response to ushauri about the closed thread

response to ushauri about the closed thread

Hmm! Jambo gani gumu hivo ambalo huwezi kulianika na kutiririka hapa mpaka uPM mtu? Weka wazi kila tatizo lako hapa naweza kukusaidia na USHAURI, MAONI NA KUKUNASIHI..lol Usiogope kuleta mada mpya kila siku. TUNAHAMU yakujua kinachokusibu na kukusumbua ili tukusaidie kwa HALI na MALI ikibidi! Lol
 
Blaine naona point yako lkn naiona pia ya USHAURI. Kwa maoni yangu inachosha kufungua ID mpya kila upatapo shida ili kuficha ID mama yako; na kama kuna njia ambayo naweza pewa ushauri au hata counseling bila kujulikana na wengi l would go for it. Sio kila mtu anakifua cha kubeba madongo au mapondo yanayotokea pindi uanzishapo thread ya kuomba ushauri au hata uchakachuzi kama uliofanywa kwenye thread ya USHAURI. So for those who will be comfortable let them try n see if it is worthy.Mwenyewe nina issues ambazo l real need someone anipe ushauri lkn sio jamvini; so l will give a try; hasa kucheck how good Mr/Ms Ushauri is.
Blaine unamawazo mazuri sana ila tu unasahau kwamba si MARA ZOTE MTU atapenda kushauriwa jukwaa zima. hii hutokana na jinsi ambavyo jambo lenyewe ni sensitive na implication yake kwa watakao mshauri.ngoja nikue mfano mmoja nilipatwa na mwendelezo wa part 3 kwenye uzi wangu ule wa ""mitego ya dunia hii siiwezi"" huwez kuamini kwa jisi ambavyo ilikuwa serious na kwa jinsi ambavyo jambo lenyewe lilivyokuwa na sura tofauti i had to go chemba kwa watu ambao i trust them nikafunguka kwao. nashukuru sana walikuwa sehem yangu na kunishauri and the thing is over.based on that urgument i buy mama/ baba, USHAURI's idea na kiukwel if yuko competent najua atasaida wengi sana tu.
mhh!! maybe i was too quick to dismiss the idea -_- very well i'll reserve judgment till laterz. I just found it very strange. ntajaribu nkipatwa na "jambo gumu"
 
Last edited by a moderator:
Blaine, nakubaliana na huyo ndugu japo sikuiona hiyo thread. Kuna ushauri mwingine kujilipua nao mbele za watu ni ngumu. Its ok kuamua kuongea na mtu mmoja. Inatokea japo kuna wapuuzi wachache, anasema naomba ushauri na kuanza kutongoza. Wengine wanasema natafuta ajira afu ukimuelekeza pa kwenda anarudi kutongoza. Hao kuwapotezea ni rahisi manake unadharau tu.
 
Watu tunabeba mambo tofauti tofauti.

Kuna wengine wana aibu kuomba ushauri kwa jambo fulani, wengine ndio hivi, tumekulia kwa mfuga mbwa.

Ila kiukweli, hizi mada zinazotolewa hapa, zinatoa changamoto na kwa njia moja watu tunapata ujuzi, tunaanza kuona mambo katika rangi nyingine.

Kumfuata mtu PM ni sawa, kutegemea na wwe unaonaje, lakini pia inaweza kukulipukia hasa unapojikuta umejieleza sana kwa 'mbea' ambaye ataisama story ikiwa ime-editiwa. Bora umwange hapa ITV watu waisikilize Live na watoe comment zao.

Inategemea na mtizamo wa mtu binafsi
 
Mmh, kwenda PM ni kujilipua aisee

SI unajua nina digrii ya umbea? Nita-edit story yako niipeleke kwa shigongo, subiri uje kuniomba ushauri.

Blaine, nakubaliana na huyo ndugu japo sikuiona hiyo thread. Kuna ushauri mwingine kujilipua nao mbele za watu ni ngumu. Its ok kuamua kuongea na mtu mmoja. Inatokea japo kuna wapuuzi wachache, anasema naomba ushauri na kuanza kutongoza. Wengine wanasema natafuta ajira afu ukimuelekeza pa kwenda anarudi kutongoza. Hao kuwapotezea ni rahisi manake unadharau tu.
 
Umeona eeh!!


Afu ukimfuata PM mtu anakuonea haya, inabidi akupe ushauri wa ukweli kwa lugha laini laini tu, basi ni kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa.

Lakini hapa, unapewa jibu ambalo ni 'top layer', as it is.

