Rich gang members wamwaga mamilioni ya pesa kaburini kwa Ivandon

Hivi Tz naruhusiwa kuchoma hela, ama kuifukia kaburini kama hivo?.. Nilishawahi sikia ni kosa la jinai.
 
Hovyooooo hizo hela mbona zimeshindwa kumponya?

Hao madon walikuwa wateja wake wa ndumba ili wasikamatwe kwenye biashara zao chafu
 
Hivyo Uganda hakuna Serikali? Hao wote waliomwaga fedha kaburini walipaswa kukamatwa na kushtakiwa mahakamani. Hili ni kosa la jinai. Ni sawa na kuchana fedha hadharani. Maana yake umeziondoa fedha ya serikali katika mzunguko halali wa kiuchumi
Unajuaa Sheria ya uganda au unaongea tu? Kosa la jinai nani amekwambia? Kila nchi ina mipaka yake ya sheria kuhusu fedha,
sasa usifanishe Uganda na TZ
 
Kijiografia Uganda na Kagera (Bukoba) ni sehemu moja.Nyerere tu alilazimisha kuichukua Kagera kutoka Uganda na kuileta Tanganyika.

Idd Amin alikuwa sahihi kuing'ang'ania Kagera...Ili kumfahamu vizuri mtu mweusi wa Afrika,na hasa "MBANTU" wa "Interlacustrine Region" yaani eneo la Banyankole,Buganda na Kagera...Basi pitia tu hata hints za "CULTURAL ANTHROPOLOGY"

Hata Wazungu waliokuja kama Wapelelezi waliliona hili linalofanywa na hawa "Rich Gang Members".Mmisionary alipokuja Tanganyika kutokea Zanzibar,aliruka mikoa yoooote,akaweka makazi kwanza pale "Rubya-Bukoba" kabla ya kwenda sehemu nyingine.Aliisoma vema report ya wale "Explorers"
Sure
 
Hata kama ni freemason, hebu niungeni tu,
si nikifa watoto wangu watabaki na hela jamani;
acheni roho mbaya.
 
Back
Top Bottom