Reli ya standard gauge ya Rwanda na Tanzania ni kaburi la uchumi wa Tanzania

Wale watu ni zaidi ya marafiki ukiangalia nini kiliwaunganisha haraka kiasi kile huwezi kuona ila ikumbukwe ni majuzi tu jamaa alikua amemnunia JK ila alipotoka na kuja anko jamaa amekuwa na moyo mzuri sana na kawa rafiki yetu mkubwa na mshauri wa mambo mengi kiutawala na hata kiuchumi, kuanzia kununua midege hadi kujenga reli na kuendesha nchi pamoja na kucontrol wapinzani wake... yapo mengi mengi zaidi ya kutazama na kama n mtu wa kuunganisha dots utaelewa vizuri kitabu cha History of Wahima, By John Hanning Speke. na pia ukijua kwa nini bomba la mafuta lililetwa hapa na si kenya, Tafuta vitabu vya kutosha kuhusu hima empire then utapata funzo kubwa sana juu ya haya
 
Wale watu ni zaidi ya marafiki ukiangalia nini kiliwaunganisha haraka kiasi kile huwezi kuona ila ikumbukwe ni majuzi tu jamaa alikua amemnunia JK ila alipotoka na kuja anko jamaa amekuwa na moyo mzuri sana na kawa rafiki yetu mkubwa na mshauri wa mambo mengi kiutawala na hata kiuchumi, kuanzia kununua midege hadi kujenga reli na kuendesha nchi pamoja na kucontrol wapinzani wake... yapo mengi mengi zaidi ya kutazama na kama n mtu wa kuunganisha dots utaelewa vizuri kitabu cha History of Wahima, By John Hanning Speke. na pia ukijua kwa nini bomba la mafuta lililetwa hapa na si kenya, Tafuta vitabu vya kutosha kuhusu hima empire then utapata funzo kubwa sana juu ya haya
Kichwa kipana sana. Tunahitaji kuelewa kwa upana namna hiyo.
 
Ni kweli ndivyo ilivyo kadri ya maono yangu ya ndotoni usiku wa kuamkia leo.

Ninasema haya moyo wangu ukivuja machozi mazito ya huzuni kwani miaka kumi ijayo Tanzania hii itakuwa makapi na nchi ya kwanza kwa uzalishaji wa dhahabu Afrika yaweza kuwa Rwanda hapo baadaye.

Kagame si mpuuzi hadi kushinikiza suala hili chini ya utawala huu na kufanikiwa kwa asilimia 100%. Sijaona kitu chochote ambacho watanzania watanufaika nacho kwa ujenzi wa reli hiyo ambacho sasa hivi wanakikosa kwa kutokuwepo kwa reli hiyo. Msomaji yeyote akitaka kuelewa asome sentensi hii zaidi na zaidi. Ikiwa huwezi kuielewa ni bora usiendelee kusoma zaidi.

Mizigo inayosafirishwa kwa njia ya barabara na maji kwenda Rwanda bado haijaweza kufurika hadi miundo mbinu hiyo ikaelemewa na kuhitaji huu wa tatu kwa kiinchi kidogo kama Rwanda.

Mwaka fulani mkongomani mmoja aliwahi niambia kuwa batanzania banatucheka kuongoswa na huyu Joseph kabila ba bandia lakini ipo msiku nanyi batachekwa kama sisi.

Unapoingia mkataba hasa unaohusu nchi na nchi terms and conditions zitumikazo ni za kimataifa na hata kama unavunja lazima uwe umeumia.
Hata kama reli hiyo kwa kagame itatumika miaka minne tu kwake inatosha kutimiza malengo yake ya nchi.

Tumeliwa tena tumeliwa kuliko walivyoliwa wakongomani nchini mwao. JK kukataa kufungamana na kagame ilikuwa usalama kwa nchi hii. Kwanini tusijenge hiyo standard na wakenya ambako tutafaidi mengi au tujenge hiyo gauge kwa hizi reli za tazara na kati nakufufua zilizokufa eti tunakimbilia kujenga za huko kwa huyo mnyalu.

Naapa kabisa ujenzi huo ndo kaburi la uchumi Tanzania kutokana na aina ya mtu anayehitaji huduma hiyo. Jiulize anataka kusafirisha vitu gani ambavyo havisafirishiki kwa maji na barabara?.

Kwanini hakuhitaji kufanya hivyo na JK wakati wote wa utawala wake?
Kwanini aliwahi kumtukana JK kuwa anashindwa kuongoza nchi na akadai watanzania wampe bandari tu itatosha kuhudumia nchi ya Tanzania na Rwanda kwa kila kitu?.

Ni vema tuacha usaliti wa kukaa kimya ktk mambo ya msingi maana hakuna usaliti mbaya na wa hatari kama kukaa kimya.Watanzania tuseme maana hata wataalamu wa masuala ya investment sidhani kama calculations iliwapa jibu la kuaccept hiki kitu au kureject.

