Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
Naunga Mkono kwa asilimia 100%, ukarimu huu!, na juhudi nyingine zozote za mtu yoyote kumsaidia mwingine yoyote kwa dhadi kwa lengo la kusaidia na sio kwa lengo la kujionyesha unasaidia!.
Ila pia charty begins at home!, tembelea kituo cha ITV wakati wa masika uingalie njia ya kufika hapo mara tuu baada ya lami!.
Tembea newsroom ya the Guardian Ltd, fanya utafiti wale waandishi ma freelances wanaoshinda juani kutwa kucha, mvua yao, jua lao, ujue wanalipwa kiasi gani, then rejea hapa tuendelee kuuzungumzia ukarimu huu!.
Nakiri kuna ukarimu mwingine ni upendo tuu wa mshumaa kwa kumulikia wengine, huku wenyewe ukiteketea!, ila pia fuatilia utekelezaji wa baadhi ya ahadi za ufadhili!, sometimes zipo ahadi hutolewa kwenye kadamnasi za watu tuu!.
Bwana wetu Yesu Kristu alitufundisha jinsi ya kutoa!, unachotoa na mkono wa kulia, mkono wa kushoto usijue!.
Kuna baadhi ya ma philanthropists wanaotoa misaada na ufadhili lukuki kimya kimya, ila pia tupo akina sisi ambao (rugged trousered philanthropists) tunatoa kidogo tulichonacho, kugawana na masikini wenzetu kwa kelele nyingi and sometimes even with a media stunts!.
Tofautisha, attention seekers, pride searchers na people with humility wanaokerwa na umasikini wa Watanzania, hivyo wanasaidia misaada ya uwezeshaji mvuvi wa samaki aweze kuvua samaki, na sio kumletea msaada wa samaki wa kitoweo!.
Pasco.
Haha Pasco najua unaweza kuwa umekula msoto sana ktk kazi hapo..ila kuna kitu hujui..Mengi ni mfanya biashara....Na anajua kuwapa wafanya kazi free money huwafundishi sana kupenda utajiri au jiajiri wataishia logana tuu ili wapande vyeo na kuongezewa zaidi mishahara.
So km bado hujalijua hilo utaongeza kilio na wafanya biashara watashukuru sana kuwa wewe ni kibarua for life....kwanini usifikirie hiyo kazi km kitu cha kufinance gharama za mjini, na kitu cha kukutanisha na targets zako.Novatus alijua hilo sema kapitia njia mbaya,na kulenga kazi mbaya..naye huo ukuu wa wilaya ullipaswa kuwa kazi ya kujishikia na kupita tuu.
Pasco uandishi ni kitu kikubwa sana..km una fikra pana na ni weledi wa kuandika utaandika best sellers nyingi sana.Kwa hilo Mengi hata umuue hawezi kukuzidishia hela tuu bila sababu kwa vile haamini km anaweza kupa utajiri km akili yako ni ya kimasikini.
Ile nji aina watu wakubwa wengi sana.....na ipo chini ya City..mwanza serikali ukisema hilo wataleta shida kuwa wao ndio watapanda wapi ipelekwe hiyo hela.