Reginald Mengi sawa na Bill Gates wa Tanzania

Reginald Mengi sawa na Bill Gates wa Tanzania

Kwa kuwa unazungumzia makalio sio kosa lako haaya mwambie huyo bwana wako alipe waliokuwa wafanyakazi wake haki zao na arudishe mkopo aliochuku mabilion ya NBC japo wazazi wetu wamekufa warithi tupo tukalipwe haki za baba zetu p..mba.vuuu wewe
Acha matusi wewe,wenye pesa ni akina nani??au Chenge na wale waloficha kule Uswizi.Hapa hatuzungumzii wauza unga na kuliibia taifa ila wale wenye faida kwa jamii,hebu wataje hapa tuwajue
 
Hakurudisha mkuu na ndio aliyefilisi NBC wazazi wetu wamekufa bila kupata haki zao sasa kabaki kulisha walemavu ili apate pesa za msaada kutoka huko ughaibuni , ajira hatoi ITV ila ni mikataba jiulize tajiri anakwepa nn hapo

Benki ya NBC ilitolewa kafara na kada mwenzenu Benny Mkapa kwa makaburu. Assets za NBC zilikuwa na thamani ya zaidi ya USD 15 milioni lakini benki iliuzwa kwa bei hiyo hiyo ya thamani ya assets na tena kwa mafungu.

Kama hiyo haitoshi fedha iliyotolewa kwa ajili ya ununuzi ikageuzwa kuwa mtaji kwa makaburu hao. Hivyo ni dhahiri kuwa makaburu walipewa bure Benki ya NBC na wakaongezewa mtaji na assets zake zote.

Badala ya kumjengea chuki Mengi hebu jielekeze kwa serikali yako iliyoitoa sadaka NBC!
 
Aww katika watu siwakubali ni huyu mzee mi siamini Kabisa Kama jamaa ana hela kihivyo kila kitu anafanya kwa sifa tu biashara yake ya media ndio inampa nguvu sana kwa wanasiasa so kiufupi alichonacho ni influence na umaarufu lakini kwa utajiri kuna watu matajiri bongo wapo kimya huitaji kuita vyombo vya habari kuchangia yatima au walemavu huo ni ukarimu au unataka kuonyesha we ni mkarimu huyu mzee yupo kundi la pili anataka tuone ye ni mkarimu nenda vituo vya yatima kuna watu wanatoa misaada kila mwaka kimya kimya
 
1. Mengi sio Dr! TCU haitambui doctorate ya Mengi, wala hakuna nchi inayotambulika.
2. Kutoa ni moyo sio matangazo, kama hujasikia wengine wanatoa haimaanishi hawatoi, na hata wasipotoa mwenye haki ya kulaumu ni Mungu tu si binadamu.
 
Mkuu Pasco
nimewahi kusikia alisema toa mkono wa kulia bila kushoto kuona
ni Mtume (S A W)
sasa inawezekana na wewe ume mix au wote wamewahi kusema hivyo?
,naomba tusiingize mihadhara hapa..

Math 6:2 basi ww utoapo sadaka, usipige panda mbele yako, km wanafiki wafanyavyo ktk masinagogi na njian ili watukuzwe na watu. Bali ww utoapo sadaka, hata mkono wako wa kushoto usijue ufanyalo mkono wako wa kuume, sadaka yako iwe siri
 
Last edited by a moderator:
Wanaomjua mungu hawana promo bana, kwanza sidhani kama mengi alishamlipa sumni yake baada ya kumburuza mahakamani huyu na manji alidai iyo tu kama fine kwa dharau akijua mengi hana ela ya kusimama nae kokote duniani
Mbona MANJI hayupo hapo kwenye list au kwa sababu anafadhili manjano??????
 
ulichoandika ni sahihi sana. siku zote wenye fedha huwasaidia wenye fedha wenzao. shule hii mmiliki wake au mwanzilishi ni mama tibaijuka ambaye fedha kwake si tatizo kwani alishakusanya nyingi tangu akiwa un-harbitat na sasa anakusanya za rushwa za viwanja. ni bora huyo wengi angazielekeza fedha izo kwa wale wanaosomea chini ya miti na kukalia mawe.
Mchango ametoa lakini ni sehemu isiyostahili. Shule hy ada yake ni milion na ushee. Mtu anaesoma hapo anauwezo ht km ni yatima.shule za kata ndiko masiki walipo
 
Wanaomjua mungu hawana promo bana, kwanza sidhani kama mengi alishamlipa sumni yake baada ya kumburuza mahakamani huyu na manji alidai iyo tu kama fine kwa dharau akijua mengi hana ela ya kusimama nae kokote duniani

Huyo Manji unayemhusudu ni kesi ngapi ameshinda na ngapi ameshindwa? Kwa akili yako kushinda kesi ndio utajiri? Nani asiyejua kwamba Manji anatamba na hela za wizi wa EPA? Au mara hii umeisahau Kagoda na the likes of Manji?

