King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
:fear:Ooh Lord!
Im sorry:hug:
Im sorry:hug:
you finally spelled my name right :A S-heart-2:. thanks
you finally spelled my name right :A S-heart-2:. thanks
LAbda uniambie ile ID inamilikiwa na 'jopo la watu' na si mtu mmoja kama ninavyodhani.
Hivi unadhani mtu mmoja anaweza kusaidia kufikia sulihisho ukilinganisha na jopo la wana MMU wote??
Kwanza, kasomea kutoa hiyo kanseling?
you're a lot harsher than I was 🙂 but i see your point. anyways ngoja nione hii itafikia wapiKama watu wameshindwa kumuamini kwa ID yake ya siku zote, ajue hafai
Kwa nini atake wamuamini kwa ID mpya sasa? Kwanza yeye anapata faida gani?
Angalau angetumia ID yake ya siku zote, ningejaribu kumwelewa.
Intention yake ni ipi? Kama ni genuine kutoa ushauri, kwa nini hakuja na ID yake ya mwanzo?
It is not a big deal, he/she offered a help but one is not obliged to go for it.
Uaminifu ni character so haiwezi kuombwa wala kuuzwa; na haiwezi kulazimishwa pia.
you're a lot harsher than I was 🙂 but i see your point. nikitaka PM advice ntamuuliza some1 reputable/ninayemjua, au ntatumia fake ID to ask jamvini. anyways ngoja nione hii itafikia wapi