Zitto ACT: Tumeridhishwa na marekebisho ya sheria za uchaguzi

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,414
74,059
Zito amekengeuka kiasi hiki kweli? anasema

Masuala 6 kati ya 10 yamekubaliwa:

1. Anasema: sasa kutakuwa na tume huru, mabadiriko si ya siku moja

2. Anasema tumelipwa sehemu ya deni, baki italiwa baadaye ie madai mengine yatafanyiwa kazi huko mbeleni analinganisha haki ya asili ya demokrasia na deni la pesa!

3. Wakurugenzi wameondolewa kuwa wasimamizi wa uchaguzi, anasahau kuwa senior officers wanaopendekezwa au waliowekwa kwenye shria ni waajiliwa Rais na wanalipwa na kupandishwa vyeo na rais na wako chii ya usimamizi wa Ras ambaye ni mteule wa rais! Zito akili zimekwenda kwa Ayatollah!

4. Kumwondoa Mkurugenziwa uchaguzi kuwa katibu wa usaili.....anashau kuwa wanaosaili ni wateule /au waajiliwa wa rais ambao wanapokea amri kutoka kwake.

5. Mwenyekiti na makamu Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kutoteuliwa na rais......anasahau/anajifanya kutojua kuwa Jaji Mkuu atakayewafanyia musaili ni ni mteule wa Rais, hwezi kuktaa amri yake!

My analysis: Zito na chama chake kwa Tanganyika anajua kuwa hawezi kushinda urais au wabunge wengi. Ila kwa vile yeye ana uhakika wa may be kushinda Ubunge Kigoma mjini (kama alivyotangaza kugombea ubunge eneo hilo), haya mengine hayamhusu as long as atachaguliwa kuwa mbunge!

Kwa ufupi ni hayo!
 
Zito amekengeuka kiasi hiki kweli? anasema

Masuala 6 kati ya 10 yamekubaliwa:

1. Anasema: sasa kutakuwa na tume huru, mabadiriko si ya siku moja

2. Anasema tumelipwa sehemu ya deni, baki italiwa baadaye ie madai mengine yatafanyiwa kazi huko mbeleni analinganisha haki ya asili ya demokrasia na deni la pesa!

3. Wakurugenzi wameondolewa kuwa wasimamizi wa uchaguzi, anasahau kuwa senior officers wanaopendekezwa au waliowekwa kwenye shria ni waajiliwa Rais na wanalipwa na kupandishwa vyeo na rais na wako chii ya usimamizi wa Ras ambaye ni mteule wa rais! Zito akili zimekwenda kwa Ayatollah!

4. Kumwondoa Mkurugenziwa uchaguzi kuwa katibu wa usaili.....anashau kuwa wanaosaili ni wateule /au waajiliwa wa rais ambao wanapokea amri kutoka kwake.

5. Mwenyekiti na makamu Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kutoteuliwa na rais......anasahau/anajifanya kutojua kuwa Jaji Mkuu atakayewafanyia musaili ni ni mteule wa Rais, hwezi kuktaa amri yake!

My analysis: Zito na chama chake kwa Tanganyika anajua kuwa hawezi kushinda urais au wabunge wengi. Ila kwa vile yeye ana uhakika wa may be kushinda Ubunge Kigoma mjini (kama alivyotangaza kugombea ubunge eneo hilo), haya mengine hayamhusu as long as atachaguliwa kuwa mbunge!

Kwa ufupi ni hayo!

Mkuu afanyacho Zito ndio lengo hasa la kuanzishwa kwa chama hicho. ACT haikuanzishwa kama chama Cha kupinga mipango ya ccm, bali Zito alikuwa kinyume na Magufuli kwakuwa Magufuli hakufuata maagizo ya kuilinda ACT, na alikuwa hampendi Zito. ifahamike hiyo ACT ilianzishwa na kina JK, Membe, Mwigulu, January, Nape nk, na lengo ilikuwa ACT iwe backup ya ccm kukabiliana na cdm, na ushahidi usioacha shaka Magufuli alikuwa hataki habari za msoga gang.

