! ikulu anaenda kufanya biashara gani??
Hujui wanavyofanya hawa mafisadi mara nyingi huwa hawaweki majina yao wanatafuta kanya boya ili wajinga muamini kuwa ni ya furani kumbeni ya Lowasa mfano fatilia Yana na MONABAN utaona Lowasa alivyofisadi na anavyojua kujificha...mkuu mmiliki wa alpha schools, dry cleaner, na vyote hivyo ni prof. Mayo yuko pale uhandisi mlimani. mkewe alikuwa anafanya TRA zamani. ni contractor wa siku nyingi sana na anamilliki majengo mengi tu kkoo sinza, mikocheni na hata changanyikeni. anafundisha WRE ila ni mmeru ambaye nafikiri anatoka sehem moja ama anaukaribu na sumari, na huyu lowassa.