Kweli haya ni mazazo yako... mimi sina wazu! Bali na sema. TUJITEGEMEE na tuache uoga kwa kuwa wadadisi namna ya kujitegemea huku tukidhibiti vikwazo vya namna yoyote ama kutoka ndani ama nje ya nchi yetu.
Ndio maana kuna kitu inaitwa diplomasia, maana yake ni maelewano...ujitegemee kama bado, jitegemee kwa kuelewana na wengine..
Hapa tz wanaolalamika wengne sio waliokwapua pesa...ni maskini tu was mungu..hawana makosa yoyte...msiteteetetee siasa msizozielewa...kosa la serikali ni tabia ya kukomoana katika kunyoosha mambo..
Kwa mfano, kwa nini sheria isifuate mikondo yake? Rule of law?
Serikali watu wanaonaina mipango mizur kwa mini haipendi kuelewana kupungiza gharama itatue shida zingine kama Vifo nk
Wazee wastaafu kuna haja gani kuwawekea fedha zao 75%
Watumishi wamemkosea mini kuwabinya?
Kama unakubalika kwa mini usiache kukubalika huko badala ya kulazimisha watu wakukubali.
Mahakama za mafisadi..ni nani amepinga hill
Elimu bure unadhani hii kitu ya bure inatija?
Na mengine mengi....
Mh Rais namkubali, lkn matendo ya bashite kupambana na ishu za madawa, makahaba, inahitaji high level diplomacy. So vitu vizur Ila kama kweli unaniankupambana, inahitajika busara, diploma sia ni busara.
Wateule wengine wanafanya comedy, wengine wanaonyesha ukomavu kama Dada etu mwegelo..mungu amzidishie, wateule wengi vijana wapo sawasawa.. Lkn njoo huko juu mzee panic nyingi. Tz ni Tanzania. Tz sio Rwanda napata ugwadu MTU akitutaka tuwe kama Rwanda sijui wapi..ni upuuzi... tan ni tan
Wtu wake wanatabia tofauti za wengine