Wataalamu wamebaki kuongozwa na matamshi badala ya kanuni za kitaalamu ili kuweza kuamua. Ukweli inaniuma mno najua ndoto yangu hii yaweza isikubalike lakini nimekataa kuinamishwa kwa kukaa kimya maana itakuwa ni usaliti mbaya. Being silence is the most silence betrayal that kills faster.

Tafakuri njema.
Ninadhani kwenye makubaliano ya msingi kati ya serikali ya Rwanda na Tanzania, wizara husika ziliambiwa zikae na ziangalie SGR funding option kama rwanda itabidi wao watafute funding, SMT itafute funding au nchi zote mbili zitafute funding kwa pamoja.
Kamati hizo kazi hiyo hawajaimaliza na sasa tunaanza kubeza.
 
Mi naona kama kuna ukakasi kidogo, ivi inawezekana kweli kujenga reli hio kuelekea Kenya kua kipaumbele badala ya kujenga reli kuelekea kwenye nchi ambazo zinatumia bandari yetu ya dar es salaam, kwan kenya bandari wanayo, labda angesema uganda, burundi, malawi na congo lakini kwa kenya nadhani hayo ni mahaba yake.
 
Mkuu zile semitrela za familia yenu mjiandae tu kufugia kuku hiyo reli ikiisha, maana si kwa malalamiko hayo.
 
Mi naona kama kuna ukakasi kidogo, ivi inawezekana kweli kujenga reli hio kuelekea Kenya kua kipaumbele badala ya kujenga reli kuelekea kwenye nchi ambazo zinatumia bandari yetu ya dar es salaam, kwan kenya bandari wanayo, labda angesema uganda, burundi, malawi na congo lakini kwa kenya nadhani hayo ni mahaba yake.
Ni sawa lakini nilipoitaja kenya nilitaka kuonesha uwiano wa investing kenya ingawaje wana bandari still earnings haiwezi kuwa sawa na huko kwa kagame.Huyu kagame ana bandari kavu kwetu ambayo hatuna earnings yoyote na kaipata sasa wakati wa jpm kutimiza matakwa yake.
 
Umeandika maneno Mengi lakini ujinga mtupu,chuki zako dhidi ya maendeleo ya watanzania itakoma lini kwenu wahafidhina?

Umesahau tuna barabara ya lami toka TAnzania hadi Rwanda kwa miaka mingi sasa Mbona hatujayaona madhara hayo?

Unauhuru wa kuandika mawazo yako lakini siyo maneno yanayofanana na sumu! Shindwa na ulegee tunataka viongozi wenye mawazo ya kuwaza kila kukicha kuturahisishia njia za mawasiliano kwenye ulimwengu huu wa sayansi na tekinolojia siyo kutufungia ndani peke yetu.

Ikiwezekana Mhe rais abuni yeye na kiongozi wa Afrika kuiunganisha Nchi yetu na Dunia tuweze kusafiri na kusafirisha bidhaa zetu Kwa unafuu zaidi hayo unayowaza ni mawazo ya kututakia mabaya watanzania.
Sisi hatujui vipaumbele ndiyo maana hata twiga wetu kutwa kukamatwa kila anakoenda.
Endeleeni kuniona mjinga mtaelewa tu.
 
Mi naona kama kuna ukakasi kidogo, ivi inawezekana kweli kujenga reli hio kuelekea Kenya kua kipaumbele badala ya kujenga reli kuelekea kwenye nchi ambazo zinatumia bandari yetu ya dar es salaam, kwan kenya bandari wanayo, labda angesema uganda, burundi, malawi na congo lakini kwa kenya nadhani hayo ni mahaba yake.
Wengine huzaliwa wakinyimwa rasilimali lakini wakapewa akili na wengine kinyume chake lakini wengine wamebahatika kupata vyote viwili na wengine kubahatika kunyimwa vyote.

Tafakari tz iko wapi hapo.
 
Wale watu ni zaidi ya marafiki ukiangalia nini kiliwaunganisha haraka kiasi kile huwezi kuona ila ikumbukwe ni majuzi tu jamaa alikua amemnunia JK ila alipotoka na kuja anko jamaa amekuwa na moyo mzuri sana na kawa rafiki yetu mkubwa na mshauri wa mambo mengi kiutawala na hata kiuchumi, kuanzia kununua midege hadi kujenga reli na kuendesha nchi pamoja na kucontrol wapinzani wake... yapo mengi mengi zaidi ya kutazama na kama n mtu wa kuunganisha dots utaelewa vizuri kitabu cha History of Wahima, By John Hanning Speke. na pia ukijua kwa nini bomba la mafuta lililetwa hapa na si kenya, Tafuta vitabu vya kutosha kuhusu hima empire then utapata funzo kubwa sana juu ya haya
Angalia hizo ndege zinavyokamatwa kamatwa .Tatizo siyo kununua reli ama ndege tatizo ni kwanini tununue leo kwanini na kwasabu gani?.
 
Ni kweli ndivyo ilivyo kadri ya maono yangu ya ndotoni usiku wa kuamkia leo.

