Rekodi za Yanga kuruka ukuta mechi za dabi inatisha

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,195
103,723
Katika kila mechi za dabi Yanga imekuwa ni timu ya kupigwa faini kwa tabia za kugoma kupitia geti kuu. Ni wazi hayo yamekuwa maelekezo ya waganga mbalimbali wa Yanga.

Mchezo uliopita Yanga ilipigwa faini ya shilingi Milioni tano na Shirikisho la Mpira wa Soka Tanzania(TFF) kwa kosa la kuingia chumba cha kuvalia nguo kwa kutumia mlango ambao sio rasmi kuelekea mchezo wao wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Simba.

Mwaka juzi Klabu ya Yanga ilipigwa faini ya shilingi milioni 3 kwa kukiuka taratibu za mchezo vs Simba Sc ikiwemo kuvunja mageti na kufuli za mageti husika wakati wa timu kuwasili.

Orodha ni ndefu wasinichoshe. Idadi ya waganga pia ni excel nzima.

Tusubiri jumapili sijui safari hii watavunja nini, au watapita juu?!
 
Katika kila mechi za dabi Yanga imekuwa ni timu ya kupigwa faini kwa tabia za kugoma kupitia geti kuu. Ni wazi hayo yamekuwa maelekezo ya waganga mbalimbali wa Yanga.

Mchezo uliopita Yanga ilipigwa faini ya shilingi Milioni tano na Shirikisho la Mpira wa Soka Tanzania(TFF) kwa kosa la kuingia chumba cha kuvalia nguo kwa kutumia mlango ambao sio rasmi kuelekea mchezo wao wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Simba.

Mwaka juzi Klabu ya Yanga ilipigwa faini ya shilingi milioni 3 kwa kukiuka taratibu za mchezo vs Simba Sc ikiwemo kuvunja mageti na kufuli za mageti husika wakati wa timu kuwasili.

Orodha ni ndefu wasinichoshe. Idadi ya waganga pia ni excel nzima.

Tusubiri jumapili sijui safari hii watavunja nini, au watapita juu?!
Ngoja tusubiri tuone
 
Hawa ni Yanga?
IMG_20230414_203347.jpg
IMG_20230414_203239.jpg
 
Katika kila mechi za dabi Yanga imekuwa ni timu ya kupigwa faini kwa tabia za kugoma kupitia geti kuu. Ni wazi hayo yamekuwa maelekezo ya waganga mbalimbali wa Yanga.

Mchezo uliopita Yanga ilipigwa faini ya shilingi Milioni tano na Shirikisho la Mpira wa Soka Tanzania(TFF) kwa kosa la kuingia chumba cha kuvalia nguo kwa kutumia mlango ambao sio rasmi kuelekea mchezo wao wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Simba.

Mwaka juzi Klabu ya Yanga ilipigwa faini ya shilingi milioni 3 kwa kukiuka taratibu za mchezo vs Simba Sc ikiwemo kuvunja mageti na kufuli za mageti husika wakati wa timu kuwasili.

Orodha ni ndefu wasinichoshe. Idadi ya waganga pia ni excel nzima.

Tusubiri jumapili sijui safari hii watavunja nini, au watapita juu?!
naona mmeanza kutafuta visingizio......
Subiri match, kuingia uwanjani hata kwa helicopter hakubadilishi matokeo
 
Katika kila mechi za dabi Yanga imekuwa ni timu ya kupigwa faini kwa tabia za kugoma kupitia geti kuu. Ni wazi hayo yamekuwa maelekezo ya waganga mbalimbali wa Yanga.

Mchezo uliopita Yanga ilipigwa faini ya shilingi Milioni tano na Shirikisho la Mpira wa Soka Tanzania(TFF) kwa kosa la kuingia chumba cha kuvalia nguo kwa kutumia mlango ambao sio rasmi kuelekea mchezo wao wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Simba.

Mwaka juzi Klabu ya Yanga ilipigwa faini ya shilingi milioni 3 kwa kukiuka taratibu za mchezo vs Simba Sc ikiwemo kuvunja mageti na kufuli za mageti husika wakati wa timu kuwasili.

Orodha ni ndefu wasinichoshe. Idadi ya waganga pia ni excel nzima.

Tusubiri jumapili sijui safari hii watavunja nini, au watapita juu?!
Watakuvunja wewe
 
Back
Top Bottom