Reli ya standard gauge ya Rwanda na Tanzania ni kaburi la uchumi wa Tanzania

@Mla Panya,
I won't blame you probably ni uelewa mdogo ukiongezea chuki binafsi.
1: Ujenzi was reli ukikamilika sio mizigo ya Rwanda tu itakayopitishwa,mizigo inayoelekea mashariki ya DRC sanasana Coma pia itatumia reli hii.
2: I wish ungejua revenue zinazotokana na mizigo iendayo Rwanda kupitia Dar, usingeongea upuuzi unaouongea sasa hivi.
3:Chuki zako binafsi dhidi ya Kagame inabidi uzitofautishe na nchi, Rwanda itaendelea kuwa jirani ya Tanzania daima:
4:Umetoa proposal kwamba ingekuwa bora reli hii ingejengwa kuelekea Kenya, kwani zikijengwa mbili kunashida gani? Project kama hizi inahitaji willingness na priority ya nchi husika. Probably Kenya au jirani wengine hawako tayari kwa sasa,are we to wait for them?
Fikra kama hizi ndio zinadidimiza bara letu.
I second your opinion 100%
 
yaani IQ yako ni ndogo kuliko hata ya kuku. huhurumii hata barabara zetu kuharibika ndani ya muda mfupi kutoka na mizigo kusafirishwa kwa barabara. Hutuhurumia sisi mtu kutumia siku mbili hadi tatu kutoka Kigoma kuja Dar es salaam. huwahurumii watanzania kushindwa kusafirisha mizigo yako kwa wakati kutokakan na ukosefu wa miundombinu muhimu naya haraka? wewe ni kuku kweli kweli.
Nakumbuka nikiwa bado secondary school tukitoka Dar Jumapili twaingia Mwanza Jumanne .... yaan ilikuwa majanga but SGR itanihitaji takriban MASAA 8 tu from Dar - ROCK CITY ... that's FANTASTIC since TIME IS MONEY ... we have to manage it wisely ...
 
Wewe ndo hujielewi na utajielewa siku ukifa. Wala akili yako ni ndogo haiwezi chochote.
Reli ni mhimu lakini si lazima ijengwe lazima uangalie aspects nyingi. Huko unakojenga reli mizigo haifiki kwa sasa?. Kama inafika kwa njia gani?.

Usinitoe relini kwangu hiyo reli siyo kitu kwa nchi na lengo ingekuwa kufaidika na reli angeanza na ya Zambia ambapo nchi nyingi zinaitumia siyo hako katarafa ka Rwanda.
ARE YOU A TRANSPORTER???
UNA MALORRY???
RELI SAFI SANA, BARABARA ZETU ZITADUMU, NA GHARAMA ZITAPUNGUA KWA TRENI. ETCETERA ETCETERA ETCETERA
 
Wengi hapa mnashabikia tu kwa hoja za kijinga,kwa sasa kulikuwa hakuna haja ya reli ya umeme kwa Tzn,tuna maelfu ya km za Barbara hazijajengwa na ndio zenye impacts kubwa kiuchumi na maisha ya mtu.Hizo reli zenu ni upuuzi,eti reli ikabebe dagaa mwanza wakati mabusi tu ya abiria hayajai si ujinga huo?
Hii ni sawa na kukacha wakandarasi kwenye ujenzi na kutumia TBA ambao mwisho wa siku gharama ni mkubwa kuliko za awali huku majengo yakiwa chini ya kiwango
 
Ni kweli ndivyo ilivyo kadri ya maono yangu ya ndotoni usiku wa kuamkia leo.

Ninasema haya moyo wangu ukivuja machozi mazito ya huzuni kwani miaka kumi ijayo Tanzania hii itakuwa makapi na nchi ya kwanza kwa uzalishaji wa dhahabu Afrika yaweza kuwa Rwanda hapo baadaye.

Kagame si mpuuzi hadi kushinikiza suala hili chini ya utawala huu na kufanikiwa kwa asilimia 100%. Sijaona kitu chochote ambacho watanzania watanufaika nacho kwa ujenzi wa reli hiyo ambacho sasa hivi wanakikosa kwa kutokuwepo kwa reli hiyo. Msomaji yeyote akitaka kuelewa asome sentensi hii zaidi na zaidi. Ikiwa huwezi kuielewa ni bora usiendelee kusoma zaidi.

Mizigo inayosafirishwa kwa njia ya barabara na maji kwenda Rwanda bado haijaweza kufurika hadi miundo mbinu hiyo ikaelemewa na kuhitaji huu wa tatu kwa kiinchi kidogo kama Rwanda.