Hmm! Jambo gani gumu hivo ambalo huwezi kulianika na kutiririka hapa mpaka uPM mtu? Weka wazi kila tatizo lako hapa naweza kukusaidia na USHAURI, MAONI NA KUKUNASIHI..lol Usiogope kuleta mada mpya kila siku. TUNAHAMU yakujua kinachokusibu na kukusumbua ili tukusaidie kwa HALI na MALI ikibidi! Lol
 
Issue inaweza isiwe ngumu mdogo wangu Blaine kama huyu Bw/Bi USHAURI ata-win consent ya watu..
Manake mpaka sasa PM zinatumika kushauri..na wala sio mara moja hata mimi nimezama PM kutafuta 'kushauriwa'
Kikubwa ni jinsi gani huyu USHAURI ataji-establish hapa jamvini kama gwiji la utatuzi.....................
 
Last edited by a moderator:
Bora wameifunga.
USHAURI umenikera mno, kwa hiyo wewe unajitolea kwani umeombwa na nani? Kwa faida gani kwake?

Umejuaje kama watu wanashindwa toa dukuduku zao hapa? Motive ni nini?
 
Last edited by a moderator:
Umeona eeh!!


Afu ukimfuata PM mtu anakuonea haya, inabidi akupe ushauri wa ukweli kwa lugha laini laini tu, basi ni kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa.

Lakini hapa, unapewa jibu ambalo ni 'top layer', as it is.

shida kuna uchakachuzi wa kuzidi halafu unaweza dilute the whole thing; ninachokiona kwa ushauri wa PM unakuwa one on one na unakuwa kicounceling zaidi na unaweza kukufanya ujitambue, if done properly. Na by properly l mean, Mr. Ushauri hapaswi kukupa jibu au suluhu ya tatizo lako rather anatakiwa akusaidie ufikie suluhu ya tatizo lako.
Anyway sijui kama atatupa feedback au watu watakaoattend sessions naye wanaweza kutupa huo mshindo nyuma aka mrejesho on how good/helpful or bad was it
 
watu wanaomba ushauri PM kwa watu wanaowaamini


Siwezi kuja hapa na kukuambia, Snowbal nitumie PM za matatizo yako nikushauri, nina uhakika gani kama unaniamini kiasi hicho? Nina uhakika gani kana naweza kuwa na suluhisho la matatizo yako? NIna uhakika gani kama una imani na usiri wangu??

The thought was '----' kwa mtizamo wangu

Kuwa na imani na mtu haiombwi, inakujengwa.

Issue inaweza isiwe ngumu mdogo wangu Blaine kama huyu Bw/Bi USHAURI ata-win consent ya watu..
Manake mpaka sasa PM zinatumika kushauri..na wala sio mara moja hata mimi nimezama PM kutafuta 'kushauriwa'
Kikubwa ni jinsi gani huyu USHAURI ataji-establish hapa jamvini kama gwiji la utatuzi.....................
 
Issue inaweza isiwe ngumu mdogo wangu Blaine kama huyu Bw/Bi USHAURI ata-win consent ya watu..
Manake mpaka sasa PM zinatumika kushauri..na wala sio mara moja hata mimi nimezama PM kutafuta 'kushauriwa'
Kikubwa ni jinsi gani huyu USHAURI ataji-establish hapa jamvini kama gwiji la utatuzi.....................

Nami ninaona hiyo kitu, though my feeling ni kwamba Bw/bi Ushauri ni mtu mzoefu humu ndani; na watu wamemzoea kwa ID yake ya siku zote so ni kind of ngumu kuanza kumuamini mr. USHAURI
 
Last edited by a moderator:
LAbda uniambie ile ID inamilikiwa na 'jopo la watu' na si mtu mmoja kama ninavyodhani.

Hivi unadhani mtu mmoja anaweza kusaidia kufikia sulihisho ukilinganisha na jopo la wana MMU wote??

Kwanza, kasomea kutoa hiyo kanseling?
shida kuna uchakachuzi wa kuzidi halafu unaweza dilute the whole thing; ninachokiona kwa ushauri wa PM unakuwa one on one na unakuwa kicounceling zaidi na unaweza kukufanya ujitambue, if done properly. Na by properly l mean, Mr. Ushauri hapaswi kukupa jibu au suluhu ya tatizo lako rather anatakiwa akusaidie ufikie suluhu ya tatizo lako.
Anyway sijui kama atatupa feedback au watu watakaoattend sessions naye wanaweza kutupa huo mshindo nyuma aka mrejesho on how good/helpful or bad was it
 
Sidhani kama atafanya hivyo...kwa sababu mara nyingi mtu akienda PM tayari hiyo ni privacy na sheria za jf zinazuia kuleta kitu cha PM hadharani...Kama nilivyosema yeye ajitahidi tu kuchangia kwenye mijadala ya 'live' na mwisho wa siku watu tutatambua 'karama' yake...vinginevyo kwa sasa itakuwa ngumu kidogo....

shida kuna uchakachuzi wa kuzidi halafu unaweza dilute the whole thing; ninachokiona kwa ushauri wa PM unakuwa one on one na unakuwa kicounceling zaidi na unaweza kukufanya ujitambue, if done properly. Na by properly l mean, Mr. Ushauri hapaswi kukupa jibu au suluhu ya tatizo lako rather anatakiwa akusaidie ufikie suluhu ya tatizo lako.
Anyway sijui kama atatupa feedback au watu watakaoattend sessions naye wanaweza kutupa huo mshindo nyuma aka mrejesho on how good/helpful or bad was it
 
Kama watu wameshindwa kumuamini kwa ID yake ya siku zote, ajue hafai

Kwa nini atake wamuamini kwa ID mpya sasa? Kwanza yeye anapata faida gani?