Ninasema haya moyo wangu ukivuja machozi mazito ya huzuni kwani miaka kumi ijayo Tanzania hii itakuwa makapi na nchi ya kwanza kwa uzalishaji wa dhahabu Afrika yaweza kuwa Rwanda hapo baadaye.

Kagame si mpuuzi hadi kushinikiza suala hili chini ya utawala huu na kufanikiwa kwa asilimia 100%. Sijaona kitu chochote ambacho watanzania watanufaika nacho kwa ujenzi wa reli hiyo ambacho sasa hivi wanakikosa kwa kutokuwepo kwa reli hiyo. Msomaji yeyote akitaka kuelewa asome sentensi hii zaidi na zaidi. Ikiwa huwezi kuielewa ni bora usiendelee kusoma zaidi.

Mizigo inayosafirishwa kwa njia ya barabara na maji kwenda Rwanda bado haijaweza kufurika hadi miundo mbinu hiyo ikaelemewa na kuhitaji huu wa tatu kwa kiinchi kidogo kama Rwanda.

Mwaka fulani mkongomani mmoja aliwahi niambia kuwa batanzania banatucheka kuongoswa na huyu Joseph kabila ba bandia lakini ipo msiku nanyi batachekwa kama sisi.

Unapoingia mkataba hasa unaohusu nchi na nchi terms and conditions zitumikazo ni za kimataifa na hata kama unavunja lazima uwe umeumia.

Hata kama reli hiyo kwa kagame itatumika miaka minne tu kwake inatosha kutimiza malengo yake ya nchi.

Tumeliwa tena tumeliwa kuliko walivyoliwa wakongomani nchini mwao. JK kukataa kufungamana na kagame ilikuwa usalama kwa nchi hii. Kwanini tusijenge hiyo standard na wakenya ambako tutafaidi mengi au tujenge hiyo gauge kwa hizi reli za tazara na kati nakufufua zilizokufa eti tunakimbilia kujenga za huko kwa huyo mnyalu.

Naapa kabisa ujenzi huo ndo kaburi la uchumi Tanzania kutokana na aina ya mtu anayehitaji huduma hiyo. Jiulize anataka kusafirisha vitu gani ambavyo havisafirishiki kwa maji na barabara?.

Kwanini hakuhitaji kufanya hivyo na JK wakati wote wa utawala wake?

Kwanini aliwahi kumtukana JK kuwa anashindwa kuongoza nchi na akadai watanzania wampe bandari tu itatosha kuhudumia nchi ya Tanzania na Rwanda kwa kila kitu?.

Ni vema tuacha usaliti wa kukaa kimya ktk mambo ya msingi maana hakuna usaliti mbaya na wa hatari kama kukaa kimya.Watanzania tuseme maana hata wataalamu wa masuala ya investment sidhani kama calculations iliwapa jibu la kuaccept hiki kitu au kureject.

Wataalamu wamebaki kuongozwa na matamshi badala ya kanuni za kitaalamu ili kuweza kuamua. Ukweli inaniuma mno najua ndoto yangu hii yaweza isikubalike lakini nimekataa kuinamishwa kwa kukaa kimya maana itakuwa ni usaliti mbaya. Being silence is the most silence betrayal that kills faster.

Tafakuri njema.

Dah! Bila shaka wewe ni mmoja wa wale wa vyeti feki. Akili halisia ni ndogo. Vicha upumbavu wako kwa kukaa kimya.
 
Dah! Bila shaka wewe ni mmoja wa wale wa vyeti feki. Akili halisia ni ndogo. Vicha upumbavu wako kwa kukaa kimya.
Anza kukaa kimya wewe.
Sasa hapo umetoa hoja gani unadhani nikiwa na vyeti og ndo viwanda vitajengwa na twiga kurudishwa nchini.Siku ukitumia akili yako utafika mbali.
 
Aisee kama haujasoma rudi shule kwa kweli khaa so unamaanisha sisi tunajenga reli sabu ya kagame? Hahaha unajua faida za reli kwa nchi? Hivi gharama za usafirishaji wa mizigo Kwa njia ya reli ni sawa na njia ya bara bara? Hahaha nacheka kwa dharau...afu sijaona hoja why iwe ndio chanzo cha kuanguka uchumi?
Tena arudi shule mapema kabla madarasa hayajajaa; elimu inatolewa bure na serikali ya magufuli. Anadhani kwa vile sasa hivi maroli yamachukua biadhaa kwenda mikoani basi hakuna haja ya reli; punda kabisa huyu. Uwepo wa usafiri wa uhakika kati ya DAR, KGM, TBR, MWZ kutapunguza sana hizi ajali tunazopata kila siku, na vile vile kuongeza maisha ya barabara zetu. magari ya mizigo yanakuwa yanapiga safari za kutoka kwenye reli kwenda kwenye vitongoji badala ya kusafirisha mizigo toka bandari hadi vitongojini.
 
Back
Top Bottom