Gambuti mkuuKama namuona mkuu wa mkoa fulani anavyozitolea mimacho...zingekuwa mkoani kwake tayari angeshazipangia matumizi mengine...
Shubaaamit!
Kama ni staili hiyo kunamambo huyo jamaa alisema kama maagano ya giza haiwezekani na lbd ndo muda alopewa kuishi na sasa ndo mwisho haiwezekani.Daah watu wana kufuru na hela aisee
Hapana mkuu huu ni ujinga wa kiwango ya chinikabisa nilio wahi kukutananaoHuu ndio ujinga wa kiwango cha juu niliowahi kukutana nao
Unajuaa Sheria ya uganda au unaongea tu? Kosa la jinai nani amekwambia? Kila nchi ina mipaka yake ya sheria kuhusu fedha,Hivyo Uganda hakuna Serikali? Hao wote waliomwaga fedha kaburini walipaswa kukamatwa na kushtakiwa mahakamani. Hili ni kosa la jinai. Ni sawa na kuchana fedha hadharani. Maana yake umeziondoa fedha ya serikali katika mzunguko halali wa kiuchumi
Sio pesa moja moja zinazoonekana , izo ni bulungutu la noti za pesammmh hizo noti za elfu kumi na elfu ishiri za kuhesabika ndo zimefika zaid ya 30m???
au zipo zingine tofauti na hizo zinazoonekana kwa picha?
SureKijiografia Uganda na Kagera (Bukoba) ni sehemu moja.Nyerere tu alilazimisha kuichukua Kagera kutoka Uganda na kuileta Tanganyika.
Idd Amin alikuwa sahihi kuing'ang'ania Kagera...Ili kumfahamu vizuri mtu mweusi wa Afrika,na hasa "MBANTU" wa "Interlacustrine Region" yaani eneo la Banyankole,Buganda na Kagera...Basi pitia tu hata hints za "CULTURAL ANTHROPOLOGY"
Hata Wazungu waliokuja kama Wapelelezi waliliona hili linalofanywa na hawa "Rich Gang Members".Mmisionary alipokuja Tanganyika kutokea Zanzibar,aliruka mikoa yoooote,akaweka makazi kwanza pale "Rubya-Bukoba" kabla ya kwenda sehemu nyingine.Aliisoma vema report ya wale "Explorers"
sio kweli...angalia vizuriSio pesa moja moja zinazoonekana , izo ni bulungutu la noti za pesa
ULIMBUKENI WA FIKRA