Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,420
Ile Taasisi Bora ya akina mama Barani Africa ( BAWACHA), Leo imeandaa kongamano la wanawake ambalo kidunia linafanyika Dodoma, lengo la jambo hili ni kutathmini mchango wa mwanamke, kisiasa, kiuchumi na katika nyanja zote za haki na maendeleo zinazomhusu Mwanamke.
Bawacha ndio Taasisi inayoongoza Africa na inatajwa kushika namba 2 Duniani kwa kuwa Taasisi halisi ya akina mama inayowajali wanawake, kiuhalisia, Bawacha haijawahi kukusanya Wanawake walioshindikana, wachovu, wenye kila aina ya kashfa, waliokosa maadili na kuwanadi ili kuwapa promo kwa sababu ya Umaarufu wao, hii ndio Taasisi inayohitajika Tanzania.
Angalia picha hizi za Bawacha Dodoma halafu fananisha na Wengine.
Bawacha ndio Taasisi inayoongoza Africa na inatajwa kushika namba 2 Duniani kwa kuwa Taasisi halisi ya akina mama inayowajali wanawake, kiuhalisia, Bawacha haijawahi kukusanya Wanawake walioshindikana, wachovu, wenye kila aina ya kashfa, waliokosa maadili na kuwanadi ili kuwapa promo kwa sababu ya Umaarufu wao, hii ndio Taasisi inayohitajika Tanzania.
Angalia picha hizi za Bawacha Dodoma halafu fananisha na Wengine.