Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,008
- 142,666
Whaat?!!!Mimi. Sina maneno mengi ya kuandika ilaa nima huzuni kubwa juu ya taarifa ya msiba juu ya mpendwa wetu Valentina ππ..
Wengi wetu tunamjua kwa kuunganisha watu na kujenga upendo katikati ya chuki na hasira , lakini leo Mungu amempenda zaidi.
π₯
Nitatoa updates kadri nitakavyojaliwa.
Mungu wanguπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯ΊπππππππππππππMimi. Sina maneno mengi ya kuandika ilaa nima huzuni kubwa juu ya taarifa ya msiba juu ya mpendwa wetu Valentina ππ..
Wengi wetu tunamjua kwa kuunganisha watu na kujenga upendo katikati ya chuki na hasira , lakini leo Mungu amempenda zaidi.
π₯
Nitatoa updates kadri nitakavyojaliwa.
Ni wengi sana ipo ivyo, kuna wengine humu last seen ni 2008 lkn huwezi kujua aliamua kuondoka jf, au alisahau id yake au ndio kishatangulia mbele ya haki.Siku nikitwaliwa hata hiyo RIP sitawekewa na jf maana hamna atakaejua.
Oh Lord! Valley wangu jamani! Nimeishiwa na maneno.Mimi. Sina maneno mengi ya kuandika ilaa nima huzuni kubwa juu ya taarifa ya msiba juu ya mpendwa wetu Valentina ππ..
Wengi wetu tunamjua kwa kuunganisha watu na kujenga upendo katikati ya chuki na hasira , lakini leo Mungu amempenda zaidi.
π₯
Nitatoa updates kadri nitakavyojaliwa.