Kama mzazi wako alidhulumiwa na NBC unatakiwa kuidai serikali yako na sio kuonyesha chuki dhidi ya mzee Mengi ambaye amejitahidi sana kugawana umasikini na watanzania wenzake hata kama kwa mtazamo wa kidini anaonekana kupepesuka lakini misaada anayoitoa kwa watanzania wenzake ni mikubwa na inathaminiwa.

Hao wanaotoa kimyakimya tunajuaje kama wameiba/wamepora ama wamezipata kwa kuuza sembe?
 
Aww katika watu siwakubali ni huyu mzee mi siamini Kabisa Kama jamaa ana hela kihivyo kila kitu anafanya kwa sifa tu biashara yake ya media ndio inampa nguvu sana kwa wanasiasa so kiufupi alichonacho ni influence na umaarufu lakini kwa utajiri kuna watu matajiri bongo wapo kimya huitaji kuita vyombo vya habari kuchangia yatima au walemavu huo ni ukarimu au unataka kuonyesha we ni mkarimu huyu mzee yupo kundi la pili anataka tuone ye ni mkarimu nenda vituo vya yatima kuna watu wanatoa misaada kila mwaka kimya kimya

Ofkoz mwanadamu hauwezi kukubaliwa na wote!ila kujitoa ufahamu na kujijaza u.p.u.m.b.a.v.u kichwani eti huyu jamaha hana hela yoyote,huo n ujinga uliopindukia!Mengi ana hela ya kutosha tena ni hela safi ndio maana anaiweka wazi,google umsome vizuri anatambulika vipi kimataifa!elimu yake ameitendea haki!pili nakushauri tu ndugu yangu,jifunze kua mtu wa ku appriciate watu,chuki,kashfa na wivu hautakusaidia lolote,wewe hata usipomkubali Mengi una msaada gani kwake?
 
Math 6:2 basi ww utoapo sadaka, usipige panda mbele yako, km wanafiki wafanyavyo ktk masinagogi na njian ili watukuzwe na watu. Bali ww utoapo sadaka, hata mkono wako wa kushoto usijue ufanyalo mkono wako wa kuume, sadaka yako iwe siri

asante
naona kwa waislamu ipo pia hii
cc MziziMkavu
 
Last edited by a moderator:
Ndio maana manji atimkaashifu baada ya kushinda kesi dhidi yake alimwambia amlipe sumni tu jamaa akawa kimya hakuweza kulumbana tena na watt wenye pesa

Mkuu ile kesi bado haijatolewa maamuzi mpaka leo,huo ni uongo uliopitiliza
 
umekwazika nn? mbona kasema mambo mazuri kwa mujibu wake; dini yako ni ipi isoruhusu kusaidia wasojiweza? bravo Dr.MENGI
 
usije sema tu dini yako inaruhusu kujitoa mhanga na kuua wasio na hatia halafu inazuia kutoa misaada kwa wasiojiweza.
 
Mchango ametoa lakini ni sehemu isiyostahili. Shule hy ada yake ni milion na ushee. Mtu anaesoma hapo anauwezo ht km ni yatima.shule za kata ndiko masiki walipo

Sitaki kuamini, Mbona sasa Mwenyewe anasema wanafadhiliwa na Serekali ya sweeden? Inakuwaje Ada bado juu?
 
umekwazika nn? mbona kasema mambo mazuri kwa mujibu wake; dini yako ni ipi isoruhusu kusaidia wasojiweza? bravo Dr.MENGI

kipimo

Huwa tunasema tu EPA EPA, lakini Tukumbuke huyu naye ni mmoja ya watu waliofaidika na Mikopo kutoka NBC na wakshindwa kulipa mwisho Benki ikafirisika. Na mpaka leo hajawahi kulipa, Kwahiyo hizi anazotoa ni RIBA zetu.
 
Last edited by a moderator:
mkuu mtimbichi kwenye hiyo cabinate na mzee mengi alikuwepo na ilikua ni donation ya matajir wa hapa bongo na but mzee salim alitoa na malori ya kubeba nafaka hzo... ki ukweli mzee mengi anajitahid kujitolea japo ni kwa regnition kwenye society.
 
Hahahaa Pasco naona bado una kumbukumbu nzuri ya ''ukarimu'' wake dhidi ya kipindi kilichopendwa sana cha Kitiz Motoz!
Mkuu Mwita Maranya, kiukweli, kwa ukarimu tuu, Mzee ni Mkarimu sana, na kwa ufadhili, Mzee pia ni mfadhili sana!. Hata kile kipindi, alitufadhili na tukafadhilika na pia alitukarimu sana, nasi tukakarimika!.
P.
 
Wito wangu ni zile Sh.10,000 kwa kila mwanaJF. Tutakuwa jamii ya matusi tu na kejeli?
 
Back
Top Bottom