Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,591
Inawezekana ni wewe unaota
Hata wewe yawezekana unaota!
Inawezekana ni wewe unaota
Nasikia nchemba sijui kweli.Hivi ni nani aliyetandikwa vibao (mbata) huko juu?
Nasikia bombardier moja imeshalala chini tayari.mtatoka tu mtake msitakeAiseee huyo mama kawaona nyie ni nyumbu na mnapoteza kumbu kumbu mapema sana yani hizo mbinu alishindwa kuwapa mwaka 2015 mkaishinda CCM?
Mkuu , hakuna marefu yasiyo na mwishoUishinde ccm? Unaota huku unatembea wewe
Una taarifa bombardier moja imeshalala huko gereji? Hii tabia ya kununua Mali ya umma kwa kupiga dili ndio itakayowaondoa 2020Vibendera hao hilo hawalifahamu
Wao mbwembwe na kudanganyana
JidanganyeUna taarifa bombardier moja imeshalala huko gereji? Hii tabia ya kununua Mali ya umma kwa kupiga dili ndio itakayowaondoa 2020
Mbona nyie CCM Magufuli anaanguka huko ikulu na kupoteza fahamu ninani asiyejua. Anaumwa tumbo linajaa haponi nani asiyejua.Ngoja nyumbu waone unasema mgombea wao alikuwa mgonjwa taabani.
2020 tutamchukua bashite .Sera zake zimetuvutia sanaWa 2020 si ni Lissu, au..?
Tafadhali bwana. Mawazo haya ni ya vijana wa Lumumba usitujumuishe watanzania wote.Tatzo la watanzania tushaweka mawazo yakua ccm haiwez ondoka madarakan, why? Con cha ajabu ccm ikiondoka madarakan
Hahahahaa huyu boya atakua anaota.Inawezekana ni wewe unaota
Si mliiba? Kwani CCM ilishinda uchagyzi? Msitufanye wajinga. Tunafahamu kwa uwazi na hata ninyi mnajua kwamba mliiba kura nakibadili matokeo mkjipa ushindi kwa nguvu ya Tume na polisi. Acheni unafiki, semeni ukweli.Hivi ni nani aliyetandikwa vibao (mbata) huko juu?
Hizo mbinu kwanini asingempa mumewe hadi akapigwa chini na Kikwete dodoma na hatimaye kugalagazwa na Magufuli kwenye uchaguzi mkuu.
Nasikia nchemba sijui kweli.
Naona nyie ndio mnajidanganya hapa. 2020 hatutaki pushupJidanganye
Huwezi kuwa hukubaliki afu uvune kura mamilioni zaidi ya 6 ukizingatia tume ni ya kiccm..... shida ni tume kma ni kukubalika upinzani umeshakubalika sana tatizo ni tume no wonder mkiwashinda wanafuta matokeo afu badala ya kuliona hilo mnakuja kuongelea ukanda na ukabila!!!Watu wanaongea kama vitu vya mchezo wa kuigiza, mmejipanga vipi kwanza na kwa timu ipi na inaongozwa na nani?, mmekubalika kwa kiwango gani na wananchi wa rika zote, kabila,dini na hata nje ya mipaka? Maana kama hamjapiga mahesabu vizuri mtatwanga maji kwenye kinu kila uchao
Bila tume huru upinzani hata wamsimamishe nani lazima wasomeshwe namba.Upinzani mbinu ni moja tu TUME HURU...... kma hamna tume huru mambo yatakuwa yaleyale ya CCM kubeba ushindi wa mezani