Regina Lowassa - Shujaa wangu

Regina Lowassa - Shujaa wangu

Ningefurahi sana endapo angekuwa mbunge wa Vito maalum.... Ni mpiganaji.
 
rais wangu ambae nimeweka picha yake kwenye frame na kuitundika ofisini kwangu hongera sana kwa kupata mke wenye akili kama condoresa rise mwambie wenyekiti mbowe ampe ubunge wa special seat coz she have brain yeye pamoja na halima mdee wataifanya bawacha kuwa taasisi imara sana na Huyu mama ni presidential material kabsa miaka ijayoo agombee urais am sure tutampa kura na wewe utakuwa first gentromen so ndoto yako ya kuingia ikulu itakuwa imekamilika kwa njia hyo bt for now ccm wameshatushika pabaya sana

umenena kwa machungu makubwa nadhani ulitoa chozi na halitapotea bure mungu atalipa.
 
Regina Lowassa ni Mama mfano wa kuigwa !
Mstaarabu, mueledi shujaa, mzalendo, na mtetezi wa wanyonge !
 
Kweli kabisa ni miongoni mwa wanawake wapigania haki
 
Kuna Mchungaji alishika Mpododo wa Mama sijui aliwaza Nini kwa kweli? Au alidhan Mama Charge ipo full sana kwa kuwa Mzee hapigi simu kutokana na ubize wa kampeni
 
Nimejuzwa kuwa mama Regina alikuwa mwalimu Ilboru sekondari.Ana hekima Sana halafu ana udhubutu WA hali ya juu kweli anahaki ya kupewa ubunge viti maalumu.
 
Huyu mama, Mungu aniwie radhi, ila angekuwa mama yangu, ningejiona mfalme mbinguni! She's very smart and bright!

Huwezi mlinganisha na wake wa marais wote ambao tumewahi kuwa nao nchi hii... Nilitamani sana awe first lady, tungeona mabadiliko makubwa sana ktk ofisi yake, na watangulizi wake...!

Ataingia bungeni. labda akatae mwenyewe.
 
Tutampa tu kwani hakuna namna nyingine ya kumkwepa na hii haki
 
Back
Top Bottom