The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,006
- 3,280
Kichaa must go. Tunahitaji kiongozi mwenye akili timamu.Upuuzi tu JPM hadi 2025
Kichaa must go. Tunahitaji kiongozi mwenye akili timamu.Upuuzi tu JPM hadi 2025
Akili za zitto ni ujumlishe zako za jamii yako yote na think tanks wote wa ccm ndio utaweza kuzikaribiaWazungu ndio wakufanyie hayo mabadiliko? Ha ha ha akili za Zitto hizi.
We kichaaaWatanzania wenzangu. Kwa yeyote mwenye uelewa aliyesoma waraka wa Senators wa Marekani, bila shaka watakubaliana na mimi kuhusu ujumbe ndani ya ule waraka. Senators kwa lugea nyingine wamezungumzia regime change " Yaani mabadiliko ya Uongozi uilio madarakani"
Hakuna siku hata moja Mmarekani au Jumuiya ya Ulaya wakazungumzia regime change wakashindwa. Urusi walimuondoa Gorbachev. Venezuela walimuondoa Hugo Chavez aliyemtukana Busha hadharani. Zimbabwe wamemuondoa Mugabe,Gbagbo, Rais wa Gambia, Afrika Kusini Mkaburu, Libya Ghadaffi. Nicolae Ceausescu, Noriega, Charles Taylor, Slobodan Milocevich......Listi ni ndefu. Haha watt wakipuania wamekupania, hata ulindwe na majeshi toka mbinguni watakuondoa tu
Hawa watu wana mbinu nyingi sana, siyo kuvamia ikulu, bali wanatumia mbinu nyingi sana za kijasusi zingine tusizielewe. Naona Tanzania tunaelekea kwenye Regime Change. Swali la kujiuliza, je wataweza kumuondoa Rais Magufuli?
Haya ni mazazo yangu, mwenye wazu tofauti tujuzane, ila dawa hapa ni kupiga reverse kwenye mambo yaliyotajwa na diplomasia ya hali ya juu. Vinginevyo jamaa anakwenda na maji
Watanzania wenzangu. Kwa yeyote mwenye uelewa aliyesoma waraka wa Senators wa Marekani, bila shaka watakubaliana na mimi kuhusu ujumbe ndani ya ule waraka. Senators kwa lugea nyingine wamezungumzia regime change " Yaani mabadiliko ya Uongozi uilio madarakani"
Hakuna siku hata moja Mmarekani au Jumuiya ya Ulaya wakazungumzia regime change wakashindwa. Urusi walimuondoa Gorbachev. Venezuela walimuondoa Hugo Chavez aliyemtukana Busha hadharani. Zimbabwe wamemuondoa Mugabe,Gbagbo, Rais wa Gambia, Afrika Kusini Mkaburu, Libya Ghadaffi. Nicolae Ceausescu, Noriega, Charles Taylor, Slobodan Milocevich......Listi ni ndefu. Haha watt wakipuania wamekupania, hata ulindwe na majeshi toka mbinguni watakuondoa tu
Hawa watu wana mbinu nyingi sana, siyo kuvamia ikulu, bali wanatumia mbinu nyingi sana za kijasusi zingine tusizielewe. Naona Tanzania tunaelekea kwenye Regime Change. Swali la kujiuliza, je wataweza kumuondoa Rais Magufuli?
Haya ni mazazo yangu, mwenye wazu tofauti tujuzane, ila dawa hapa ni kupiga reverse kwenye mambo yaliyotajwa na diplomasia ya hali ya juu. Vinginevyo jamaa anakwenda na maji
Kwa hisani ya KagameHakuna kitu kama hicho mkuu, wee endelea kuchapa kazi
RubbishI hate people who have tunnel thinking capacity, get out there and have fresh mind brother.
Huwezi kuajili tu eti kwasababu watu wanagraduate, serikali ina fanya mambo kulingana na demand, plans, efficiency na priorities za wakati husika. Kanye West ashawahi sema kwenye wimbo wake wa Good morning Album ya Graduation kwamba "people are graduating but we are still stupid"
Darasa la saba wanajiajili baadae wanakuja kuwaajili graduates, what a shame.
Hakuna sehemu watu wanatwangwa risasi hadharani kama USA, labda kama macho yako yanamatege na masikio yako yametiwa pamba za maiti.
