Rev Fr Masanilo!!

Huyu jamaa nimewasiliana naye leo mchana,

Amenitonya kuwa yuko kwenye harakati za kusajili chama ili akusanya makafulila yote yatakayofulia kwenye vyama vyao!!

Mnataka nimwambie nini??


Babu DC!!
 
Huyu jamaa nimewasiliana naye leo mchana,

Amenitonya kuwa yuko kwenye harakati za kusajili chama ili akusanya makafulila yote yatakayofulia kwenye vyama vyao!!

Mnataka nimwambie nini??


Babu DC!!

Sasa si aungane na mchungaji mwenzake Mti**la
Afu wayazoe hayo makafu..la yote
 
Huyu jamaa nimewasiliana naye leo mchana,

Amenitonya kuwa yuko kwenye harakati za kusajili chama ili akusanya makafulila yote yatakayofulia kwenye vyama vyao!!

Mnataka nimwambie nini??


Babu DC!!
Mwambie kuna kondoo humu jf anaitwa kongosho hajulikani ni HE au ni SHE manake ana mandevu na mahps kwa wakati mmoja, aje amfanyie maombi tumtambue jinsia yake ni ipi.


Natanguliza shukrani babu mpendwa.
 
Nawashangaa wapwa zangu hata kunithamini hakuna mlikuwa mnategemea nife ili mje kuuza sura msibani kuna member wa jf asie tambulika kaniokoa.
Mpwa nilimtuma huyo member akuletee Konyagi kwa kuwa Konyagi ni rafiki yako wa damu angekusaidia kipindi hiki ambacho uko juu ya dari kupisha mafuriko yaishe
 
Atakayenionea na shemeji langu uporoto01 amwambie pia namtafuta sana...

Uporoto amejiunga na waharamia wa somali anateka majahazi yanayokatiza bahari ya hindi, kimemchanganyia sana ameniambia hategemei kuludi bongo tena
 
Mwambie kuna kondoo humu jf anaitwa kongosho hajulikani ni HE au ni SHE manake ana mandevu na mahps kwa wakati mmoja, aje amfanyie maombi tumtambue jinsia yake ni ipi. Natanguliza shukrani babu mpendwa.
Bora umesema, to be honest hata mie cjui huyu mwenzetu ni jinsi gani, bora afanyiwe maombi!
 
Mpwa nilimtuma huyo member akuletee Konyagi kwa kuwa Konyagi ni rafiki yako wa damu angekusaidia kipindi hiki ambacho uko juu ya dari kupisha mafuriko yaishe
Daaah huyo memba mmbaya sana, manake alipeleka chai badala ya konyagi, si ulimwona fidel akinywea chai juu ya paa?
 
Mpwa nilimtuma huyo member akuletee Konyagi kwa kuwa Konyagi ni rafiki yako wa damu angekusaidia kipindi hiki ambacho uko juu ya dari kupisha mafuriko yaishe
Dah, sasa angepataje hiyo kiroba wakati yupo darini, maana hata boat haiingii kwake coz mlango mwembambaaa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom