Ridhiwan anapewa escort; Kwanini?

Hapo kwenye red Kumbuka hapa tupo tanzania na haya yanafanyika Tanzania na tunaongelea ya Tanzania. Kwani Tz ni USA?
 
Na hiyo kwani imetokea mara ngapi? kama ni mara moja ujue kuna jambo la msingi na alistahili kupewa escot,, tuache majungu,, tuwahimize baba zetu wawe maraisi tufaidi!!!!
 
Ridhwan hajavunja kipengele chochote lakini aliyeidhinisha hayo magari kavunja!
[/QUOTE
 

Nchi yetu haina utaratibu. Ni "Bendera hufuata Upepo" tu.
 
Hii hospitality ya serikali itaendelea mpaka lini? Kisheria mtoto ni mtu aliye below 18, huyu bwana amepitiliza miaka 18 kwa nini asijilinde mwenyewe kutokana na kazi anayofanya na badala yake alindwe na hela za walala hoi?
 
Jamani tuyaweke kwenye kumbukumbu...maana atatokea raisi katika nchi hii ambaye atawashitaki hata maraisi waliokuwepo madarakani na watoto wao.wajukuu hadi watoto wa ndugu zao.tuangalie watoto wa muasisi wa taifa hili waliishi vipi...napata hasira.
 
Bado wengi mnachangia bila kuielewa thread....hakuna tatizo mtoto wa Rais kupewa ulinzi...ni sawa kabisa.....suala ni kuwa na msafara....yaani wapiga kura wa baba yake wakae foleni yeye apite kwenda Dubai
 

Mkuu urais wa JK ni mali ya Familia aka BMW....Changanya na akili zako..
 
watoto wa OBAMA sawa - na marais wengine ughaibuni - nadhani wanaweza kutekwa nyara halafu mahela ya kuwakomboa yakawa mengi - lakini nani amteke nyara RIZIWANI kikwete??? huku utamaduni huo hatuna - na baba yake anazo hela za kulipa ramson??? zote alishatengenea mabango - hivyo RIZIWANI aje tu tupande wote dala dala; bajaj etc.

kwanza anampendelea .............. na hao wengine je????? ngoja tuone itakavyokuwa.................
 
 
Mbwembwe zote hizo....hii stori umei-quote kwenye gazeti gani? Sani, Ijumaa, Hamu au Kiu???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…