Kwani hizo pesa zilikuwa zake?Habari ndg zangu wana Jf.. Katika hali ya kushangaza,ili kauli ya kusema kuwa *utakufa na kuacha pesa zako zote*, leo imevunjwa na matajiri wa kiganda baada ya kuamua kutupia zaidi ya shiling milion 30 za kibongo kwenye kaburi la Raisi wa mataji*RichGang*ivan don kabla ya mwili wake kuzikwa..
Hi ni hali ambayo wengi hawakutarajiwa,
..... Ivan kafa kazikwa na pesa zake.......