Mwaka fulani mkongomani mmoja aliwahi niambia kuwa batanzania banatucheka kuongoswa na huyu Joseph kabila ba bandia lakini ipo msiku nanyi batachekwa kama sisi.

Unapoingia mkataba hasa unaohusu nchi na nchi terms and conditions zitumikazo ni za kimataifa na hata kama unavunja lazima uwe umeumia.
Hata kama reli hiyo kwa kagame itatumika miaka minne tu kwake inatosha kutimiza malengo yake ya nchi.

Tumeliwa tena tumeliwa kuliko walivyoliwa wakongomani nchini mwao. JK kukataa kufungamana na kagame ilikuwa usalama kwa nchi hii. Kwanini tusijenge hiyo standard na wakenya ambako tutafaidi mengi au tujenge hiyo gauge kwa hizi reli za tazara na kati nakufufua zilizokufa eti tunakimbilia kujenga za huko kwa huyo mnyalu.

Naapa kabisa ujenzi huo ndo kaburi la uchumi Tanzania kutokana na aina ya mtu anayehitaji huduma hiyo. Jiulize anataka kusafirisha vitu gani ambavyo havisafirishiki kwa maji na barabara?.

Kwanini hakuhitaji kufanya hivyo na JK wakati wote wa utawala wake?
Kwanini aliwahi kumtukana JK kuwa anashindwa kuongoza nchi na akadai watanzania wampe bandari tu itatosha kuhudumia nchi ya Tanzania na Rwanda kwa kila kitu?.

Ni vema tuacha usaliti wa kukaa kimya ktk mambo ya msingi maana hakuna usaliti mbaya na wa hatari kama kukaa kimya.Watanzania tuseme maana hata wataalamu wa masuala ya investment sidhani kama calculations iliwapa jibu la kuaccept hiki kitu au kureject.

Wataalamu wamebaki kuongozwa na matamshi badala ya kanuni za kitaalamu ili kuweza kuamua. Ukweli inaniuma mno najua ndoto yangu hii yaweza isikubalike lakini nimekataa kuinamishwa kwa kukaa kimya maana itakuwa ni usaliti mbaya. Being silence is the most silence betrayal that kills faster.

Tafakuri njema.
Nafananisha kauli hii na ile ya "uchaguzi huu tunaingia madarakani na kushika dola" uchaguzi ukiisha inakuwa kimya
 
Hisia hisia , hisia,inaweza ikawa ,au,isiwe,mana nihisia, hujatoa uasilia ,basiusipate tabu hizonihisia zako tu,ruombe mungu,reli is he ianzekazi tuta ziona hisiazako mana umekuwa mganga wakienyeji mpigaramli ,unhisikitu unamwambia mgonjwa wako ,akuamini akupehela najogoo..hii niserikali bhanaa,kaa pembeni nahisiazako, watuwapokazinii,,
 
Hisia hisia , hisia,inaweza ikawa ,au,isiwe,mana nihisia, hujatoa uasilia ,basiusipate tabu hizonihisia zako tu,ruombe mungu,reli is he ianzekazi tuta ziona hisiazako mana umekuwa mganga wakienyeji mpigaramli ,unhisikitu unamwambia mgonjwa wako ,akuamini akupehela najogoo..hii niserikali bhanaa,kaa pembeni nahisiazako, watuwapokazinii,,
Hisia gani wakati reli za ndani ambazo ni productive zinaozeana.Kuna reli gani ambayo ni productive kuliko Tazara je ina hali gani?.
Acha kuleta hoja zisizo eleweka .
Kuna usafiri wa anga,barabara na maji pia sasa hizi modes of teansport zimeelemewa kiasi gani mpaka kushinikiza hiyo ya tatu ambayo nayo ipo maana kigoma na kigali pana umbali gani?.
Mawazo siyo sare tuna upeo wa kuona mbali kuliko wewe unayeishia mwisho wa pua zako.
Angehitaji kuinua uchumi angeboresha hz za ndani na kufufua zilizokufa ningekuelewa.Usituletee propaganda hapa.Kenya,msumbiji,malawi ni more profitable kuliko huko kwa kagame.
Kaiba kongo kachoka anataka kugeukia tz watanzania nawaapia Kagame atazika uchumi wa nchi hii.
 
