Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,420
- 4,032
naona unagombana na kila mtu humu, ujitafakariMajibu ya kijinga kwa maswali ya kijinga, siumizi kichwa changu in vain
naona unagombana na kila mtu humu, ujitafakariMajibu ya kijinga kwa maswali ya kijinga, siumizi kichwa changu in vain
Mjinga ni mtu asiye na elimu juu ya jambo fulani, wewe ni "Mjinga" maana hujui ukweli wa unayoyasema, unapotosha jamii ili roho yako isuuzike,Matusi ndiyo lugha yenu


nacheka kama mazuri yani wale jamaa fisiem ovyo kabisa
Box la kura lipi mkuu, hili hili ambalo Polisi na Ccm wanaweza kundoka nalo likiwa tupu na kulirudisha limejaa na Tume ya uchaguzi ikalitambua na kulihesabu na mccm akashinda kwa kishindo?
Ni kura za Watanzania ndiyo zitaleta hiyo "Regime Change" na si vinginevyo. Hivyo basi endelea kuota ndoto za mchana kuwa nje ya kura kutakuwa na mabadiliko unayoyataka ya utawala.Watanzania wenzangu. Kwa yeyote mwenye uelewa aliyesoma waraka wa Senators wa Marekani, bila shaka watakubaliana na mimi kuhusu ujumbe ndani ya ule waraka. Senators kwa lugea nyingine wamezungumzia regime change " Yaani mabadiliko ya Uongozi uilio madarakani"
Hakuna siku hata moja Mmarekani au Jumuiya ya Ulaya wakazungumzia regime change wakashindwa. Urusi walimuondoa Gorbachev. Venezuela walimuondoa Hugo Chavez aliyemtukana Busha hadharani. Zimbabwe wamemuondoa Mugabe,Gbagbo, Rais wa Gambia, Afrika Kusini Mkaburu, Libya Ghadaffi. Nicolae Ceausescu, Noriega, Charles Taylor, Slobodan Milocevich......Listi ni ndefu. Haha watt wakipuania wamekupania, hata ulindwe na majeshi toka mbinguni watakuondoa tu
Hawa watu wana mbinu nyingi sana, siyo kuvamia ikulu, bali wanatumia mbinu nyingi sana za kijasusi zingine tusizielewe. Naona Tanzania tunaelekea kwenye Regime Change. Swali la kujiuliza, je wataweza kumuondoa Rais Magufuli?
Haya ni mazazo yangu, mwenye wazu tofauti tujuzane, ila dawa hapa ni kupiga reverse kwenye mambo yaliyotajwa na diplomasia ya hali ya juu. Vinginevyo jamaa anakwenda na maji
Chukulia mfano mtu amezoea kupokea laki tatu kila mwezi, budget yake inacheza hapo miaka nenda rudi, leo unampatia millioni Mia ishirini kwa mkupuo, hana cha business plan wala financial management zaidi ya mipango hewa ambayo haitekelezeki ama ndio itamdidimiza kabisa, tayari umri umekwenda hawezi kuchakalika ili kumanifest mawazo yake ambayo kimsingi alitakiwa awe ameanzisha mapema zaidi ya kuwategemea watoto, ndugu na jamaa wasimamie ambao majority wanamchukulia kama dili kwa wakati huo. Mpe miaka mitatu atakuwa kachoka mithili ya mbwa koko maana wengine wanaongezaga mpaka wake.Vizee vya watu vinavyostaafu na vyenyewe vilikuwa vipigaji?
Gadaffi alikuwa na mazuri mara mia ya huyu lakini walimuondoa kwa aibu na mateso makubwa hadi kifo kwa nini? kwa sababu hakujali utu wa watu, mateso na mauaji kwa wengine huku akijiona yeye ni next to Mungu.Ndo maisha ya Watanzania walio wengi kuishi kwa dhana badala ya uhalisia kwa yanayoonekana.Hivi ni kweli huwa hamuoni mazuri ya Mh Rais?
Umefunga Mada, zaidi ya hapo itakuwa ni utumbo wa kukuMngekuwa hata na akili mngetafakari tu kwamba hivi Uganda, Congo Rwanda na Burundi kote huko hiyo regimen imefanyika?
Ukiwa na akili za kushikiwa kama chadema walivyo utaona kwamba tanzania ina hali mbaya zaidi kuliko hizo nchi hapo juu.
Hizo Satellites picture zako ni Videos au hiyo technology unaisikia tu!! Najua wapo mashabiki maandazi utakaowapata lakini wachache sana.Mfano zikionyeshwa picha za setilite zikimuonyesha Mzee Chongo akimhoji na kumlazimisha MO aachie something kipindi kile amechukuliwa na wasiojulikana tutasemaje? au uzalendo? kiongozi wa wasiojulikana akipata maagizo ya mwisho kabla ya kwenda Dodoma ile septemba 2017 na pia maelezo ya awali ya simu yaliyo naswa yakieleza kuwa mission accomplish kweli tutabaki na misimamo hii tuliyonayo?
