Jason Bourne kijana mzandiki
-mfitini
-muongo
-mzushi
eti anajifanyaga yupo karibu sana na IKULU
nadhani huyu jamaa atakuwa ndo yule YAHYA anayetafutwa na dada mkuu LADY JAYDEE
Juzi nilimshauri awe na subira chama chake kupitia sekretarieti ama kamati kuu imuidhinishe kwanza ndio akachukue fomu kule Chalinze,
Akakaidi, akaenda kuchukua fomu bila ridhaa ya chama chake, kibaya zaidi sheria ya tume ya uchaguzi inamtaka mgombea awe na barua yakutambulishwa na chama chake, lakini huyu hakuwa nayo zaidi ya mgongo wa rais,
Ifahamike kuwa jk hakutaka kijana huyu agombee ubunge maana ana uchafu mwingi ambao utaanza kuibuliwa na upinzani lakini yeye akakomaa kwa kuwa anataka awe mbunge kabla baba yake hajaondoka madarakani.
Mpaka sasa hakuna msemaji wa chama kuthibitisha kuwa amepitishwa na NEC, bali kawaziba midomo kwa kutumia nafasi ya baba yake ameamua kujitangaza mwenyewe.
Jk amekerwa sana na hali hii, huenda akasimamia mwanae ashindwe, ama kutumia mwanya wa kosa hili ili tume imuondoe,
Chadema kazi kwenu wekeni pingamizi ikibidi,
LAKE OIL na DAVIDS MOSHA HOME SHOPPING CENTRE TSN SUPERMARKETMimi nimefurahishwa na uamuzi wake kugombea... sasa tutamjua vizuri. By the way... inasemekana marafiki wengi wa huyu jamaa ambao wamepata utajiri wa haraka kupitia mgongo wake wameanza kutafuta makazi uarabuni. Yote haya na mengine tutayasikia kwenye kampeni...
Juzi nilimshauri awe na subira chama chake kupitia sekretarieti ama kamati kuu imuidhinishe kwanza ndio akachukue fomu kule Chalinze,
Akakaidi, akaenda kuchukua fomu bila ridhaa ya chama chake, kibaya zaidi sheria ya tume ya uchaguzi inamtaka mgombea awe na barua yakutambulishwa na chama chake, lakini huyu hakuwa nayo zaidi ya mgongo wa rais,
Ifahamike kuwa jk hakutaka kijana huyu agombee ubunge maana ana uchafu mwingi ambao utaanza kuibuliwa na upinzani lakini yeye akakomaa kwa kuwa anataka awe mbunge kabla baba yake hajaondoka madarakani.
Mpaka sasa hakuna msemaji wa chama kuthibitisha kuwa amepitishwa na NEC, bali kawaziba midomo kwa kutumia nafasi ya baba yake ameamua kujitangaza mwenyewe.
Jk amekerwa sana na hali hii, huenda akasimamia mwanae ashindwe, ama kutumia mwanya wa kosa hili ili tume imuondoe,
Chadema kazi kwenu wekeni pingamizi ikibidi,
Kinacho nishangaza mpaka sasa hata wale wabwabwaji wakubwa kwenye chama wameshindwa kusema japo kauli fupi tu kuwa "...CC ya chama chetu imemteua mtoto wa raisi kuwa mgombea ubunge wa Chalinze"
Mbona hawako hivi kwenye wagombea wengine?! Imekuwaje leo wawe kimya kiasi cha kumuacha Riz1 ajisemee mwenyewe?! Kunani?
LAKE OIL na DAVIDS MOSHA HOME SHOPPING CENTRE TSN SUPERMARKET
Hii hapa chin ndiyo ilikuwa thread yako.Umekosea sana.
Marealle hakupata kuifadhili TANU.
Chief Marealle na Nyerere hawakuwa na mkabala mwema baina yao.
Soma kijana soma. Utaerevuka.
Punguza kujua.
Nielewe mkuu, nimesema alikuwa mfadhiri wa Mwalimu Nyerere sio TANU.
