Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 217,994
Hii ni taarifa iliyotolewa na mdogo wa Marehemu aitwaye Charles Hizza kama ilivyonukuliwa na Gazeti la Mwananchi , kwamba Mwili wa Kamanda Tambwe Hizza utahifadhiwa kwenye Makaburi ya Chang'ombe Maduka Mawili .
Ni mazishi ya Kikristo yatakayofanyika Leo hii , watu wote mnakaribishwa .
UPDATES
..........................................
FITNA ZAFANYWA ILI KUINYIMA CHADEMA UKUMBI WA TCC - CLUB CHANG'OMBE KUTUMIKA KUMUAGA MAREHEMU .
Ni mazishi ya Kikristo yatakayofanyika Leo hii , watu wote mnakaribishwa .
UPDATES
..........................................
FITNA ZAFANYWA ILI KUINYIMA CHADEMA UKUMBI WA TCC - CLUB CHANG'OMBE KUTUMIKA KUMUAGA MAREHEMU .