Angalau angetumia ID yake ya siku zote, ningejaribu kumwelewa.

Intention yake ni ipi? Kama ni genuine kutoa ushauri, kwa nini hakuja na ID yake ya mwanzo?

Nami ninaona hiyo kitu, though my feeling ni kwamba Bw/bi Ushauri ni mtu mzoefu humu ndani; na watu wamemzoea kwa ID yake ya siku zote so ni kind of ngumu kuanza kumuamini mr. USHAURI
 
LAbda uniambie ile ID inamilikiwa na 'jopo la watu' na si mtu mmoja kama ninavyodhani.

Hivi unadhani mtu mmoja anaweza kusaidia kufikia sulihisho ukilinganisha na jopo la wana MMU wote??

Kwanza, kasomea kutoa hiyo kanseling?

Could be, ukisoma bandiko la awali inaonekana hivyo; but l might be wrong.
 
Hata kama ni jopo, kwa nini wanadhani wao ndio wataaminiwa sana na watu wafungue maisha yao kwao?

LAbda niulize, 'uaminifu' unaombwa? Can I ask you to trust me 100% na wewe uniamini?

Could be, ukisoma bandiko la awali inaonekana hivyo; but l might be wrong.
 
...Kama watu wameshindwa kumuamini kwa ID yake ya siku zote, ajue hafai
Naona kama umemhukumu mapema..kwani unamjua kwa ID ya zamani?...nenda PM naye ndo utamuelewa kama anafaa au hafai..si umeona tayari charminglady anatafuta wa kumsaidia..


Kwa nini atake wamuamini kwa ID mpya sasa? Kwanza yeye anapata faida gani?
Kushauri ni 'KARAMA' na kujitolea tu...ni sawa tunavyoshauri hapa kwani tunapata nini my dear?
Ingawa simuamini kwa sasa..but nadhani tumpe muda..wazo jipya huwa sio rahisi kukubalika mapema...


Angalau angetumia ID yake ya siku zote, ningejaribu kumwelewa.
ID sio issue nadhani..kikubwa ni ushauri wake..is it worthwhile? ..tumuache aanze kuchambua hapa then tutamuamini..tumpe benefit of doubt..lolz


Intention yake ni ipi? Kama ni genuine kutoa ushauri, kwa nini hakuja na ID yake ya mwanzo?
Lolz....hebu mpe nafasi..huwezi kujua bana..subira saa zingine huvuta heri..
 
Last edited by a moderator:
Sijamhukumu wala, ila anaacha a lot to be desired

SIjaelewa mantiki yake hata kidogo, labda kama kuna utafiti unafanyika

Yaani kati ya wanaMMU wote hawa wanaotoa hapa ushauri, mtu aje aniambie nim-PM yeye? Ana nini cha ziada kuliko wana MMU wote?

Na kwanini ajibebeshe zigo lote hili? Anapata faida gani? Mjini hapa

Am too tomasolised.

Naona kama umemhukumu mapema..kwani unamjua kwa ID ya zamani?...nenda PM naye ndo utamuelewa kama anafaa au hafai..si umeona tayari charminglady anatafuta wa kumsaidia..



Kushauri ni 'KARAMA' na kujitolea tu...ni sawa tunavyoshauri hapa kwani tunapata nini my dear?
Ingawa simuamini kwa sasa..but nadhani tumpe muda..wazo jipya huwa sio rahisi kukubalika mapema...



ID sio issue nadhani..kikubwa ni ushauri wake..is it worthwhile? ..tumuache aanze kuchambua hapa then tutamuamini..tumpe benefit of doubt..lolz



Lolz....hebu mpe nafasi..huwezi kujua bana..subira saa zingine huvuta heri..
 
Hata kama ni jopo, kwa nini wanadhani wao ndio wataaminiwa sana na watu wafungue maisha yao kwao?

LAbda niulize, 'uaminifu' unaombwa? Can I ask you to trust me 100% na wewe uniamini?

It is not a big deal, he/she offered a help but one is not obliged to go for it.
Uaminifu ni character so haiwezi kuombwa wala kuuzwa; na haiwezi kulazimishwa pia.
 
Back
Top Bottom