Kashogi pamoja na Saudi kuwa na maendeleo zaidi yetu mambo kadharani sasa hivi hivyo hawa jamaa wakitaka kutuumbua ni mara moja tuu. Mchonga alikuwa anauwezo wa kuwavimbia wazungu kwa vile hakuwa na mambo ya kihunihuni kama haya wala ya kishenzi
Wewe wa ajabu kweli !!! Ulindwe na jeshi kutoka mbinguni alafu ukaondolewa?Watanzania wenzangu. Kwa yeyote mwenye uelewa aliyesoma waraka wa Senators wa Marekani, bila shaka watakubaliana na mimi kuhusu ujumbe ndani ya ule waraka. Senators kwa lugea nyingine wamezungumzia regime change " Yaani mabadiliko ya Uongozi uilio madarakani"
Hakuna siku hata moja Mmarekani au Jumuiya ya Ulaya wakazungumzia regime change wakashindwa. Urusi walimuondoa Gorbachev. Venezuela walimuondoa Hugo Chavez aliyemtukana Busha hadharani. Zimbabwe wamemuondoa Mugabe,Gbagbo, Rais wa Gambia, Afrika Kusini Mkaburu, Libya Ghadaffi. Nicolae Ceausescu, Noriega, Charles Taylor, Slobodan Milocevich......Listi ni ndefu. Haha watt wakipuania wamekupania, hata ulindwe na majeshi toka mbinguni watakuondoa tu
Hawa watu wana mbinu nyingi sana, siyo kuvamia ikulu, bali wanatumia mbinu nyingi sana za kijasusi zingine tusizielewe. Naona Tanzania tunaelekea kwenye Regime Change. Swali la kujiuliza, je wataweza kumuondoa Rais Magufuli?
Haya ni mazazo yangu, mwenye wazu tofauti tujuzane, ila dawa hapa ni kupiga reverse kwenye mambo yaliyotajwa na diplomasia ya hali ya juu. Vinginevyo jamaa anakwenda na maji
Kwa uandishi huu inaonyesha una IQ ndogo sana, pia huenda uliugua utapiamlo utotoniI hate people who have tunnel thinking capacity, get out there and have fresh mind brother.
Huwezi kuajili tu eti kwasababu watu wanagraduate, serikali ina fanya mambo kulingana na demand, plans, efficiency na priorities za wakati husika. Kanye West ashawahi sema kwenye wimbo wake wa Good morning Album ya Graduation kwamba "people are graduating but we are still stupid"
Darasa la saba wanajiajili baadae wanakuja kuwaajili graduates, what a shame.
Hakuna sehemu watu wanatwangwa risasi hadharani kama USA, labda kama macho yako yanamatege na masikio yako yametiwa pamba za maiti.
Putin ni Mzungu, nenda kwenye nchi yake fuatilia kama waandishi wa habari wanaweza kuandika uharo akawaacha salama, wamemfanyaje?
Shughuli za maendeleo huzioni mpaka unaulizia hela ambayo hapo mwanzo hata haijulikani ilikuwa inafanya nn, mwenye macho haambiwi tazama.
Jamaa alichanganyia na kufuru humo humo!!Wewe wa ajabu kweli !!! Ulindwe na jeshi kutoka mbinguni alafu ukaondolewa?
Amen na huu ndio ukweli wenyewe and atakuwa Rais atakaekumbukwa kwa kazi nzuri na kusifiwa sana.Mleta mada, sasa wewe unashangalia ama? Kwa taarifa yako Magufuli atabaki hapa mpaka 2025 na atakuwa kaiacha nchi katika dunia ya pili.
A true definition of stupidity!Chukulia mfano mtu amezoea kupokea laki tatu kila mwezi, budget yake inacheza hapo miaka nenda rudi, leo unampatia millioni Mia ishirini kwa mkupuo, hana cha business plan wala financial management zaidi ya mipango hewa ambayo haitekelezeki ama ndio itamdidimiza kabisa, tayari umri umekwenda hawezi kuchakalika ili kumanifest mawazo yake ambayo kimsingi alitakiwa awe ameanzisha mapema zaidi ya kuwategemea watoto, ndugu na jamaa wasimamie ambao majority wanamchukulia kama dili kwa wakati huo. Mpe miaka mitatu atakuwa kachoka mithili ya mbwa koko maana wengine wanaongezaga mpaka wake.
Hapa kuna exceptional cases lakini majority ya wastaafu wanakufa kwa pressure baada ya kuukata mazima. Hakuna namna nyingine ya kuwasaidi zaidi ya hii.
KWA HIYO KATI YA WAHITIMU HAKUNA ANAYEDESERVE AJIRA ???I hate people who have tunnel thinking capacity, get out there and have fresh mind brother.
Huwezi kuajili tu eti kwasababu watu wanagraduate, serikali ina fanya mambo kulingana na demand, plans, efficiency na priorities za wakati husika. Kanye West ashawahi sema kwenye wimbo wake wa Good morning Album ya Graduation kwamba "people are graduating but we are still stupid"
Darasa la saba wanajiajili baadae wanakuja kuwaajili graduates, what a shame.
Hakuna sehemu watu wanatwangwa risasi hadharani kama USA, labda kama macho yako yanamatege na masikio yako yametiwa pamba za maiti.
Putin ni Mzungu, nenda kwenye nchi yake fuatilia kama waandishi wa habari wanaweza kuandika uharo akawaacha salama, wamemfanyaje?
Shughuli za maendeleo huzioni mpaka unaulizia hela ambayo hapo mwanzo hata haijulikani ilikuwa inafanya nn, mwenye macho haambiwi tazama.
Na sasa hata kwenye unyampara hafai tena!Huyu ndiye Aliyetabiliwa na marehemu mzee kingunge Kuwa alistahili Kuwa mnyampala wa barabara na si vinginevyo sasa yametimia