Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,919
- 7,768
Na mbinu itakayotumika. Naunga mkono hoja!Siungi mkono mapinduzi ila nitaunga mkono mabadiliko kupitia box la kura.
Na mbinu itakayotumika. Naunga mkono hoja!Siungi mkono mapinduzi ila nitaunga mkono mabadiliko kupitia box la kura.
Siungi mkono mapinduzi ila nitaunga mkono mabadiliko kupitia box la kura.
Regime change? Why msubiri wazungu wawafanyie regime change? Kama hamuutaki utawala si muutoe tu 2020? Hao wazungu regime change zao huanza kwa vikwazo vya uchumi ambavyo huumiza zaidi wananchi kuliko watawala na hufanya hivyo ili wananchi wachukie waingie barabarani ila mpaka ifikie watanzania waingie barabarani uchumi utakua umekufa kabisa maana watanzania sio watu wa vurugu. Tumieni masanduku ya kura kubadili viongozi msiombe kuwekewa vikwazo vya uchumi maana wanyonge ndio mtaumia na sio watawalaWatanzania wenzangu. Kwa yeyote mwenye uelewa aliyesoma waraka wa Senators wa Marekani, bila shaka watakubaliana na mimi kuhusu ujumbe ndani ya ule waraka. Senators kwa lugea nyingine wamezungumzia regime change " Yaani mabadiliko ya Uongozi uilio madarakani"
Hakuna siku hata moja Mmarekani au Jumuiya ya Ulaya wakazungumzia regime change wakashindwa. Urusi walimuondoa Gorbachev. Venezuela walimuondoa Hugo Chavez aliyemtukana Busha hadharani. Zimbabwe wamemuondoa Mugabe,Gbagbo, Rais wa Gambia, Afrika Kusini Mkaburu, Libya Ghadaffi. Nicolae Ceausescu, Noriega, Charles Taylor, Slobodan Milocevich......Listi ni ndefu. Haha watt wakipuania wamekupania, hata ulindwe na majeshi toka mbinguni watakuondoa tu
Hawa watu wana mbinu nyingi sana, siyo kuvamia ikulu, bali wanatumia mbinu nyingi sana za kijasusi zingine tusizielewe. Naona Tanzania tunaelekea kwenye Regime Change. Swali la kujiuliza, je wataweza kumuondoa Rais Magufuli?
Haya ni mazazo yangu, mwenye wazu tofauti tujuzane, ila dawa hapa ni kupiga reverse kwenye mambo yaliyotajwa na diplomasia ya hali ya juu. Vinginevyo jamaa anakwenda na maji
MEMBE HUYOO!!!Vijana wa "ulipo tupo" bado hamkubari kuwa mlishindwa uchaguzi wa 2015.
Msipoteze muda jipangeni kwa 2020.
ar u seriously!!!???Mtukufu asitegemee ulinzi wa Askari wa Kagàme tu, atembee na matank ya hewa kabisa, hata hewa anayovuta haiko salama.
Hapana tunajisifu kuwekewa viongozi na tumeUnajisifu kuwekewa kiongozi na wageni? Au sijakuelewa?
Hapa tulipo tumeshapigwa 1.5 TWapigaji Tanzania walikuwa wengi kiasi kwamba ikawa ni Tabia ambayo ni kama ngozi sasa, nasikia vilio kila kona ya mji baada ya Dr. Kuanza kuzichuna hizo ngozi sasa, ushahidi ni comments nyingi za hapo juu, bado kuzibanika tu nyama zenu kabisa tule ndafu. Mtasubiri sana na madua ya kuku kwa mwewe na bado mtanyakuliwa
Wewe una uhakika kuwa walishindwa?Vijana wa "ulipo tupo" bado hamkubari kuwa mlishindwa uchaguzi wa 2015.
Msipoteze muda jipangeni kwa 2020.
Huwa wanatuma drone, hawahitaji waandamanajiRegime change ndoto za Abunwasi.
Tweet haziwezi kumuondoa Magufuli,out of 50 millioni Tanzanians ni wangapi wanafuatilia harakati hizo?