Putin ni Mzungu, nenda kwenye nchi yake fuatilia kama waandishi wa habari wanaweza kuandika uharo akawaacha salama, wamemfanyaje?
Shughuli za maendeleo huzioni mpaka unaulizia hela ambayo hapo mwanzo hata haijulikani ilikuwa inafanya nn, mwenye macho haambiwi tazama.
Unataka kusema kuwa Rais aondolewe madarakani kabla ya uchaguzi ? Kumbuka Gorbachev, Hugo Chavez, Mugabe,Gbagbo, Mkaburu, Ghadaffi, Nicolae Ceausescu, Noriega, Charles Taylor, Slobodan na Milocevich walijifanya Marais wa Maisha. Je, Rais Magufuli kamaliza awamu ngapi kwenye Urais ?Watanzania wenzangu. Kwa yeyote mwenye uelewa aliyesoma waraka wa Senators wa Marekani, bila shaka watakubaliana na mimi kuhusu ujumbe ndani ya ule waraka. Senators kwa lugea nyingine wamezungumzia regime change " Yaani mabadiliko ya Uongozi uilio madarakani"
Hakuna siku hata moja Mmarekani au Jumuiya ya Ulaya wakazungumzia regime change wakashindwa. Urusi walimuondoa Gorbachev. Venezuela walimuondoa Hugo Chavez aliyemtukana Busha hadharani. Zimbabwe wamemuondoa Mugabe,Gbagbo, Rais wa Gambia, Afrika Kusini Mkaburu, Libya Ghadaffi. Nicolae Ceausescu, Noriega, Charles Taylor, Slobodan Milocevich......Listi ni ndefu. Haha watt wakipuania wamekupania, hata ulindwe na majeshi toka mbinguni watakuondoa tu
Hawa watu wana mbinu nyingi sana, siyo kuvamia ikulu, bali wanatumia mbinu nyingi sana za kijasusi zingine tusizielewe. Naona Tanzania tunaelekea kwenye Regime Change. Swali la kujiuliza, je wataweza kumuondoa Rais Magufuli?
Haya ni mazazo yangu, mwenye wazu tofauti tujuzane, ila dawa hapa ni kupiga reverse kwenye mambo yaliyotajwa na diplomasia ya hali ya juu. Vinginevyo jamaa anakwenda na maji
Mpaka itakapo Fanya kwa manufaa ya nchi take, lakini sasa inafanya kwa manufaa ya mtummoja na kikundi chake. Hiyo support ya Vietnam hats ipata, ajaribu aone kama hatakuwa peke take. Watu uwafanyie uovu akija mbabe zaidi yako unategemea wakuunge mkono? Nakwambia wataungana na mbabe wako kukutokomeza.Wewe chapa kazi tu. Usikose usingizi kwa kudhania kiama ni kesho. Hizo fikra ni sawa na fisi anayemfuata mtu akitegemea mkono unaoning'inia karibu utadondoka aule. Mbona Fidel Castro mpaka Mola akamchukua hawakufua dafu? Vipi na Korea ya Kaskazini? Vietnam nako walipiga mabomu kuzidi mabomu yote yaliyopigwa katika Vita Kuu ya dunia lakini Mvietnam anatumia bunduki yake ya gobole na akafanikiwa kuwadhibiti Marekani. Kama serikali inafanya inachokiamini kwa manufaa ya nchi yake hakuna cho chote
kitakachotokea.
tatizo wizi wa kura.Siungi mkono mapinduzi ila nitaunga mkono mabadiliko kupitia box la kura.
UwongoMjinga ni mtu asiye na elimu juu ya jambo fulani, wewe ni "Mjinga" maana hujui ukweli wa unayoyasema, unapotosha jamii ili roho yako isuuzike,
Walinzi wa Rais ni vijana wa kitanzania ndugu zetu, na ndiyo wenye jukumu hilo, hakuna uwezekano wowote wa watu wa nje kuja ikulu kulinda rais wetu.
Elewa hivyo, ushabiki wenu pelekeni facebook.
Naunga mkono yote ilimradi tuondokane na hii laana.Na mbinu itakayotumika. Naunga mkono hoja!
