S. S. Phares
JF-Expert Member
- Nov 27, 2006
- 2,138
- 82
This dura-maaa between Mengi and Rostam is so childish when you look at it.
Its all about she sau he say and i will sue you lakini hakuna hata mmoja wao anayetoa evidence zaidi ni kutoleana makashfa...Tanzania tupo so behind kwenye politics kama unaona kuna ufisadi toa ushahidi wako A-B-C-D full stop!...
we have long way to go!..yaani hii drah-maa ya rostam na Mengi haina tofauti na Jerry springer.
No i am not na wala usijali sita ku-sue!.....
I know that is honest mistake!...ila next time nitakupeleka mahakamani for 10billion dollars...US!....LOL This make me wonder yaani hawa watu its all about money na wala siyo manufaa ya mwananchi..Nilishasema awali kuwa wanasiana bongo IQ zao ni Zero/nada/sifuri...hakuna kitu wanaangalia maslahi yao na siyo ya wananchi....if you all choose me i will make changes....
Its time for change!.....
Kichwa cha hii topic kinasema As Rostam approaches PCCB: Mengi goes to Court
Au mwezetu huoni...!!!
So what?!
Wewe hebu tuliza ball unaweza ukaenda court na kusiwe na kesi vilevile ikafia hukohuko.....kwani kwenda court ndiyo nini?....You are too blind to see uh!
Mengi kaenda court mara nyingi tuu..
Kesi haiwezi kuenda mbele wakati Mengi anachunguzwa na TAKUKURU ,itabidi asubiri kwanza wakati akichunguzwa na uchunguzi kumalizika.
This dura-maaa between Mengi and Rostam is so childish when you look at it.
Its all about she sau he say and i will sue you lakini hakuna hata mmoja wao anayetoa evidence zaidi ni kutoleana makashfa...Tanzania tupo so behind kwenye politics kama unaona kuna ufisadi toa ushahidi wako A-B-C-D full stop!...
we have long way to go!..yaani hii drah-maa ya rostam na Mengi haina tofauti na Jerry springer.
Kesi Iko mahakamani tayari, wewe bado unadai ushahidi utolewe.
Hivi kuna ushahidi wa nguvu zaidi ya ule utolewao Mahakamani chini ya kiapo?
Au unadhani ukipeleka ushahidi wako Takukuru ndo umemaliza kila kitu?
Takukuru siyo Mahakama.
Au mimi ndo mjinga sielewi, hii sentensi yako kwamba
"Tanzania tupo so behind kwenye politics kama unaona kuna ufisadi toa ushahidi wako A-B-C-D full stop!..."
Ina maana gani? Fafanua.
Kalagabaho!....that is all i can say!...
Toa maelezo "kalagabaho" ndo nini?? kama huna details you better give mic to others.
Angalia Kamusi....au google....
Nikupe details za nini?kwani mengi kawapa setails si kapeleka kesi mahakamani subiri na mimi nipeleke kesi yangu mahakamani....si mna believe in mahakama?...
Ndiyo maana nasema CCM itaendelea kuongoza tuu inaonekana mmeridhika sana na mengi kupeleka kesi yake mahakamani uh....nani kasema kupeleka kesi mahakama ndiyo mwisho wa matatizo anaweza akafungua kesi hana evidence kesi inaingizwa kapuni what are you talking about....mpo so blind folded na vitu vidogo sana eti mahamani so what?....
Think outside the box....
Angalia Kamusi....au google....
Nikupe details za nini?kwani mengi kawapa setails si kapeleka kesi mahakamani subiri na mimi nipeleke kesi yangu mahakamani....si mna believe in mahakama?...
Ndiyo maana nasema CCM itaendelea kuongoza tuu inaonekana mmeridhika sana na mengi kupeleka kesi yake mahakamani uh....nani kasema kupeleka kesi mahakama ndiyo mwisho wa matatizo anaweza akafungua kesi hana evidence kesi inaingizwa kapuni what are you talking about....mpo so blind folded na vitu vidogo sana eti mahamani so what?....
Think outside the box....
Kesi haiwezi kuenda mbele wakati Mengi anachunguzwa na TAKUKURU ,itabidi asubiri kwanza wakati akichunguzwa na uchunguzi kumalizika.
Angalia Kamusi....au google....
Nikupe details za nini?kwani mengi kawapa setails si kapeleka kesi mahakamani subiri na mimi nipeleke kesi yangu mahakamani....si mna believe in mahakama?...
Ndiyo maana nasema CCM itaendelea kuongoza tuu inaonekana mmeridhika sana na mengi kupeleka kesi yake mahakamani uh....nani kasema kupeleka kesi mahakama ndiyo mwisho wa matatizo anaweza akafungua kesi hana evidence kesi inaingizwa kapuni what are you talking about....mpo so blind folded na vitu vidogo sana eti mahamani so what?....
Think outside the box....
Mtikila alishinda Kesi Mahakama kuu na mahakma ya Rufaa kuhusu Mgombea Binafsi katika ngazi zote za uchaguzi.
Serikali inashindwa kutekeleza hukumu hiyo hadi leo.
Sijui serikali nazo siku hizi zina Kidada(kiburi)?
Je huo si ushahidi kwamba anagalau huko Mahakamani kuna watu na siyo viatu?
Hatukatai Utawala mzima wa kisheria nchini Tanzania ni vurugu kubwa ya kutisha.
Hata hivyo,Pale mtu akiamua kufuata taratibu basi ni vema afuate taratibu kwa kuchuka hatua moja mbele na si hatua moja nyuma.
Ukikashifiwa, au ukitambua mtua anakupakazia juu ya madai ya uongo huendi Takukuru unakwenda Mahakamani.
Takukuru wanachunguza tuhuma za jinai siyo madai.
Angalia Kamusi....au google....
Nikupe details za nini?kwani mengi kawapa setails si kapeleka kesi mahakamani subiri na mimi nipeleke kesi yangu mahakamani....si mna believe in mahakama?...
Ndiyo maana nasema CCM itaendelea kuongoza tuu inaonekana mmeridhika sana na mengi kupeleka kesi yake mahakamani uh....nani kasema kupeleka kesi mahakama ndiyo mwisho wa matatizo anaweza akafungua kesi hana evidence kesi inaingizwa kapuni what are you talking about....mpo so blind folded na vitu vidogo sana eti mahamani so what?....
Think outside the box....
Kesi haiwezi kuenda mbele wakati Mengi anachunguzwa na TAKUKURU ,itabidi asubiri kwanza wakati akichunguzwa na uchunguzi kumalizika.
Kalagabaho!....that is all i can say!...
sasa nani ana nguvu zaidi PCCB au Mahakama.. Je, Rostam atatakiwa kujitetea na kupeleka ushahidi mahakamani au atasema ameshapeleka PCCB so case "closed"? Je mahakama ikimuita akikataa itakuwaje? Na wale waliompatia huo ushahidi wanaweza kuitwa? wakikataa jee.. Mengi atashindwa kwani mahakama haina nguvu ya kuwaita mashahidi au ushahidi wa kumsaidia mwenye kesi.. so.. "bingili bingili mpaka chini!"