Ikiwa hata kujitokeza kushiriki maandamano hamukusogea,hiyo kubeba siraha mtaweza?
Hakuna jambo kama hilo.
Regime change? Why msubiri wazungu wawafanyie regime change? Kama hamuutaki utawala si muutoe tu 2020? Hao wazungu regime change zao huanza kwa vikwazo vya uchumi ambavyo huumiza zaidi wananchi kuliko watawala na hufanya hivyo ili wananchi wachukie waingie barabarani ila mpaka ifikie watanzania waingie barabarani uchumi utakua umekufa kabisa maana watanzania sio watu wa vurugu. Tumieni masanduku ya kura kubadili viongozi msiombe kuwekewa vikwazo vya uchumi maana wanyonge ndio mtaumia na sio watawala
Mbona mmeshindwa kuwatoa wanajeshi wa Kagame wanaolala ikulu, mtawaweza wamarekani?Kwa taarifa yako, huyo kibaraka atakayewekwa na hao senetors wa mabeberu tutamwondoa sisi wenyewe kwa mkono yetu. Wala hatuhitaji msaada wa mtu yeyote toka nje. Kawaambie hao walikutuma kuwa mpango wao umeshashindwa tayari kabla hata ya kuanza.
Haipo kitu kimoja, kwa mara ya kwanza toka uhuruZadi ya kuonyesha uwezo wako mdogo hakuna kingine. Umewapa hadhi kubwa tofuati na uhalisia. Hawana uwezo wowote endapo Tanzania itakuwa kitu kimoja
Nkurunzinza hata wakiwatuma Kenya wanamtoa ndani ya siku 2Wamemshmdwa nkurunziza sembuse tz na jiwe,
ingawa jiwe halina cha maana lakn kulitoa ni kaz
Haipo kitu kimoja, kwa mara ya kwanza toka uhuru
Wazungu they are closing inHizo Satellites picture zako ni Videos au hiyo technology unaisikia tu!! Najua wapo mashabiki maandazi utakaowapata lakini wachache sana.
Watanzania wenzangu. Kwa yeyote mwenye uelewa aliyesoma waraka wa Senators wa Marekani, bila shaka watakubaliana na mimi kuhusu ujumbe ndani ya ule waraka. Senators kwa lugea nyingine wamezungumzia regime change " Yaani mabadiliko ya Uongozi uilio madarakani"
Hakuna siku hata moja Mmarekani au Jumuiya ya Ulaya wakazungumzia regime change wakashindwa. Urusi walimuondoa Gorbachev. Venezuela walimuondoa Hugo Chavez aliyemtukana Busha hadharani. Zimbabwe wamemuondoa Mugabe,Gbagbo, Rais wa Gambia, Afrika Kusini Mkaburu, Libya Ghadaffi. Nicolae Ceausescu, Noriega, Charles Taylor, Slobodan Milocevich......Listi ni ndefu. Haha watt wakipuania wamekupania, hata ulindwe na majeshi toka mbinguni watakuondoa tu
Hawa watu wana mbinu nyingi sana, siyo kuvamia ikulu, bali wanatumia mbinu nyingi sana za kijasusi zingine tusizielewe. Naona Tanzania tunaelekea kwenye Regime Change. Swali la kujiuliza, je wataweza kumuondoa Rais Magufuli?
Haya ni mazazo yangu, mwenye wazu tofauti tujuzane, ila dawa hapa ni kupiga reverse kwenye mambo yaliyotajwa na diplomasia ya hali ya juu. Vinginevyo jamaa anakwenda na maji
Kwa ballot box itatuchukua miaka 200 kuwaondoa CCM madarakani.Tunahitaji tume huru ya uchaguzi.Polisi wafanye kazi ya kulinda raia na Mali zao waachane na siasa.Tunasikitika Tume za Haki za binadamu wako kimya?Mama Kijo mko wapi LHRC na wengine au mmenunuliwa.Kama mnagopa kufungwa basi tafuteni kazi nyingine.Box la kura ndo limeshakataliwa, mawakala wanakataliwa kuingia vyumba vya kupiga kura adharani