That’s exactly ndicho ninachokisema, tusiombe kuwekewa vikwazo vya uchumi watakaoumia zaidi sio viongozi wa Ccm ni wananchi maskiniHata kama hatuipendi ccm lakini kuna mahali ifikie tusimame wenyewe kama watanzania maana hiki wanachokitamani wengine kikija kutokea hapa ujue hakina chama.