Rejea uchaguzi wa 2015, ACT ilisimamisha wagombea karibia nchi nzima ikiwa na miaka miwili tu. Jiulize walitoa wapi pesa za kuwa na wagombea wote hao nchi mzima na ofisi za kukodi Kila mahali, na kisha baada ya Magufuli kuwa rais Kila kitu kikaharibika. Ifahamike ACT haikuwa na wanachama Wala ruzuku ya kumudu hayo. Maalim Seif ndio aliipa uhai ACT kwasababu anazozijua yeye baada ya kuhama cuf kutokana na mgogoro uliotengenezwa na ccm, na huenda ubinafsi wa cdm kutokana na ushauri aliopewa na Babu Duni. Kwa sasa wapemba wameshauvaa mkenge wa Zito kwa ghiliba ya siasa za kistaarabu, lakini nyuma ya pazia ni mambo tofauti kabisa. Kwa sasa Zito anapata ufadhili toka ccm, ila kwa Siri bila wapemba kujua hilo, maana kwa asili wapemba na ccm ni mafuta na maji. Hivyo usitegemee Zito ataacha kushiriki uchaguzi, maana hapingani na ccm kwa maana ya kuwatoa, ila kuwapa joto la ghiliba.
 
Zito amekengeuka kiasi hiki kweli? anasema

Masuala 6 kati ya 10 yamekubaliwa:

1. Anasema: sasa kutakuwa na tume huru, mabadiriko si ya siku moja

2. Anasema tumelipwa sehemu ya deni, baki italiwa baadaye ie madai mengine yatafanyiwa kazi huko mbeleni analinganisha haki ya asili ya demokrasia na deni la pesa!

3. Wakurugenzi wameondolewa kuwa wasimamizi wa uchaguzi, anasahau kuwa senior officers wanaopendekezwa au waliowekwa kwenye shria ni waajiliwa Rais na wanalipwa na kupandishwa vyeo na rais na wako chii ya usimamizi wa Ras ambaye ni mteule wa rais! Zito akili zimekwenda kwa Ayatollah!

4. Kumwondoa Mkurugenziwa uchaguzi kuwa katibu wa usaili.....anashau kuwa wanaosaili ni wateule /au waajiliwa wa rais ambao wanapokea amri kutoka kwake.

5. Mwenyekiti na makamu Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kutoteuliwa na rais......anasahau/anajifanya kutojua kuwa Jaji Mkuu atakayewafanyia musaili ni ni mteule wa Rais, hwezi kuktaa amri yake!

My analysis: Zito na chama chake kwa Tanganyika anajua kuwa hawezi kushinda urais au wabunge wengi. Ila kwa vile yeye ana uhakika wa may be kushinda Ubunge Kigoma mjini (kama alivyotangaza kugombea ubunge eneo hilo), haya mengine hayamhusu as long as atachaguliwa kuwa mbunge!

Kwa ufupi ni hayo!
kiongozi huyu msomi na makini sana wa kisiasa ni muungwana sana huyu kijana humu nchini na atafika mbali sana....

yuko sahihi kupongeza hatua nzuri sana ilopigwa na serikali katika jutihada za kuimarisha uwazi katika demokrasia nchini...

asiye shukuru kwa kidogo si muumgwana hata kidogo...

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
Zito amekengeuka kiasi hiki kweli? anasema

Masuala 6 kati ya 10 yamekubaliwa:

1. Anasema: sasa kutakuwa na tume huru, mabadiriko si ya siku moja

2. Anasema tumelipwa sehemu ya deni, baki italiwa baadaye ie madai mengine yatafanyiwa kazi huko mbeleni analinganisha haki ya asili ya demokrasia na deni la pesa!

3. Wakurugenzi wameondolewa kuwa wasimamizi wa uchaguzi, anasahau kuwa senior officers wanaopendekezwa au waliowekwa kwenye shria ni waajiliwa Rais na wanalipwa na kupandishwa vyeo na rais na wako chii ya usimamizi wa Ras ambaye ni mteule wa rais! Zito akili zimekwenda kwa Ayatollah!

4. Kumwondoa Mkurugenziwa uchaguzi kuwa katibu wa usaili.....anashau kuwa wanaosaili ni wateule /au waajiliwa wa rais ambao wanapokea amri kutoka kwake.

5. Mwenyekiti na makamu Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kutoteuliwa na rais......anasahau/anajifanya kutojua kuwa Jaji Mkuu atakayewafanyia musaili ni ni mteule wa Rais, hwezi kuktaa amri yake!

My analysis: Zito na chama chake kwa Tanganyika anajua kuwa hawezi kushinda urais au wabunge wengi. Ila kwa vile yeye ana uhakika wa may be kushinda Ubunge Kigoma mjini (kama alivyotangaza kugombea ubunge eneo hilo), haya mengine hayamhusu as long as atachaguliwa kuwa mbunge!

Kwa ufupi ni hayo!
Huyu mkongomani naye anazeeka vibaya
20240209_070737.jpg
 
Ngoja Uchafuzi uje utamuona Zitto akiita Press na kulalama kuwa kura za ACT Wazalendo ZIMEPIGWA na hiyo Tume ni Feki na sio Huru.