Hisia gani wakati reli za ndani ambazo ni productive zinaozeana.Kuna reli gani ambayo ni productive kuliko Tazara je ina hali gani?.
Acha kuleta hoja zisizo eleweka .
Kuna usafiri wa anga,barabara na maji pia sasa hizi modes of teansport zimeelemewa kiasi gani mpaka kushinikiza hiyo ya tatu ambayo nayo ipo maana kigoma na kigali pana umbali gani?.
Mawazo siyo sare tuna upeo wa kuona mbali kuliko wewe unayeishia mwisho wa pua zako.
Angehitaji kuinua uchumi angeboresha hz za ndani na kufufua zilizokufa ningekuelewa.Usituletee propaganda hapa.Kenya,msumbiji,malawi ni more profitable kuliko huko kwa kagame.
Kaiba kongo kachoka anataka kugeukia tz watanzania nawaapia Kagame atazika uchumi wa nchi hii.
Yaani wewe upo na Kagame tu ... umefunikwa MACHO hadi UFAHAMU wako usiuone UMUHIMU wa SGR kwa Watanzania hasa wa mikoa ipitapo hiyo reli pia mikoa ya kanda ya ziwa na magharibi ...

Utakapokuwa ukiijibu hii msg tujuze watoka kanda ipi Tanzania hii ... tujuze pia kama ulishawahi KUSAFIRI ama KUSAFIRISHA MIZIGO kupitia RELI YA KATI na ni CHANGAMOTO zipi ulikutana nazo
 
Yaani wewe upo na Kagame tu ... umefunikwa MACHO hadi UFAHAMU wako usiuone UMUHIMU wa SGR kwa Watanzania hasa wa mikoa ipitapo hiyo reli pia mikoa ya kanda ya ziwa na magharibi ...

Utakapokuwa ukiijibu hii msg tujuze watoka kanda ipi Tanzania hii ... tujuze pia kama ulishawahi KUSAFIRI ama KUSAFIRISHA MIZIGO kupitia RELI YA KATI na ni CHANGAMOTO zipi ulikutana nazo
Mada inahusu Rwanda na Tz so how should we not discuss kagame as a president including his cv.
Unauliza natoka kanda gani mwisho utauliza kabila langu kwani unataka kutambika?.
Hakuna mahali ambako sijapitisha mzigo Tanzania hii naielewa kuliko wewe.
Suala la usafiri na usafirishaji Tanzania ni sawa karibia nchi nzima mpishano ni mdogo.

Hujaelewa hoja yangu na mada yangu thats why you make hopeless complain.
If its about raising our economy why cant they bring priority to Tazara or all within railways available in tz?.
Usizame kwa hoja ndogo za kuinua uchumi make sure you you know and answer these questins?
What to invest?
Why to invest?.
To whom shall we invest?.
When to invest?.
For how long shall we invest?.
When the investment will start producing profit to we investors?
Shall we accept or reject this investment?
If the answer is yes for above explain why and if it is big no do so too.

Sasa hapa tz hakuna mradi unaowekezwa baada ya maswali hayo kujibiwa zaidi ya matamko tu ya mtu mmoja na interest zake.
Kama yangekuwepo airport chato isingejengwa ingejengwa bukoba mjini au huko Lindi mtwara.Karibu tena tuijadili nchi yetu.
 
Kama nchi hatuwazi leo tunawaza miaka 50 au 100 mbele. Pengine leo hakuna mizigo mingi kiasi hicho lkn vipi miaka 20 ijayo.

Tunatamani viwanda vipi kesho tukivipata ndio tuanze kujenga?

Moja ya vitu vinavyokuza uchumi ni unafuu wa gharama za usafirishaji bidhaa au huduma je s gauge haifanyi hayo.

Nafikiri hujafikiri sana bado hujawaza kuhusu ajira wakati na baada ya ujenzi
 
Nani amekwambia kuwa conflicts za DRC zilianzishwa na Rwanda? Umesoma historia vizuri? Matatizo ya DRC yalianza kabla hata Kagame hajafikiria kuwa kuna siku atakiwa rais..Kagame alikuja kutumia fursa ya vurugu za Congo baadae sana!
Usipinge Uganda na Rwanda kwa sasa ndio tatizo kuu la drc
 
Kama nchi hatuwazi leo tunawaza miaka 50 au 100 mbele. Pengine leo hakuna mizigo mingi kiasi hicho lkn vipi miaka 20 ijayo.

Tunatamani viwanda vipi kesho tukivipata ndio tuanze kujenga?

Moja ya vitu vinavyokuza uchumi ni unafuu wa gharama za usafirishaji bidhaa au huduma je s gauge haifanyi hayo.

