Uchaguzi umeisha na Rais wa jamhuri anataganzwa leo.Baada ya hapo hakuna jinsi ya kuhoji matokeo.
Nachukua fursa kumpongeza kwa dhati mama Regina Lowassa.
Amesimama na msimamo na amefanya kazi kubwa.
Ameitwa mjane wakati mume yu hai na amevumilia matusi mpaka ya nguoni.
Kila la kheri.
Nachukua fursa kumpongeza kwa dhati mama Regina Lowassa.
Amesimama na msimamo na amefanya kazi kubwa.
Ameitwa mjane wakati mume yu hai na amevumilia matusi mpaka ya nguoni.
Kila la kheri.