Safari hii nasema Safari hii...hiiii!!!! (Sorry it sounds like Mpwa Kheri's Sindano za Sumu Speech)😁 nani atamsikilikiza tena Zitto? mimi nitakuwa namnywea Konyagi halafu nakaa mbele ya TV naanza kumtukana.🤤

Anna Tibaijuka katukumbusha Kheri James Mpwa nae alishasema ni TUME YA KUTANGAZA SIO LAZIMA USHINDE.

Ukiisikiliza vizuri SINDANO ZA SUMU SPEECH Utaielewa hii Tume

View: https://youtube.com/clip/UgkxxFCyQas5YLCzwvkty7Zn-VZyJJ7oNrjD?si=TpLm04s8WYX-iN5O
Alchofanya SAMIA ni HADAA na AIBU na DHARAU kubwa dhidi yetu WATANZANIA.

Huyu Zitto tumuogope kama Mchawi.

VIJANA WA ARUSHA JITOKEZEENI KWA WINGI KWENYE MAANDAMANO YA AMANI.
 
Zito amekengeuka kiasi hiki kweli? anasema

Masuala 6 kati ya 10 yamekubaliwa:

1. Anasema: sasa kutakuwa na tume huru, mabadiriko si ya siku moja

2. Anasema tumelipwa sehemu ya deni, baki italiwa baadaye ie madai mengine yatafanyiwa kazi huko mbeleni analinganisha haki ya asili ya demokrasia na deni la pesa!

3. Wakurugenzi wameondolewa kuwa wasimamizi wa uchaguzi, anasahau kuwa senior officers wanaopendekezwa au waliowekwa kwenye shria ni waajiliwa Rais na wanalipwa na kupandishwa vyeo na rais na wako chii ya usimamizi wa Ras ambaye ni mteule wa rais! Zito akili zimekwenda kwa Ayatollah!

4. Kumwondoa Mkurugenziwa uchaguzi kuwa katibu wa usaili.....anashau kuwa wanaosaili ni wateule /au waajiliwa wa rais ambao wanapokea amri kutoka kwake.

5. Mwenyekiti na makamu Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kutoteuliwa na rais......anasahau/anajifanya kutojua kuwa Jaji Mkuu atakayewafanyia musaili ni ni mteule wa Rais, hwezi kuktaa amri yake!

My analysis: Zito na chama chake kwa Tanganyika anajua kuwa hawezi kushinda urais au wabunge wengi. Ila kwa vile yeye ana uhakika wa may be kushinda Ubunge Kigoma mjini (kama alivyotangaza kugombea ubunge eneo hilo), haya mengine hayamhusu as long as atachaguliwa kuwa mbunge!

Kwa ufupi ni hayo!
Short and clear ZZK ni MDINI mkubwa! hafai kwa lolote
 
Zito amekengeuka kiasi hiki kweli? anasema

Masuala 6 kati ya 10 yamekubaliwa:

1. Anasema: sasa kutakuwa na tume huru, mabadiriko si ya siku moja

2. Anasema tumelipwa sehemu ya deni, baki italiwa baadaye ie madai mengine yatafanyiwa kazi huko mbeleni analinganisha haki ya asili ya demokrasia na deni la pesa!

3. Wakurugenzi wameondolewa kuwa wasimamizi wa uchaguzi, anasahau kuwa senior officers wanaopendekezwa au waliowekwa kwenye shria ni waajiliwa Rais na wanalipwa na kupandishwa vyeo na rais na wako chii ya usimamizi wa Ras ambaye ni mteule wa rais! Zito akili zimekwenda kwa Ayatollah!

4. Kumwondoa Mkurugenziwa uchaguzi kuwa katibu wa usaili.....anashau kuwa wanaosaili ni wateule /au waajiliwa wa rais ambao wanapokea amri kutoka kwake.

5. Mwenyekiti na makamu Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kutoteuliwa na rais......anasahau/anajifanya kutojua kuwa Jaji Mkuu atakayewafanyia musaili ni ni mteule wa Rais, hwezi kuktaa amri yake!

My analysis: Zito na chama chake kwa Tanganyika anajua kuwa hawezi kushinda urais au wabunge wengi. Ila kwa vile yeye ana uhakika wa may be kushinda Ubunge Kigoma mjini (kama alivyotangaza kugombea ubunge eneo hilo), haya mengine hayamhusu as long as atachaguliwa kuwa mbunge!

Kwa ufupi ni hayo!
Hata marekani mwenyekiti wa tume ya uchaguzi anateuliwa na Rais
 
Back
Top Bottom