kweli Rev. amekua kimya sana.
Please Rev come back.
Huyu mtu yuko wapi?
Mpwa umeishashuka kutoka kwenye dari..Yupo busy zenji si mnajua jamaa wanataka kuhasi chama.
Msimu wa Sikukuu yuko busy anawapa baraka za krismasi kondoo wake...amefungua Kanisa jipya South Sudan maeneo ya Juba tumuunge mkono usafiri wa ndege kwenda na kurudi Juba upo unatolewa bure na mchungaji masa kipindi hiki cha sikukuu...
na wewe ulipotea!
Yupo busy zenji si mnajua jamaa wanataka kuhasi chama.