MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,159
- 5,399
Ni kweli ndivyo ilivyo kadri ya maono yangu ya ndotoni usiku wa kuamkia leo.
Ninasema haya moyo wangu ukivuja machozi mazito ya huzuni kwani miaka kumi ijayo Tanzania hii itakuwa makapi na nchi ya kwanza kwa uzalishaji wa dhahabu Afrika yaweza kuwa Rwanda hapo baadaye.
Kagame si mpuuzi hadi kushinikiza suala hili chini ya utawala huu na kufanikiwa kwa asilimia 100%. Sijaona kitu chochote ambacho watanzania watanufaika nacho kwa ujenzi wa reli hiyo ambacho sasa hivi wanakikosa kwa kutokuwepo kwa reli hiyo. Msomaji yeyote akitaka kuelewa asome sentensi hii zaidi na zaidi. Ikiwa huwezi kuielewa ni bora usiendelee kusoma zaidi.
Mizigo inayosafirishwa kwa njia ya barabara na maji kwenda Rwanda bado haijaweza kufurika hadi miundo mbinu hiyo ikaelemewa na kuhitaji huu wa tatu kwa kiinchi kidogo kama Rwanda.
Mwaka fulani mkongomani mmoja aliwahi niambia kuwa batanzania banatucheka kuongoswa na huyu Joseph kabila ba bandia lakini ipo msiku nanyi batachekwa kama sisi.
Unapoingia mkataba hasa unaohusu nchi na nchi terms and conditions zitumikazo ni za kimataifa na hata kama unavunja lazima uwe umeumia.
Hata kama reli hiyo kwa kagame itatumika miaka minne tu kwake inatosha kutimiza malengo yake ya nchi.
Tumeliwa tena tumeliwa kuliko walivyoliwa wakongomani nchini mwao. JK kukataa kufungamana na kagame ilikuwa usalama kwa nchi hii. Kwanini tusijenge hiyo standard na wakenya ambako tutafaidi mengi au tujenge hiyo gauge kwa hizi reli za tazara na kati nakufufua zilizokufa eti tunakimbilia kujenga za huko kwa huyo mnyalu.
Naapa kabisa ujenzi huo ndo kaburi la uchumi Tanzania kutokana na aina ya mtu anayehitaji huduma hiyo. Jiulize anataka kusafirisha vitu gani ambavyo havisafirishiki kwa maji na barabara?.
Kwanini hakuhitaji kufanya hivyo na JK wakati wote wa utawala wake?
Kwanini aliwahi kumtukana JK kuwa anashindwa kuongoza nchi na akadai watanzania wampe bandari tu itatosha kuhudumia nchi ya Tanzania na Rwanda kwa kila kitu?.
Ni vema tuacha usaliti wa kukaa kimya ktk mambo ya msingi maana hakuna usaliti mbaya na wa hatari kama kukaa kimya.Watanzania tuseme maana hata wataalamu wa masuala ya investment sidhani kama calculations iliwapa jibu la kuaccept hiki kitu au kureject.
Wataalamu wamebaki kuongozwa na matamshi badala ya kanuni za kitaalamu ili kuweza kuamua. Ukweli inaniuma mno najua ndoto yangu hii yaweza isikubalike lakini nimekataa kuinamishwa kwa kukaa kimya maana itakuwa ni usaliti mbaya. Being silence is the most silence betrayal that kills faster.
Tafakuri njema.
Ninasema haya moyo wangu ukivuja machozi mazito ya huzuni kwani miaka kumi ijayo Tanzania hii itakuwa makapi na nchi ya kwanza kwa uzalishaji wa dhahabu Afrika yaweza kuwa Rwanda hapo baadaye.
Kagame si mpuuzi hadi kushinikiza suala hili chini ya utawala huu na kufanikiwa kwa asilimia 100%. Sijaona kitu chochote ambacho watanzania watanufaika nacho kwa ujenzi wa reli hiyo ambacho sasa hivi wanakikosa kwa kutokuwepo kwa reli hiyo. Msomaji yeyote akitaka kuelewa asome sentensi hii zaidi na zaidi. Ikiwa huwezi kuielewa ni bora usiendelee kusoma zaidi.
Mizigo inayosafirishwa kwa njia ya barabara na maji kwenda Rwanda bado haijaweza kufurika hadi miundo mbinu hiyo ikaelemewa na kuhitaji huu wa tatu kwa kiinchi kidogo kama Rwanda.
Mwaka fulani mkongomani mmoja aliwahi niambia kuwa batanzania banatucheka kuongoswa na huyu Joseph kabila ba bandia lakini ipo msiku nanyi batachekwa kama sisi.
Unapoingia mkataba hasa unaohusu nchi na nchi terms and conditions zitumikazo ni za kimataifa na hata kama unavunja lazima uwe umeumia.
Hata kama reli hiyo kwa kagame itatumika miaka minne tu kwake inatosha kutimiza malengo yake ya nchi.
Tumeliwa tena tumeliwa kuliko walivyoliwa wakongomani nchini mwao. JK kukataa kufungamana na kagame ilikuwa usalama kwa nchi hii. Kwanini tusijenge hiyo standard na wakenya ambako tutafaidi mengi au tujenge hiyo gauge kwa hizi reli za tazara na kati nakufufua zilizokufa eti tunakimbilia kujenga za huko kwa huyo mnyalu.
Naapa kabisa ujenzi huo ndo kaburi la uchumi Tanzania kutokana na aina ya mtu anayehitaji huduma hiyo. Jiulize anataka kusafirisha vitu gani ambavyo havisafirishiki kwa maji na barabara?.
Kwanini hakuhitaji kufanya hivyo na JK wakati wote wa utawala wake?
Kwanini aliwahi kumtukana JK kuwa anashindwa kuongoza nchi na akadai watanzania wampe bandari tu itatosha kuhudumia nchi ya Tanzania na Rwanda kwa kila kitu?.
Ni vema tuacha usaliti wa kukaa kimya ktk mambo ya msingi maana hakuna usaliti mbaya na wa hatari kama kukaa kimya.Watanzania tuseme maana hata wataalamu wa masuala ya investment sidhani kama calculations iliwapa jibu la kuaccept hiki kitu au kureject.
Wataalamu wamebaki kuongozwa na matamshi badala ya kanuni za kitaalamu ili kuweza kuamua. Ukweli inaniuma mno najua ndoto yangu hii yaweza isikubalike lakini nimekataa kuinamishwa kwa kukaa kimya maana itakuwa ni usaliti mbaya. Being silence is the most silence betrayal that kills faster.
Tafakuri njema.