Nafikiri hujafikiri sana bado hujawaza kuhusu ajira wakati na baada ya ujenzi
Njoo na hoja za maana.
Usitubabaishe na uchumba mpya as if hujawahi kuoa ukaacha mke.
Tanzania imewahi kuwa na viwanda vingi,reli nyingi kila kona ya nchi.Vyote vilikufa na wauaji ni walewale .
Just imagine kiwanda cha zana za kilimo mbeya kilikuwa na wafanyakazi 432 na waliokiua na kuua vingine ndiyo hao hao wanaodai kuzalisha ajira na kujenga viwanda.
Ni ujinga level gani kuhangaika kuunda viwanda vipya na kuzalisha ajira mpya huku hujui kilichoua viwanda vingine na ajira zilizokuwepo.
Unamfufuaje marehemu aliyekufa sababu ya kipindupindu kutokana na ukosefu wa choo kabla hujajenga choo?.
Katiba safi ndiyo immunity ya maendeleo yoyote duniani.Marekani haiyumbi sababu ya uimara wa katiba.Huyu hataki kusikia katiba wala ccm haipendi kusikia katiba kwa sababu wamejiundia vichaka vibovu vya kufirisi nchi.
Hatutaki kazi za kurudia rudia bila katiba hiyo reli ni kwa ajili ya kubebea raslimali zetu kupeleka burundi kwa kigezo cha wizi uliokubaliwa wa uwekezaji.
 
Mada inahusu Rwanda na Tz so how should we not discuss kagame as a president including his cv.
Unauliza natoka kanda gani mwisho utauliza kabila langu kwani unataka kutambika?.
Hakuna mahali ambako sijapitisha mzigo Tanzania hii naielewa kuliko wewe.
Suala la usafiri na usafirishaji Tanzania ni sawa karibia nchi nzima mpishano ni mdogo.

Hujaelewa hoja yangu na mada yangu thats why you make hopeless complain.
If its about raising our economy why cant they bring priority to Tazara or all within railways available in tz?.
Usizame kwa hoja ndogo za kuinua uchumi make sure you you know and answer these questins?
What to invest?
Why to invest?.
To whom shall we invest?.
When to invest?.
For how long shall we invest?.
When the investment will start producing profit to we investors?
Shall we accept or reject this investment?
If the answer is yes for above explain why and if it is big no do so too.

Sasa hapa tz hakuna mradi unaowekezwa baada ya maswali hayo kujibiwa zaidi ya matamko tu ya mtu mmoja na interest zake.
Kama yangekuwepo airport chato isingejengwa ingejengwa bukoba mjini au huko Lindi mtwara.Karibu tena tuijadili nchi yetu.
Maswali yangu yalikuwa na MANTIKI KUBWA hasa katika MUKTADHA wa HOJA ilo MEZANI ... lakini kwa kushindwa kuelewa hilo nilokusudia na ukaishia kukimbilia suala la UKABILA na TAMBIKO it's the CONCRETE EVIDENCE HOW SHALLOW YOU ARE ...

Hongera kwa kusafiri sana .... lakini bahati mbaya kwako UZOEFU HUO HAUJAWA NA MATOKEO CHANYA KIFIKRA KWAKO ... You seem to harbour in your heart INTENSE HATRED TOWARDS BOTH our president and Rwandese president ...

By the way my TIME is too WORTHY to WASTE it in such a discussion like this ...
 
Umeandika mengi lkn hujaonyesha relationship itakayokuwepo kati ya Rwanda kushiriki kujenga reli - kuipeleka huko na matatizo ya kiuchumi au kisiasa nchini kwetu!!

Bainisha hisia/ndoto zako i.e. hypothesis au predictions za atakachofanya na madhara yatakayotokea!
 
Maswali yangu yalikuwa na MANTIKI KUBWA hasa katika MUKTADHA wa HOJA ilo MEZANI ... lakini kwa kushindwa kuelewa hilo nilokusudia na ukaishia kukimbilia suala la UKABILA na TAMBIKO it's the CONCRETE EVIDENCE HOW SHALLOW YOU ARE ...

Hongera kwa kusafiri sana .... lakini bahati mbaya kwako UZOEFU HUO HAUJAWA NA MATOKEO CHANYA KIFIKRA KWAKO ... You seem to harbour in your heart INTENSE HATRED TOWARDS BOTH our president and Rwandese president ...

By the way my TIME is too WORTHY to WASTE it in such a discussion like this ...
Hata mimi muda wangu ni mali sana.Tatizo tukimsema rais kwa kumkosoa hampendi mnataka wote tumsifie utadhani sifa ni sare.
Hivi kumfafanulia mtu jambo mpaka kwanza ujue kabila lake na kanda anayotoka?.Wewe ndo too shallow.Hatuikatai reli bali kuna vitu vya msingi nimeanalyze ktk post.