Ndugu sio kila kitu utakifahamu katika historia ya nchi hii,
Mimi Mwalimu Nyerere kama Baba yangu mzazi, nakufahamisha tangu sasa kuwa Chifu Marealle alikuwa mfadhiri wa Mwalimu Nyerere (kiuchumi)
Alimnunulia gari, suti, na nauli alimpa ya kwenda umoja wa mataifa.
Si kila kitu kitawekwa katika simulizi.
Mtoto wa Mwl. Nyerere alipoona unatumia jina la baba yake kutapeli alikuambia hivi,
Katika thread hii,Nilikuwa naongea na Joseph Butiku sasa hivi,na Mama Maria. Nimewauliza kuhusu huyu Yericko Nyerere. Hawamfahamu. Butiku amesema,watu wanajipa majina wanavyopenda; Adam Marwa ana mtoto wake mmoja tu,anaitwa Lumumba. Mimi[Butiku],mtoto wangu anaitwa Kaunda. Magige Nyerere ana mtoto anaitwa Moringe. Halafu Mama Maria akasema,Rose Nyerere ana mtoto anaitwa Luis Rwagasore,Mfalem wa Rwanda.
Kwa hiyo Butiku amesema huyu kijana kama angekuwa na namba ya simu,ningeweza kumtafuta,ili aweze kujieleza.
Juzi nilimshauri awe na subira chama chake kupitia sekretarieti ama kamati kuu imuidhinishe kwanza ndio akachukue fomu kule Chalinze,
Akakaidi, akaenda kuchukua fomu bila ridhaa ya chama chake, kibaya zaidi sheria ya tume ya uchaguzi inamtaka mgombea awe na barua yakutambulishwa na chama chake, lakini huyu hakuwa nayo zaidi ya mgongo wa rais,
Ifahamike kuwa jk hakutaka kijana huyu agombee ubunge maana ana uchafu mwingi ambao utaanza kuibuliwa na upinzani lakini yeye akakomaa kwa kuwa anataka awe mbunge kabla baba yake hajaondoka madarakani.
Mpaka sasa hakuna msemaji wa chama kuthibitisha kuwa amepitishwa na NEC, bali kawaziba midomo kwa kutumia nafasi ya baba yake ameamua kujitangaza mwenyewe.
Jk amekerwa sana na hali hii, huenda akasimamia mwanae ashindwe, ama kutumia mwanya wa kosa hili ili tume imuondoe,
Chadema kazi kwenu wekeni pingamizi ikibidi,
Jadili mada kwa hoja, achana na kumjadili mtoa hoja
Nilitegemea utauliza "Ni sheria gani imevunjwa?" badala ya "Ni sheria namba ngapi imevunjwa?". Ukipewa jibu la namba ya sheria, litakusaidiaje mtu ambaye umekiri kuwa sio mtaalamu wa sheria?ni sheria namba ngapi imevunjwa hapa siye wengine siyo wataalam
Jason Bourne kijana mzandiki
-mfitini
-muongo
-mzushi
eti anajifanyaga yupo karibu sana na IKULU
nadhani huyu jamaa atakuwa ndo yule YAHYA anayetafutwa na dada mkuu LADY JAYDEE
Juzi nilimshauri awe na subira chama chake kupitia sekretarieti ama kamati kuu imuidhinishe kwanza ndio akachukue fomu kule Chalinze,
Akakaidi, akaenda kuchukua fomu bila ridhaa ya chama chake, kibaya zaidi sheria ya tume ya uchaguzi inamtaka mgombea awe na barua yakutambulishwa na chama chake, lakini huyu hakuwa nayo zaidi ya mgongo wa rais,
Ifahamike kuwa jk hakutaka kijana huyu agombee ubunge maana ana uchafu mwingi ambao utaanza kuibuliwa na upinzani lakini yeye akakomaa kwa kuwa anataka awe mbunge kabla baba yake hajaondoka madarakani.
Mpaka sasa hakuna msemaji wa chama kuthibitisha kuwa amepitishwa na NEC, bali kawaziba midomo kwa kutumia nafasi ya baba yake ameamua kujitangaza mwenyewe.
Jk amekerwa sana na hali hii, huenda akasimamia mwanae ashindwe, ama kutumia mwanya wa kosa hili ili tume imuondoe,
Chadema kazi kwenu wekeni pingamizi ikibidi,