Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,984
Naombeni kama kuna mwenye contact za huyu jamaa anipatie kuna jambo nataka nimtume kule Bungeni. Au ngoj niliweke hapa. Kuna mtoto wangu aliitwa kufanya Interview ya TANESCO iringa June mwaka huu.Baada ya ile Interview alitumiwa barua akaambiwa kazi amepata ila asubiri ataitwa, sasa kuanzia mwaka jana huyu kijana hataki kutafuta kazi nyingine anashinda nyumbani akisubiri Tanesco wamwite akafanye kazi Iringa. Nataka Rev. Msigwa aniulizie hili jambo kwa Ngeleja.