Unataka nimsifie kagame na kila mtu bila hoja ya msingi.Nasema kwa sababu nina hoja.Leta hoja hapa uiseme si tu kulalamika kuwa sijakujibu sasa wewe umejibu nini cha maana zaidi ya kuniona mjinga kisa sijamsifia magu na kagame.
 
Ni kweli ndivyo ilivyo kadri ya maono yangu ya ndotoni usiku wa kuamkia leo.

Ninasema haya moyo wangu ukivuja machozi mazito ya huzuni kwani miaka kumi ijayo Tanzania hii itakuwa makapi na nchi ya kwanza kwa uzalishaji wa dhahabu Afrika yaweza kuwa Rwanda hapo baadaye.

Kagame si mpuuzi hadi kushinikiza suala hili chini ya utawala huu na kufanikiwa kwa asilimia 100%. Sijaona kitu chochote ambacho watanzania watanufaika nacho kwa ujenzi wa reli hiyo ambacho sasa hivi wanakikosa kwa kutokuwepo kwa reli hiyo. Msomaji yeyote akitaka kuelewa asome sentensi hii zaidi na zaidi. Ikiwa huwezi kuielewa ni bora usiendelee kusoma zaidi.

Mizigo inayosafirishwa kwa njia ya barabara na maji kwenda Rwanda bado haijaweza kufurika hadi miundo mbinu hiyo ikaelemewa na kuhitaji huu wa tatu kwa kiinchi kidogo kama Rwanda.

Mwaka fulani mkongomani mmoja aliwahi niambia kuwa batanzania banatucheka kuongoswa na huyu Joseph kabila ba bandia lakini ipo msiku nanyi batachekwa kama sisi.

Unapoingia mkataba hasa unaohusu nchi na nchi terms and conditions zitumikazo ni za kimataifa na hata kama unavunja lazima uwe umeumia.
Hata kama reli hiyo kwa kagame itatumika miaka minne tu kwake inatosha kutimiza malengo yake ya nchi.

Tumeliwa tena tumeliwa kuliko walivyoliwa wakongomani nchini mwao. JK kukataa kufungamana na kagame ilikuwa usalama kwa nchi hii. Kwanini tusijenge hiyo standard na wakenya ambako tutafaidi mengi au tujenge hiyo gauge kwa hizi reli za tazara na kati nakufufua zilizokufa eti tunakimbilia kujenga za huko kwa huyo mnyalu.

Naapa kabisa ujenzi huo ndo kaburi la uchumi Tanzania kutokana na aina ya mtu anayehitaji huduma hiyo. Jiulize anataka kusafirisha vitu gani ambavyo havisafirishiki kwa maji na barabara?.

Kwanini hakuhitaji kufanya hivyo na JK wakati wote wa utawala wake?
Kwanini aliwahi kumtukana JK kuwa anashindwa kuongoza nchi na akadai watanzania wampe bandari tu itatosha kuhudumia nchi ya Tanzania na Rwanda kwa kila kitu?.

Ni vema tuacha usaliti wa kukaa kimya ktk mambo ya msingi maana hakuna usaliti mbaya na wa hatari kama kukaa kimya.Watanzania tuseme maana hata wataalamu wa masuala ya investment sidhani kama calculations iliwapa jibu la kuaccept hiki kitu au kureject.

Wataalamu wamebaki kuongozwa na matamshi badala ya kanuni za kitaalamu ili kuweza kuamua. Ukweli inaniuma mno najua ndoto yangu hii yaweza isikubalike lakini nimekataa kuinamishwa kwa kukaa kimya maana itakuwa ni usaliti mbaya. Being silence is the most silence betrayal that kills faster.

Tafakuri njema.
Sikujua tanzania kuwa kuna akili finyu kama hii..very isolated brain....pole brother siwezi kukujibu ila kama umetumwa pole...
 
Jamani povu lanini hiyo no ndotu tu ikitokea hats wewe ukiotandoto ya umilionea na ukiamini asubuhi yake kuwa utakuwa ni milionea kwa ndoto hiyo kwakweli upimwe akili tu
 
Nadhani umemlenga saana kagame na sio maslahi mapana ya faida za hiyo reli kwa watu inakowapitia.
Mwanza,shy,geita ,kagera,simiyu na kigoma kwa pamoja zikiunganishwa ni rwanda nne kama sio tano.
So gharama za usafirishaj zitashuka na itasaidia sana koz hii ina multiplier effect.
Pesa za roads rehabilitation pia zitapungua na kuelekezwa kwingine..naona huu mradi ni muhimu kwa jamii ya watz saana haswa wenzetu wa lake zone.
 
Back
Top Bottom