Nilikuwa Netherland nilikuwa nafanya MBA, nilishudia uchaguzi wa viongozi wao wa nchi katika ngazi mbalimbali.
Nilichojifunza, tofauti ya sisi na wao ni uadilifu (integrity) wao mtu anaomba nafasi ya kuongoza kwa sababu anakwenda kusimamia rasilimali zimfikie kila RAIA apate mahitaji yake ndiyo maana raia asiye name kazi ya kujiajiri au kuajiriwa analipwa name serikali fedha ya kumwezesha kumudu mahitaji ya msingi kama chakula, nyumba na mavazi, wagombea hawanunui uongozi.
Sisi wagombea wananunua uongozi na wanakwenda kupora Mali ya umma.
Nilichojifunza, tofauti ya sisi na wao ni uadilifu (integrity) wao mtu anaomba nafasi ya kuongoza kwa sababu anakwenda kusimamia rasilimali zimfikie kila RAIA apate mahitaji yake ndiyo maana raia asiye name kazi ya kujiajiri au kuajiriwa analipwa name serikali fedha ya kumwezesha kumudu mahitaji ya msingi kama chakula, nyumba na mavazi, wagombea hawanunui uongozi.
Sisi wagombea wananunua uongozi na wanakwenda kupora Mali ya umma.