qwest
Member
- May 9, 2009
- 29
- 2
Jana niliona story juu ya huyu jamaa on PBS. Alikuwa anahojiwa na Andrew Young. Kipindi kilikuwa juu ya Tanzania na maendelo.
Hebu nipe his stori zaidi.................. hasa juu ya how he made his millions.
Alisema alizaliwa fukara lakini kwa kutumia jitihada na biashara amejiinua sawa sawa!
Very insipiring!
Hebu nipe his stori zaidi.................. hasa juu ya how he made his millions.
Alisema alizaliwa fukara lakini kwa kutumia jitihada na biashara amejiinua sawa sawa!
Very insipiring!