Huyu mtu yuko wapi?
Huyu jamaa yuko Vatican Xmas atakuwa hewani
Wewe ndio msemaji wake? mimi nilidhani tu ni ndevu si mzigo tu! kumbe hata hijabu si mzigo!Kajitokeza hatimae
Wewe ndio msemaji wake? mimi nilidhani tu ni ndevu si mzigo tu! kumbe hata hijabu si mzigo!
kweli Rev. amekua kimya sana.
Please Rev come back.
Sasa hukoGuam ndio wapi tena, mwambie nataka Jumapili niende kanisani kwake, ni maeneo gani ati?[/QUOTE]
hata mim napatafuta,
ukishapajua uniambie.
Dear hata wewe umepotea sana, Nyani Ngabu amekumiss sana
Kajitokeza hatimae
Name calling
Regards with Love to the Rev Fr.
DA hijab kweli ni mzigo! Uwezo wakufikiri umekuishia kabisa umebakia kuwa vuvuzela
PHP:
Si unaona nani kakwambia mimi ni kaka
We mbona mgomvi jamani yaishe basi mweeh
Tuweke makubaliano na maridhiano ya amani na upendo! Usichokoze wozoza
Where?? We ndo msemaji wake?