Radio Umbea fm
Member
- Jan 23, 2013
- 60
- 9
Hmm! Jambo gani gumu hivo ambalo huwezi kulianika na kutiririka hapa mpaka uPM mtu? Weka wazi kila tatizo lako hapa naweza kukusaidia na USHAURI, MAONI NA KUKUNASIHI..lol Usiogope kuleta mada mpya kila siku. TUNAHAMU yakujua kinachokusibu na kukusumbua ili tukusaidie kwa HALI na MALI ikibidi! Lol