Toka wapi, mbona unakuwa wa ajabuAnaejua nauli ya Tanga tafadhali, maana nishaishiwa pawa....😋
Toka wapi, mbona unakuwa wa ajabuAnaejua nauli ya Tanga tafadhali, maana nishaishiwa pawa....😋
Na hili ndilo tatizo kubwa la watu wa kuja (WANYIKA). Siku zote wamekuwa wakiamini utamaduni wa watu wa Tanga mjini ndiyo utambulisho wa watu wa Mkoa wote wa Tanga!Waondoe wasambaa kwenye huo mjumuisho.
Bora hataMwanamke yeyote akijua hana financial independence ni dhahiri atakuwa mkarimu na mtiifu maana hana choice nyingine.
Reference ni Wadigo.Na hili ndilo tatizo kubwa la watu wa kuja (WANYIKA). Siku zote wamekuwa wakiamini utamaduni wa watu wa Tanga mjini ndiyo utambulisho wa watu wa Mkoa wote wa Tanga!
Hata hawafahamu kama Mkoa wa Tanga una makabila na tamaduni tofauti! Kusema eti wanawake wa Kisambaa kutoka Lushoto au Korogwe hawapendi kufanya kazi! ni kichekesho.
Mzee nili toka shy to tanga waka chukua 60k.Anaejua nauli ya Tanga tafadhali, maana nishaishiwa pawa....😋
Chai1. Ni wanawake wenye dedication kwenye mapenzi na ndoa
2. Hawapendi kufanya kazi ila wapo vizuri kwa kazi za Kitandani tu
3. Wengi wanaweza kuwa na sura nzuri ila maumbo si sana.
4. Wanajua sana kupika
5. Wana ongea kwa mahaba
6. Si wachoyo ni wakarimu kwenye mambo yote
7. Wanajua kuzaa huwa hawakatai hata ukimwambia tu nizalie. Anafurahi
8. Hawapendi shule. Wengi ni darasa la 7 akijitahidi sana kidato cha 4.
9. Wanawaheshimu wanaume wao sababu ndo wanawaweka mjini
10. Wana mahaba sana na watekaji wa mioyo ya wanaume.
Umeelezea vizuri. Hasa wanapenda kuuza VITUMBUA na CHAPATI.Kazi za petty business wanafanya kama kuuza maandazi, vitumbua, stalls za vyakula...sahani elfu 1 unapata wali maharage and the like
zamani nikajua wanawake wa tanga ni wazuri hasa upande wa hips, msambwanda, na miguu kuja kuwaona wanawake wa tanga tobaaaaaa dada zetu wazuri narudia wazuri labda wanajua ndo mapenzi na kupika maandazi vyakula vingine km ugali zero wali napo zero wamekariri upishi ni nazi na sio ubunifu
ni mdodo mwai aaaai aaai ni mdodo mametu ni mdodo aaai iii
Ongeza na hii
-Wengi hawavai vifuniko vya asali
Hahaha ukienda kuoa tanga na kaka mtu anakuja kuishi kwa shemeji yake
Ulijuaje kama na wewe sio samaki tope?Wanagawa utamu hadi jicho.
Mpaka wakiume hahaha wanajua kukatika haoUnaoa wote. Familia nzima.
Umejuaje?Mpaka wakiume hahaha wanajua kukatika hao
Hapo kwenye mauno wamakonde na wangoni tu wengine wanaigaNjoo Kondoa Utasahau Tanga Kabisa
Fika Pahi Halafu Malizia Kijiji Kinaitwa MAUNO
Ukija Teleka Bicha Unganisha Gari