mwagavumbi 11
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,254
- 44
WanaJF, nakumbuka Nov 2012, tulishuhudia orodha ya matajiri wakubwa 5 Tanzania wakitajwa hapa janvini kama ifuatavyo: Said Salim Bakhresa, Mohamed Dewji, Rostam Azizi, Reginald Mengi, na Mfuruki. Dr. Mengi alishika nafasi ya 4. Sasa nataka nipangue na kupanga list hii kiukarimu kama ifuatvao :
1 Mengi (huyu ni mfadhiri wa jamii kwa ujumla)
2 Rostam (ni mfadhiri wa wanasiasa)
3. Bakhresa (mfadhir wa vijana)
4. Dewji (mfadhiri wa jimbo la singda)
5 Mfuruki (sijwahi kumsikia akiwa na watu wa kawaida)
Ukweli ni kwamba, Kutoa ni moyo si utajiri. Juzi tarehe 25 Sept nilimshuhudia kwa macho yangu kwenye mahafari ya binamu yangu Barbro Johansson Girls Sec School dsm akiahidi kutenga Mil 200/= kila mwaka kwa ajili ya watoto wasiojiweza shuleni hapo. Alisema kwamba kushindwa kulipa karo kisiwe kifungo cha maisha
Kabla ya mchango huo wa kudumu, aliahidi sh mil 1 kwa kila mwanafunzi kati ya hao wasichana 78 waliohitimu atakayepata daraja la kwanza. Alikabidhi mil 2 fedha taslim kwa mkuu wa shulekwa ajili ya kufungua akaunti ya kila mwanafunzi ili kama atakayefanikiwa kupata daraja la kwanza pesa yake ilipwe moja kwa moja kwenye akaunt yake.
Naweka clip jionee mwenyewe hali ilivokuwa hoi hoi na vifijo. Mwanzilishi wa shule hiyo ya Wasichana Prof. Anna Tibaijuka, Wazir wa ardhi alikuwa ameelezea hadhara hiyo kuwa shule iko katika hali ngumu kifedha baada ya mfadhiri wake wa miaka mingi (serikali ya Sweden) kuwataka wajitegemee wakati bado wana wanafunzi wengi wanaotegemea ufadhiri.
Sasa sisi wanaJF naomba tjipime katka barometer ya ukarim. Tumewah kuchangia nn kwa yatima na watoto wasiojiweza? Bwana Mengi amenilazmisha kutafakari mambo mengi ya wakarimu duniani kama Bilgates na mwenzie Waren Buffett. Buffet anaaminika kuwa tajiri mkubwa duniani kuliko Bilgates lakini tulisikia alichukua pesa zake akampa Bilgates ili asaidie Jamii duniani. Wanafanya mambo makubwa. Labda na hawa the top 5 waunganishe nguvu na Mengi kwa kuwa ni mkarim watufanyie mambo makubwa. Na sisi wanajanvi tukichanga sh 10,000 kila mwaka, Tsh Bil 1.57 itapatikna na sidhan kama watoto wetu watakaa chini tena! Tusirudi nyuma
<span id="yui_3_7_2_1_1380321693439_2668">
1 Mengi (huyu ni mfadhiri wa jamii kwa ujumla)
2 Rostam (ni mfadhiri wa wanasiasa)
3. Bakhresa (mfadhir wa vijana)
4. Dewji (mfadhiri wa jimbo la singda)
5 Mfuruki (sijwahi kumsikia akiwa na watu wa kawaida)
Ukweli ni kwamba, Kutoa ni moyo si utajiri. Juzi tarehe 25 Sept nilimshuhudia kwa macho yangu kwenye mahafari ya binamu yangu Barbro Johansson Girls Sec School dsm akiahidi kutenga Mil 200/= kila mwaka kwa ajili ya watoto wasiojiweza shuleni hapo. Alisema kwamba kushindwa kulipa karo kisiwe kifungo cha maisha
Kabla ya mchango huo wa kudumu, aliahidi sh mil 1 kwa kila mwanafunzi kati ya hao wasichana 78 waliohitimu atakayepata daraja la kwanza. Alikabidhi mil 2 fedha taslim kwa mkuu wa shulekwa ajili ya kufungua akaunti ya kila mwanafunzi ili kama atakayefanikiwa kupata daraja la kwanza pesa yake ilipwe moja kwa moja kwenye akaunt yake.
Naweka clip jionee mwenyewe hali ilivokuwa hoi hoi na vifijo. Mwanzilishi wa shule hiyo ya Wasichana Prof. Anna Tibaijuka, Wazir wa ardhi alikuwa ameelezea hadhara hiyo kuwa shule iko katika hali ngumu kifedha baada ya mfadhiri wake wa miaka mingi (serikali ya Sweden) kuwataka wajitegemee wakati bado wana wanafunzi wengi wanaotegemea ufadhiri.
Sasa sisi wanaJF naomba tjipime katka barometer ya ukarim. Tumewah kuchangia nn kwa yatima na watoto wasiojiweza? Bwana Mengi amenilazmisha kutafakari mambo mengi ya wakarimu duniani kama Bilgates na mwenzie Waren Buffett. Buffet anaaminika kuwa tajiri mkubwa duniani kuliko Bilgates lakini tulisikia alichukua pesa zake akampa Bilgates ili asaidie Jamii duniani. Wanafanya mambo makubwa. Labda na hawa the top 5 waunganishe nguvu na Mengi kwa kuwa ni mkarim watufanyie mambo makubwa. Na sisi wanajanvi tukichanga sh 10,000 kila mwaka, Tsh Bil 1.57 itapatikna na sidhan kama watoto wetu watakaa chini tena! Tusirudi nyuma
<span id="yui_3_7_2_1_1380321693439_2668">
Last edited by a moderator: