Mkuu mi naona hata wapiga kura ni maboya tu,hivi ni kweli hakuna namna ya kuikataa serikali ya CCM tofauti na katiba,Bukina wamewezaje»Katiba ndio kina makonda washaitunga,wameviondoa vipengele vyote vinavyompa mpiga kura power.
»JK lionee taifa huruma,roho za watu zinaangamia kwa ajili yako,wananchi walikuchagua kiroho safi wakitegemea maisha bora lakini imekuwa kinyume.
Aibu sana!
Alafu hivi na wewe uko kwenye mgao au unatetea tu?
Kuhusu hiyo update, kikao cha kamati ya Nishati, haya na hizo posho za mil 3 kila mjumbe pesa za toka wapi, na wanalipwa kiasi hicho kwa walaka upi?
Haya mambo jamani kwanini watanzania tunakuwa kama mazezeta? We should take action jamani khaaa!!
unayajua magamba ama unayasikia tu!utaona jinsi ishu itakavyopinduliwa,ogopa sana experienced thieviesAsante kwa taarifa hii ishu lazima iwakalishe magamba.
Tuanzie hapa. Tuchukue hiyo IPTL iwe ya TANESCO mara moja.Kama kuna ambae anaweza kunielewesha nitafurahi. Kwa tarifa zilizopo mkataba wa IPTL ulikuwa miaka 20, 1995-2015. Katika kipindi hiki mgogoro pamoja na wizi ndo vimetokea. Lakini kwa sasa tena IPTL imeongezewa miaka 20, yaani mpaka 2035. PAMOJA NA MATATIZO YOTE HAYA NANI ALIYEIONGEZEA IPTL MUDA -20 yrs more!!!!!!!!!!
Wee nawe unatumia kiungo gani kufikiri,,,kiROBA ni ANASA umeme ni moja ya mahitaji muhimu kwenye Maisha ya mwanadamu,,,Kwahiyo ndio fomla mnayotumia kuwapandishia watu.gharama ya mahitaji muhimu eti,,kwa vile watu wanamudu kununua kiroba daah,,,,!
hayuko smart watu wanatumia advantage yake ya kuleta ushkaji kwa sana kumpiga....yeye kakaa tu kama bo..yaHuwa najiuliza kama kila wizi mkubwa unapotokea rais hajui au hana habari, hivi tulimuweka pale ikulu kulinda nini?
Kama unaona kulipia umeme kwa siku sh 1000 wakati unakula viroba vya 3000 kwa siku si uachane na umeme uwashe koroboi,kwani umelazimishwa?
sasa kama umeona viroba ni vya muhimu kuliko umeme kelele za nini?.
mwanaume mzima kuja kulialia mitandaoni eti kachajiwa elfu ya umeme inaonyesha alivyo mchelemchele.no wonder wavaa kata k wamezidi nchi hii
Huwa najiuliza kama kila wizi mkubwa unapotokea rais hajui au hana habari,
hivi tulimuweka pale ikulu kulinda nini?
Tutahakikisha panya wote wanauawa hata wajifiche chini ya handaki la ikulu tutawatoa tu