UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 10,048
- 9,342
Kwa taarifa yako, huyo kibaraka atakayewekwa na hao senetors wa mabeberu tutamwondoa sisi wenyewe kwa mkono yetu. Wala hatuhitaji msaada wa mtu yeyote toka nje. Kawaambie hao walikutuma kuwa mpango wao umeshashindwa tayari kabla hata ya kuanza.