Reginald Mengi sawa na Bill Gates wa Tanzania

Reginald Mengi sawa na Bill Gates wa Tanzania

Yaan matajiri wanachukiiwa utadhani wao wamemzuia mtu asitajirike
 
Hivi mengi unamfananisha na tajiri wa afrika mashariki bakresa? kweli wewe una mawazo mgando..mengi ni kama kibranch tu cha Bakresa...katika utajiri hatiangalii anatoa nini kwa watu bali tunaangalia anamiliki nini na cash flow yake ikoje..
 
Hana hela mengi kama kakutuma umpigie promo na wasikusikie wanaume wenye pesa zao kina bakhresa huwa hawafanyi matangazo misaada yao kwa kuwa dini hairuhusu koma kulinganisha wanaume qa maana na uyo chokoraa hapa tz

Sidhani km bakhresa akitoa futari anakabidhi kw mkono mmoja..wakati kuna usemi usemao ukitoakwa mikono miwili ndio umetoa ukiwa na furaha,nia na upendo..na si kujilazimisha..sidhani km mkono mwingine haujui....instead Mengi anaweza kuwa katoa cheque bila mkono mwingine kujua.


Pia ujue kuwa wengine hujifunza kwa kuonyeshwa jinsi ya kutoa na kiasi gani cha kutoa ama kuzidisha ama kukaribia....pia hele ikitolewa kw auwazi ndipo wengine watajuwa wanaposhindwa soma basi wajue kuna kiasi cha wanachoweza omba..na wakiambiw akimeisha wanaweza hesabu wanafunzi na kupiga hesabu km kweli imekwisha au wamepeleka ktk matumbo.


kwa taarifa yako watu wengi sana hawatoi kwa vile wanadhani ni kidogo sana au ni kingi sana kwa mpokeaji kupokea kw amani....watu wanagopa sana kuchangia huduma ya ujenzi wa mshule wanaposikia kuwa zinahitajika bilions hadi wanapokuja gundua kuwa kwa idadi yao wakichanga hata 1000/= ianfikia huko.
 
Hivi mengi unamfananisha na tajiri wa afrika mashariki bakresa? kweli wewe una mawazo mgando..mengi ni kama kibranch tu cha Bakresa...katika utajiri hatiangalii anatoa nini kwa watu bali tunaangalia anamiliki nini na cash flow yake ikoje..

Acheni kusema vitu msivyovijua...carlos slim alitokea nowhere ktk list ya Forbes hadi number moja....hawa jamaa wana imvestmente kibao ambzo nyingine hazijawa realized ila values zikipanda au twist kidogo tuu ktk mojawapo au vyote ya vitega uchumi vyake kuanza ongeza mauzo na thamani...au akinunua business fulani huwa ghafla wanaingia ktk ramani....Im Sure mengi ana madini mengi san aya Tanzanite ambayo hajayauza na hivyo si TRA wala nani anaweza jua hamani yake..kwani Kodi hukatwa anapouza, sasa yeye bado yupo ktk storage, mengine cutting, polishing etc....bado huwezi jua kawekeza sehemu gani nyingine na kiasi gani..hadi hizo shemu zipate umaarufu na attention ya watu....so muwe waangalifu sana..hata mfuruki hakuwa akijulikana sana hadi alipoanza rebrand woolworth, na kuingia ktk uongozi wa wawekezaji etc...

Bakheresa na Pamoja na kuwa na meli na kiwanda ya unga alikuwa realized baada ya viwanda vya serikali kufa huku wengine wakisuasua na hivyo kuachiwa soko kubwa mara moja, ujio wa njaa ukanda wa africa mashariki, kati na pembe ya africa ilimpelekea WB..na wengine kumpatia mikopo na soko ,grants etc kwa haraka sana...


muwe waanagalifu sana mnapoongelea mifuko ya watu.......kuna motive chache sana kwa mtu asiye na maringo kuonyesha hela zake hadharani...kuna wanaopata hela kwa kujifanya hawana na kuonyesha uhitaji..na kuna km madalali wanapo show off ndipo wanapoiba trust ya wengine kuwa wao ndio wanajua dili hivyo kuletewa dili...
 
Hivi sioni maana ya jamaa kutoa kwani anafanya hivyo ili apate misamaha ya kodi,,..

hii nayo point mkuuu hii ishu inaimplication kubwa sana kwenye income tax returns lazima kodi ishu hapo kwahiyo hiyo misaada
 
Back
Top Bottom