Akijuana na marehemu nje ya jf unaumia wapi?Chai.
Mtu mwenye uchungu hawezi kuandika gazeti lote hili.
Hapa umeandika upate attention kwamba na wewe unajuana na marehemu nje ya JF.
Dah. R.I.PTaarifa ya Msiba ποΈ
Kwa huzuni kubwa tunapenda kutangaza kifo cha mwenzetu @β¨Valentina Jfβ© π, ambaye amefariki dunia baada ya kuingizwa kwenye operesheni katika Hospitali ya Babuu Mkoani - Arusha
Madaktari wamefanikiwa kumwokoa mtoto wa kiume, ambaye anaendelea vizuri.
Taarifa kamili kuhusu mazishi zitatolewa baadaye.
Tunaomba Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na awape faraja familia pamoja na wote walioguswa na msiba huu. π
Dah. R.I.PTaarifa ya Msiba ποΈ
Kwa huzuni kubwa tunapenda kutangaza kifo cha mwenzetu @β¨Valentina Jfβ© π, ambaye amefariki dunia baada ya kuingizwa kwenye operesheni katika Hospitali ya Babuu Mkoani - Arusha
Madaktari wamefanikiwa kumwokoa mtoto wa kiume, ambaye anaendelea vizuri.
Taarifa kamili kuhusu mazishi zitatolewa baadaye.
Tunaomba Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na awape faraja familia pamoja na wote walioguswa na msiba huu. π
Chai.
Mtu mwenye uchungu hawezi kuandika gazeti lote hili.
Hapa umeandika upate attention kwamba na wewe unajuana na marehemu nje ya JF.
Kwahiyo tuseme Rest in peace to all in Advance sio?2080 wote humu tutakua tumekufa tu , hata sio mbali ni swala la muda tu
Oooh ππTaarifa ya Msiba ποΈ
Kwa huzuni kubwa tunapenda kutangaza kifo cha mwenzetu @β¨Valentina Jfβ© π, ambaye amefariki dunia baada ya kuingizwa kwenye operesheni katika Hospitali ya Babuu Mkoani - Arusha
Madaktari wamefanikiwa kumwokoa mtoto wa kiume, ambaye anaendelea vizuri.
Taarifa kamili kuhusu mazishi zitatolewa baadaye.
Tunaomba Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na awape faraja familia pamoja na wote walioguswa na msiba huu. π
ππ2080 wote humu tutakua tumekufa tu , hata sio mbali ni swala la muda tu
Kabisa mimi huwa nikikumbuka hilo hata sina wasiwasi kabisa , lazima tufe ili wengine nao waishi, ndio asili inavyotakaKwahiyo tuseme Rest in peace to all in Advance sio?
Kwanza ngoja nikapate bia funda tatu kwa kumbukumbu na heshima ya valentinaππ
Kwahiyo unashauri tuendelee kula kilaji?
Nimekuuliza which peace you wish her by the way? Unaamini kuna maisha mengine baada ya kufa?Acha kulazimisha mambo we nyumbu wa Lake Manyara.
Wapi nimetaja eternal?
Eternal ni nini? Na kwa nini Mungu awe na monopoly ya eternal?
Acha kuchafua uzi wa msiba kwa uharo wako hapa.
Jamaa kajichanganya ndio maana kapanic.Nimekuuliza which peace you wish her by the way? Unaamini kuna maisha mengine baada ya kufa?
NB: Mungu ampe pumziko jema mpendwa wetu let her soul rest in eternal peace
Stress za maisha, msongo mkubwa wa mawazo, jobless, poverty ..Kwani umekuwaje siku hizi? Sio yule amazing hance wa tunda....hii character mpya haikupendezi, marafiki/ rafiki ako wa kitambo sijakuzoea hivi. π€