NOT ENOUGH
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 596
- 307
Salama wandugu,
Eti mimi najiuliza kama JK na Mrema wametunukiwa Phd za heshima then why not REV MASAPILA?
Eti mimi najiuliza kama JK na Mrema wametunukiwa Phd za heshima then why not REV MASAPILA?
Salama wandugu,
Eti mimi najiuliza kama JK na Mrema wametunukiwa Phd za heshima then why not REV MASAPILA?
:bange:
Mrema kapewa? lini tena jamani? Kwa lipi hasa? Hebu mtujuze wengine maana tulikuwa mashimoni hata hatuelewi mavituz huku juu yanaendaje
Mrema ni Dr alipewa na college moja RSA ila sijui kinaitwaje
sa huyo mrema na huyo jk,wamefanya kipi cha maana hadi wa2nukiwe hzo degree za heshma?Kigezo kikubwa kinachotumiwa kupewa Honorary Degree such as Honorary PhD ni kufanya jambo ambalo linalosadikika kuwa na mchango katika kutatua tatizo fulani ambalo lilikuwa linaisumbua jamii!