BCR
Senior Member
- Mar 16, 2011
- 101
- 12
wakuu!baba yangu mpendwa Mzee Chizenga amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu!1933-2012!upumzike kwa amani baba yangu!
MUNGU WA MBINGUNI awafariji na kuwafuta machozi, ROHO MTAKATIFU azibe pengo lolote lilioachwa na mpendwa wetu.