Kilamahali amesha chafua. Mahakama,tumeya uchaguzi hats kwa msajili was vyama. Hatuna option nyingine no msaada toka kwa wenye silaha.Regime change? Why msubiri wazungu wawafanyie regime change? Kama hamuutaki utawala si muutoe tu 2020? Hao wazungu regime change zao huanza kwa vikwazo vya uchumi ambavyo huumiza zaidi wananchi kuliko watawala na hufanya hivyo ili wananchi wachukie waingie barabarani ila mpaka ifikie watanzania waingie barabarani uchumi utakua umekufa kabisa maana watanzania sio watu wa vurugu. Tumieni masanduku ya kura kubadili viongozi msiombe kuwekewa vikwazo vya uchumi maana wanyonge ndio mtaumia na sio watawala
kwa kuwa ni mawazo yako sikubishii,ila kwa mawazo yangu tafakari yafuatayoWatanzania wenzangu. Kwa yeyote mwenye uelewa aliyesoma waraka wa Senators wa Marekani, bila shaka watakubaliana na mimi kuhusu ujumbe ndani ya ule waraka. Senators kwa lugea nyingine wamezungumzia regime change " Yaani mabadiliko ya Uongozi uilio madarakani"
Hakuna siku hata moja Mmarekani au Jumuiya ya Ulaya wakazungumzia regime change wakashindwa. Urusi walimuondoa Gorbachev. Venezuela walimuondoa Hugo Chavez aliyemtukana Busha hadharani. Zimbabwe wamemuondoa Mugabe,Gbagbo, Rais wa Gambia, Afrika Kusini Mkaburu, Libya Ghadaffi. Nicolae Ceausescu, Noriega, Charles Taylor, Slobodan Milocevich......Listi ni ndefu. Haha watt wakipuania wamekupania, hata ulindwe na majeshi toka mbinguni watakuondoa tu
Hawa watu wana mbinu nyingi sana, siyo kuvamia ikulu, bali wanatumia mbinu nyingi sana za kijasusi zingine tusizielewe. Naona Tanzania tunaelekea kwenye Regime Change. Swali la kujiuliza, je wataweza kumuondoa Rais Magufuli?
Haya ni mazazo yangu, mwenye wazu tofauti tujuzane, ila dawa hapa ni kupiga reverse kwenye mambo yaliyotajwa na diplomasia ya hali ya juu. Vinginevyo jamaa anakwenda na maji
Uwongo
Ni nyumbu hiyo mkuu, hajui akisemacho.We kichaaa
He must complete his term dudeKichaa must go. Tunahitaji kiongozi mwenye akili timamu.
Hana lolote huyo Zitto wako.Akili za zitto ni ujumlishe zako za jamii yako yote na think tanks wote wa ccm ndio utaweza kuzikaribia
Yule sio jinga kama wewe mgonjwa wa akili
End of your thinking capacity, also it may be known as your elastic limit.Rubbish
Na kwa taarifa yako wakishafanya regime change wanaweka kibaraka wao kama ilivokuwa kwa Karzai wa Afghanistan.Watanzania wenzangu. Kwa yeyote mwenye uelewa aliyesoma waraka wa Senators wa Marekani, bila shaka watakubaliana na mimi kuhusu ujumbe ndani ya ule waraka. Senators kwa lugea nyingine wamezungumzia regime change " Yaani mabadiliko ya Uongozi uilio madarakani"
Hakuna siku hata moja Mmarekani au Jumuiya ya Ulaya wakazungumzia regime change wakashindwa. Urusi walimuondoa Gorbachev. Venezuela walimuondoa Hugo Chavez aliyemtukana Busha hadharani. Zimbabwe wamemuondoa Mugabe,Gbagbo, Rais wa Gambia, Afrika Kusini Mkaburu, Libya Ghadaffi. Nicolae Ceausescu, Noriega, Charles Taylor, Slobodan Milocevich......Listi ni ndefu. Haha watt wakipuania wamekupania, hata ulindwe na majeshi toka mbinguni watakuondoa tu
Hawa watu wana mbinu nyingi sana, siyo kuvamia ikulu, bali wanatumia mbinu nyingi sana za kijasusi zingine tusizielewe. Naona Tanzania tunaelekea kwenye Regime Change. Swali la kujiuliza, je wataweza kumuondoa Rais Magufuli?
Haya ni mazazo yangu, mwenye wazu tofauti tujuzane, ila dawa hapa ni kupiga reverse kwenye mambo yaliyotajwa na diplomasia ya hali ya juu. Vinginevyo jamaa anakwenda na maji